The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Morogoro

Aiba Mtoto Kunusuru Ndoa Yake

Lilian Stanley (36) mkazi wa Tumbaku, Kata ya Kiwanja cha Ndege, Manispaa ya Morogoro, anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma ya wizi wa mtoto wa mwezi mmoja katika kanisa la Ufufuo na Uzima ililopo kata ya Mkundi.…

WABUNGE WAWILI CHADEMA WASAKWA

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema jeshi hilo linawasaka wabunge wawili wa Chadema, Peter Lijualikali (Kilombero) na Suzan Kiwanga wa Mlimba. Wabunge hao walikuwa miongoni mwa wanachama 13 wa…