The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

takukuru

CCM Nayo Kumhoji Kangi Lugola

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara kitamhoji aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola baada ya kutuhumiwa kuhusika katika mkataba wenye harufu ya ufisadi uliosababisha Rais John Magufuli kutengua uteuzi wake.…

Takukuru Yakwamisha Kesi ya Wambura

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar, imeutaka upande wa serikali ambao ni Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuharakisha upelelezi wa kesi ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael…

ZITTO KABWE AMALIZANA NA TAKUKURU

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, amaliza kuwasilisha ushahidi wa tuhuma za rushwa inayodaiwa kuhusisha viongozi wa juu Serikalini katika mradi wa uzalishaji chuma wa Mchuchuma na Liganga kwa…

Hans Pope Amekamatwa na TAKUKURU

MWENYEKITI wa zamani wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope,  amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam…