Waziri Mkuu Awapongeza watumishi kwa kazi kubwa wanayoifanya kuwaletea watanzania maendeleo
Waziri Mkuu Mkuu wa Jamhuri wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa akizungumza na hadhara ya wafanyakazi walikusanyika kushiriki Maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani mkoani Arusha kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid…