Hatimaye Godbless Lema Awasili Tanzania, Akabidhiwa Biblia na Wazee wa Chadema – Video ya…
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini na aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema, leo Jumatano Machi 1, 2023 amewasili nchini akitokea Canada, alikokuwa akiishi tangu 2020 baada ya…