Mapya! Kusah Afunguka Mahusiano Yake Na Moses Iyobo, Atoboa Siri Za Kufanya Kazi Na Maua Sama -Video
MSANII wa Bongo Fleva, Salmin Hoza almaarufu Kusah ambaye ni mpenzi wa muigizaji Aunty Ezekiel leo Julai 6, 2023 amefunguka juu ya manufaa ambayo ameyapata mara baada ya kutoa wimbo wake wa ‘I wish’ ambao ulifanya vizuri ndani na nje ya…