Niyonzima Aingia Kwenye Vitabu vya FIFA
NAHODHA wa timu ya taifa ya Rwanda Haruna Niyonzima ameingia kwenye kumbukumbu za FIFA baada ya kuinga kwenye “FIFA’s Century Club” amabayo inawahusisha wachezaji waliocheza michezo 100 ya timu za taifa.
Mchezaji huyo wa…