The House of Favourite Newspapers

JINSI YA KUZUIA U.T.I KWA WATOTO

UGONJWA wa mfumo wa mkojo kitaalamu Urinary Tract Infection (U.T.I) umekuwa ukisumbua watu wengi. Leo tutazungumzia ugonjwa huu kwa watoto wadogo.  Vimelea vinavyosababisha ugonjwa katika mfumo wa mkojo hukua na kusambaa endapo kinga ya…

FAHAMU SABABU ZA KUWA NA U.T.I SUGU

MAAMBUKIZI kwenye njia ya mkojo ( Urinary Tract Infection kifupi U.T.I) ni maambukizi yanayoshika nafasi ya pili kuupata mwili mara nyingi zaidi. Maambukizi haya hufanya mtu kukosa raha na kwa baadhi ya watu hasa wanawake ni tatizo la…

U.T.I; gonjwa linalosumbua wanawake -4

TIBA YA U.T.I NA USHAURI Baada ya kuuchambua ugonjwa wa U.T. I (Urinary Tract Infection ) leo tunazungumzia tiba yake. Maambukizi katika njia ya mkojo hutibika kwa dawa mbalimbali za kisasa baada ya kufanyiwa vipimo na kuthibitika kuwa…

U.T.I janga lisilopewa kipaumbele-3

TULIANZA kupeana ufahamu juu ya maambukizi katika njia ya mkojo yaani U.T.I na tuliangalia chanzo na wiki jana tuliangalia dalili za ugonjwa huu. Leo tutaangalia makundi mbalimbali ambayo yapo katika hatari ya kupata maambukizi haya.…

U.T.I janga lisilopewa kipaumbele-2

WIKI jana tulianza kulielezea tatizo la U.T.I (Urinary Tract Infections) na nieleza kuwa hili ni tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo ambalo huwasumbua watu wengi siku hizi. Maambukizi hayo yanaweza kusababisha maumivu na kukosa…

U.T.I; janga lisilopewa kipaumbele-3

Wiki iliyopita nilielezea tatizo la mirija kutoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu cha mkojo Ureters, huwa ni miwili na hupeleka mkojo kwenda kwenye kibofu. Kibofu ambacho kazi yake ni kukusanya na kuhifadhi mkojo unaotoka katika figo,…

U.T.I; janga lisilopewa kipaumbele-2

Wiki ya jana nilianza kulielezea tatizo la U.T.I (Urinary Tract Infections) na nilieleza kuwa hili ni tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo ambalo huwasumbua watu wengi siku hizi. Uambukizi huu unaweza kusababisha maumivu na kukosa…

Zijue sababu za mimba kuharibika

MIMBA yenye wiki 28 au chini ya hapo uharibika au kutoka, hali hii kitaalamu inajulikana kama ‘miscarriage’ na kwa kawaida mtoto aliye tumboni katika umri huu, hataweza kuishi nje ya tumbo la mama.  Zaidi ya asilimia 80 ya mimba…

Fahamu Dalili za Mimba Kuaharibika

Na MTAALAMU A. MANDAI| IJUMAA WIKIENDA| AFYA KUNA sababu nyingi zinazoweza kusababisha mama mjamzito mimba yake kuharibika. Sababu kuu huwa ni magonjwa kama vile ugonjwa hatari wa malaria, ugonjwa unaotokana na zinaa kama vile…

Makongoro Oging’ kuagwa leo Dar

Mwandishi Makongoro Oging enzi za uhai wake. ELVAN STAMBULI, Amani MWILI wa mwandishi mahiri wa habari za uchunguzi, Makongoro Oging unatarajiwa kuagwa leo katika Hospitali ya  Amana  jijini Dar es Salaam kuanzia saa 6 mchana. Mara…