Kuna nyakati ambapo msaada mdogo unaweza kubadilisha kabisa siku ya mtu na hata kurejesha matumaini yaliyokuwa yamepotea. Hilo ndilo lililoshuhudiwa...
READ MORENorway na Ufaransa zimekwishafuzu kwa hatua ya 32 Bora baada ya kushinda mechi zao mbili za awali. Hata hivyo, mechi...
READ MOREDodoma – Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ametangaza marufuku ya mikutano yote ya vyama vya siasa...
READ MOREIran yashutumiwa kufanya shambulio dhidi ya meli ya mizigo iliyokuwa ikipeperusha bendera ya Singapore katika Mlango wa Hormuz, saa chache...
READ MOREJeshi la Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetoa onyo kali kwa meli zote zinazopita katika Mlango wa Hormuz, likisema...
READ MOREYumna Mmanga Omar, Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha makundi ya Watu wenye Ulemavu kutoka Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),...
READ MOREJamii ya Ruguruni, Kata ya Kwembe wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam imekumbwa na mshtuko mkubwa baada ya kijana mwenye...
READ MOREJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi wa hospitali yenye hadhi...
READ MOREMkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Peres Magiri, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, leo Juni 23, 2026...
READ MOREJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia kijana mmoja aitwaye Juma Ramadhan (21), kwa tuhuma za kumuua...
READ MORENa Hosea – Manyara Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi minane amefariki dunia huku watu wengine wawili wakinusurika...
READ MOREMtanzania Rahma Warioba amefunguka kuhusu changamoto na mateso aliyodai kuyapitia nchini Oman, ambako bado anafanya kazi za ndani. Rahma ameeleza...
READ MOREMwili wa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard George Abwao, umewasili katika...
READ MOREIkiwa ni siku chache tu tangu Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Aziza Sleyum Ally, achangie mjadala...
READ MOREWASANII wakongwe wa muziki wa Bongo Flava wakiongozwa na Madee wamemtembelea aliyekuwa Meneja wa Diamond Platnumz pamoja na Yamoto Band,...
READ MOREMwanadada mchekeshaji Ebitoke amefunguka kuhusu ujumbe aliowahi kuuchapisha kwenye mitandao ya kijamii na kuzua taharuki kubwa miongoni mwa wananchi, hali...
READ MOREMahakama ya Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, Juni 19, 2026, imewahukumu watuhumiwa sita baada ya kutiwa hatiani kwa makosa mbalimbali...
READ MORENyumba ya mjane wa marehemu Mchungaji Christopher Mtikila, Bi. Georgia Christopher Mtikila, iliyopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam, imekumbwa...
READ MOREBilionea Mulokozi amefunguka kuhusu majonzi aliyoyapata baada ya kumpoteza mmoja wa wafanyakazi wake muhimu, Goodluck Didas Silayo, aliyefariki dunia kufuatia...
READ MORERais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Iran Masoud Pezeshkian wamesaini Hati ya Makubaliano ya Maelewano (MOU) inayolenga kupunguza...
READ MOREMeya wa zamani wa Kampala na wakili wa kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, Erias Lukwago, amefikishwa mahakamani na...
READ MOREWaziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amesema huduma za afya zinazotolewa nchini hazibagui wananchi kwa kuzingatia upande wa Muungano wanaotoka,...
READ MOREMbunge wa Tarime Vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwita Waitara, ametoa wito kwa viongozi nchini kuwa waangalifu na kauli...
READ MOREMbunge wa Viti Maalum Kaskazini Unguja kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shadya Haji Omar, leo Juni 17, 2026, amechangia mjadala...
READ MORETaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani watumishi tisa wa umma kwa tuhuma za...
READ MOREKlabu ya Real Madrid imethibitisha kumsajili kiungo wa kimataifa wa Ureno, Bernardo Silva, kwa mkataba wa miaka miwili baada ya...
READ MOREMbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya amesema Tanzania inaweza kufikia lengo la kujitegemea kiuchumi iwapo kutakuwa na nidhamu ya hali...
READ MOREMbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma amemwomba Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi kuchukua hatua dhidi ya kauli zinazotolewa na...
READ MOREMkurugenzi wa Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Brenda Rupia amesema kuwa suala la katiba mpya halipaswi kuonekana...
READ MOREMtanzania anayeishi nchini Marekani, Ajuna Ishemo (Patricia), amefunguka kuhusu maisha yake na mtoto wake, akieleza jambo la kushangaza la kiimani...
READ MOREJeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kumpata mtoto Razaki Damas Mwakatundu (5), mwanafunzi wa chekechea katika Shule ya Mwakikome...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameagiza kuondolewa kwa gereji zote zilizo pembezoni mwa barabara kuu ndani...
READ MOREMarekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali ya kumaliza vita vilivyodumu kwa zaidi ya miezi mitatu, hatua inayotarajiwa kuleta nafuu...
READ MORESiku chache zilizopita, video ilianza kusambaa mitandaoni ikimuonesha mama lishe mmoja akihudumia wateja wengi waliomzunguka katika eneo la Kariakoo, jijini...
READ MOREStaa wa filamu nchini, Wema Sepetu, amefanikiwa kupata mtoto wa kiume baada ya kujifungua jana, jambo lililopokelewa kwa furaha kubwa...
READ MOREMahakama Kuu, Masijala Ndogo Kanda ya Dar es Salaam, imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya...
READ MORESerikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/25 imepanga kutoa msamaha wa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wapya kwa kipindi cha...
READ MORESerikali imependekeza kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha asilimia 5 kwenye thamani ya dau la kamari zinazochezwa kupitia michezo...
READ MOREMwanamama Salome Lawrance Kikoti ambaye siku chache zilizopita alitrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufanya tukio la aina yake,...
READ MORERais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran na Israel kusitisha mara moja mashambulizi yao ya kulipizana kisasi huku hali ya...
READ MORE