×

Global TV Online

JWTZ Kukamilisha Hospitali Yenye Hadhi ya Taifa

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi wa hospitali yenye hadhi...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Afungua Mkutano wa Ujirani Mwema kati ya Tanzania na Msumbiji

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Peres Magiri, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, leo Juni 23, 2026...

READ MORE

Kijana Akamatwa kwa Tuhuma za Kumuua Baba Yake na Kumfukia Ndani ya Nyumba Dar – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia kijana mmoja aitwaye Juma Ramadhan (21), kwa tuhuma za kumuua...

READ MORE

Video: Jiko la Mkaa Laua Mtoto wa Mwaka Mmoja Manyara, Mama Asimulia

Na Hosea – Manyara Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi minane amefariki dunia huku watu wengine wawili wakinusurika...

READ MORE

Video: Rahma Azungumzia Mateso ya Oman, Masoud Atolea Ufafanuzi

Mtanzania Rahma Warioba amefunguka kuhusu changamoto na mateso aliyodai kuyapitia nchini Oman, ambako bado anafanya kazi za ndani. Rahma ameeleza...

READ MORE

Video: Maelfu ya Wananchi Wafurika Kuuaga Mwili wa Kamanda Richard Abwao

Mwili wa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard George Abwao, umewasili katika...

READ MORE

Serikali Yachukua Ushauri wa Aziza Sleyum, Miradi 6 Mikubwa ya Barabara Kutekelezwa kwa PPP

Ikiwa ni siku chache tu tangu Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Aziza Sleyum Ally, achangie mjadala...

READ MORE

Video: Madee Aongoza Msafara wa Wasanii Wakongwe Kumtembelea Saidi Fella

WASANII wakongwe wa muziki wa Bongo Flava wakiongozwa na Madee wamemtembelea aliyekuwa Meneja wa Diamond Platnumz pamoja na Yamoto Band,...

READ MORE

Ebitoke Afunguka Posti Iliyozua Taharuki, Asema Polisi Walilazimika Kutoa Tamko – Video

Mwanadada mchekeshaji Ebitoke amefunguka kuhusu ujumbe aliowahi kuuchapisha kwenye mitandao ya kijamii na kuzua taharuki kubwa miongoni mwa wananchi, hali...

READ MORE

Wafanyabiashara Sita wa Bangi Wafungwa Miaka 30 Wilaya ya Mufindi, Iringa – Video

Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, Juni 19, 2026, imewahukumu watuhumiwa sita baada ya kutiwa hatiani kwa makosa mbalimbali...

READ MORE

Mabaunsa Wavamia Nyumba Ya Mjane Wa Mchungaji Mtikila, Kisa Mkopo Wa Milioni 250 Aliomdhamini Mtu – Video

Nyumba ya mjane wa marehemu Mchungaji Christopher Mtikila, Bi. Georgia Christopher Mtikila, iliyopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam, imekumbwa...

READ MORE

Bilionea Mulokozi Asimulia Uchungu wa Kumpoteza Mfanyakazi Wake Tegemeo Silayo – Video

Bilionea Mulokozi amefunguka kuhusu majonzi aliyoyapata baada ya kumpoteza mmoja wa wafanyakazi wake muhimu, Goodluck Didas Silayo, aliyefariki dunia kufuatia...

READ MORE

Trump na Rais wa Iran Wasaini Makubaliano ya Kusitisha Mvutano

Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Iran Masoud Pezeshkian wamesaini Hati ya Makubaliano ya Maelewano (MOU) inayolenga kupunguza...

READ MORE

Wakili wa Besigye Ashtakiwa kwa Kosa la Uhaini Uganda

Meya wa zamani wa Kampala na wakili wa kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, Erias Lukwago, amefikishwa mahakamani na...

READ MORE

Mwigulu: Hakuna Ubaguzi wa Huduma za Afya Kati ya Bara na Zanzibar – Video

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amesema huduma za afya zinazotolewa nchini hazibagui wananchi kwa kuzingatia upande wa Muungano wanaotoka,...

READ MORE

Waitara: Viongozi Wanaowagawa Wananchi Wachukuliwe Hatua – Video

Mbunge wa Tarime Vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwita Waitara, ametoa wito kwa viongozi nchini kuwa waangalifu na kauli...

READ MORE

Mbunge Shadya Akemea Mijadala ya Muungano Inayoweza Kuligawa Taifa

Mbunge wa Viti Maalum Kaskazini Unguja kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shadya Haji Omar, leo Juni 17, 2026, amechangia mjadala...

READ MORE

TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Watumishi 9 Geita Tuhuma za Ubadhirifu Milioni 90

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani watumishi tisa wa umma kwa tuhuma za...

READ MORE

Real Madrid Yamnasa Bernardo Silva kwa Mkataba wa Miaka Miwili

Klabu ya Real Madrid imethibitisha kumsajili kiungo wa kimataifa wa Ureno, Bernardo Silva, kwa mkataba wa miaka miwili baada ya...

READ MORE

Bulaya Aibua Hoja Nzito Kuhusu Matumizi ya Serikali, Atoa Somo la Nidhamu – Video

Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya amesema Tanzania inaweza kufikia lengo la kujitegemea kiuchumi iwapo kutakuwa na nidhamu ya hali...

READ MORE

Musukuma Amwomba Rais Mwinyi Kudhibiti Kauli za Kibaguzi kati ya Uzanzibar na Utanganyika – Video

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma amemwomba Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi kuchukua hatua dhidi ya kauli zinazotolewa na...

READ MORE

Brenda Rupia Afafanua Hoja ya Katiba Mpya Nchini “Ni Matakwa ya Wananchi” – Video

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Brenda Rupia amesema kuwa suala la katiba mpya halipaswi kuonekana...

READ MORE

Kutoka Marekani: Patricia Asimulia Kifo Kilivyomsogelea – Video

Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Ajuna Ishemo (Patricia), amefunguka kuhusu maisha yake na mtoto wake, akieleza jambo la kushangaza la kiimani...

READ MORE

Mtoto Aliyetekwa kwa Siku 13 Apatikana Katikati ya Hifadhi ya Kitula

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kumpata mtoto Razaki Damas Mwakatundu (5), mwanafunzi wa chekechea katika Shule ya Mwakikome...

READ MORE

RC Chalamila Aagiza Gereji Pembezoni mwa Barabara Dar Ziondolewe

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameagiza kuondolewa kwa gereji zote zilizo pembezoni mwa barabara kuu ndani...

READ MORE

Marekani na Iran Wafikia Makubaliano ya Kumaliza Vita, Hormuz Kufunguliwa Tena – Video

Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali ya kumaliza vita vilivyodumu kwa zaidi ya miezi mitatu, hatua inayotarajiwa kuleta nafuu...

READ MORE

Mama Ntilie Wa Kariakoo Anayetrendi Kujaza Wateja, Afunguka Mazito – Video

Siku chache zilizopita, video ilianza kusambaa mitandaoni ikimuonesha mama lishe mmoja akihudumia wateja wengi waliomzunguka katika eneo la Kariakoo, jijini...

READ MORE

Tazama Baby Shower ya Wema Sepetu Kabla ya Kujifungua Mtoto wa Kiume – Video

Staa wa filamu nchini, Wema Sepetu, amefanikiwa kupata mtoto wa kiume baada ya kujifungua jana, jambo lililopokelewa kwa furaha kubwa...

READ MORE

Video: Mume Aliyetuhumiwa Kumuua Mkewe Goba Aachiwa Huru na Mahakama

Mahakama Kuu, Masijala Ndogo Kanda ya Dar es Salaam, imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya...

READ MORE

Video: Serikali Kusamehe Kodi Mwaka Mzima kwa Wafanyabiashara Wapya

Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/25 imepanga kutoa msamaha wa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wapya kwa kipindi cha...

READ MORE

Serikali Kuongeza Ushuru wa Kamari Kufikia 5% Kupunguza Madhara ya Kijamii

Serikali imependekeza kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha asilimia 5 kwenye thamani ya dau la kamari zinazochezwa kupitia michezo...

READ MORE

Shigongo Atimiza Ahadi kwa Mama Aliyezuia Mauaji ya Kijana – Video

Mwanamama Salome Lawrance Kikoti ambaye siku chache zilizopita alitrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufanya tukio la aina yake,...

READ MORE

Trump Atoa Onyo Iran na Israel Kusitisha Mashambulizi, Houthis Waingia Kwenye Vita – Video

Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran na Israel kusitisha mara moja mashambulizi yao ya kulipizana kisasi huku hali ya...

READ MORE

Global TV Online Yatangaza Nafasi ya Kazi ya Content Moderator

GLOBAL TV imetangaza nafasi ya kazi kwa vijana wenye ubunifu na shauku ya kufanya kazi kwenye sekta ya habari za...

READ MORE

Marekani Yapanga Kutumia Mali za Iran Kufidia Uharibifu Mashariki ya Kati

Serikali ya Marekani inapanga kuangalia uwezekano wa kuelekeza mali za Iran kwenda mataifa ya Ghuba kwa ajili ya kugharamia ukarabati...

READ MORE

Familia ya Watu Wenye Ulemavu Yapewa Msaada wa Ujenzi Baada ya Nyumba Kubomoka – Video

Taasisi ya Tanzania Generation Care imetoa msaada wa mifuko ya saruji, mabati pamoja na matofali kwa ajili ya kumsaidia mlemavu...

READ MORE

Fahamu Filamu 20 Bora Zaidi Zilizotikisa Mashabiki wa Cinema 2000 – 2026

Sekta ya filamu duniani imeendelea kushuhudia kazi nyingi kubwa katika karne ya 21 (2020-2026), huku baadhi ya filamu zikibadili kabisa...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Mazungumzo ya Kiuchumi Jijini St. Petersburg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji kati...

READ MORE

Rais Samia Aandika Historia Atunukiwa Udaktari wa Heshima Moscow (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris Causa) na Peoples’...

READ MORE

Video: Ajali ya Kutisha Tunduru, Lori la Mafuta Lateketea, Dereva Afariki

Dereva wa lori la mafuta, Adam Abraham (46), mkazi wa Boko-Bunju jijini Dar es Salaam, amefariki Dunia baada la gari...

READ MORE