×

Habari

Kikwete Aanza Rasmi Kazi ya AU, Aibua Matumaini Mapya ya Amani Sudan Kusini

Ziara ya Rais mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, mjini Juba imeashiria hatua mpya ya kidiplomasia katika kuhuisha mchakato wa...

READ MORE

Wanaanga wa Artemis II Warejea Salama Duniani, NASA Yathibitisha Wako na Afya Njema – Video

Shirika la anga la Marekani, NASA, limethibitisha kuwa wanaanga wanne wa misheni ya Artemis II wako katika hali nzuri kiafya...

READ MORE

Wanaanga Waonekana Wenye Afya Njema Baada ya Kutua kwa Mafanikio

Wanaanga wa misheni ya NASA ya Artemis II wamefanikiwa kurejea duniani baada ya safari ya kihistoria ya kuzunguka mwezi, ambapo...

READ MORE

Vita ya Iran Yatikisa Uhusiano wa Marekani na Ulaya, Waziri Mkuu wa Uingereza Afunguka

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema amechoshwa na athari za kiuchumi zinazotokana na maamuzi ya Rais wa Marekani, Donald...

READ MORE

China Yakanusha Tuhuma za Kusaidia Kijeshi Iran, Marekani Wafunguka

Ripoti mpya za kijasusi za Marekani zinaeleza kuwa China inadaiwa kujiandaa kupeleka mifumo mipya ya ulinzi wa anga kwa Iran...

READ MORE

JD Vance Aionya Iran Kabla ya Mazungumzo, Asisitiza “Wasijaribu Kutuchezea”

Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, ameionya Iran kutocheza michezo ya kisiasa wakati wa mazungumzo yajayo, akisisitiza kuwa Marekani...

READ MORE

NASA Yatangaza Dakika 13 za Hatari Kwa Wanaanga wa Artemis II Wakitua Duniani

Shirika la anga za juu la Marekani, NASA, limeeleza kuwa hatua ya mwisho ya ujumbe wa Artemis II ndiyo yenye...

READ MORE

RC Chalamila Awapatanisha Martha Mwaipaja na Upendo Nkone – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewakutanisha na kuwapatanisha waimbaji wa muziki wa injili, Martha Mwaipaja na...

READ MORE

Minara ya Mawasiliano Yazinduliwa, Rais Samia Ahimiza Ubunifu (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahimiza wadau mbalimbali nchini kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuimarisha...

READ MORE

Fahamu Majukumu ya Rais wa Iran na Kiongozi Mkuu Mojtaba Khamenei

Mfumo wa uongozi wa Iran ni wa kipekee ukilinganisha na nchi nyingi duniani. Nchi hiyo ina viongozi wawili wakuu wenye...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Kikao Kuhusu Utekelezaji wa Elimu Msingi Ya Lazima

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameongoza Kikao cha Kazi cha Mawaziri na Makatibu Wakuu Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji,...

READ MORE

Watoto Watatu Wafariki kwa Moto Mbagala, Mama Asimulia Tukio la Kusikitisha – Video

Simanzi na huzuni imetanda miongoni mwa wakazi wa Mbagala Kilungule, wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, kufuatia tukio la kusikitisha...

READ MORE

Watu Wawili Wafariki, Wawili Wajeruhiwa Katika Ajali Morogoro (Picha +Video)

Watu wawili wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha gari dogo aina ya Subaru lenye namba...

READ MORE

Airtel, Vodacom na wengine wang’ara baada ya kutunukiwa tuzo za mawasiliano

Tanzania yazidi kupanua miundombinu ya kidijitali, Samia azindua minara 758 ya mawasiliano, atoa tuzo kwa kampuni za simu Tanzania imepiga...

READ MORE

Trump Aionya Iran Kusitisha Ada kwa Meli za Mafuta Mlango wa Hormuz

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali kwa uongozi wa Iran kufuatia taarifa kuwa nchi hiyo inaendelea kutoza ada...

READ MORE

Mke wa Trump Akanusha Kuwa na Uhusiano na Epstein Baada ya Nyaraka Kuibuka

Mke wa Rais wa Marekani, Melania Trump usiku wa kuamkia leo Aprili 10, 2026 amekanusha vikali madai yanayomhusisha na mfanyabiashara...

READ MORE

Trump Aweka Masharti Mazito Kwa Iran, “Tusipokubaliana Vita Inaweza Kurudi”

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa vikosi vya kijeshi vya nchi hiyo vitaendelea kubaki katika hali ya utayari mkubwa...

READ MORE

FBI Yamnasa Mvujishaji wa Siri za Ndege ya Kivita Iliyoanguka Iran

Shirika la upelelezi la Marekani, FBI, limemkamata mtu anayetuhumiwa kuvujisha taarifa za siri kuhusu kuangushwa kwa ndege ya kivita aina...

READ MORE

Mwigulu: Serikali Kuongeza Bajeti ya Elimu Kukidhi Mahitaji ya Mtaala Mpya – Video

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuboresha bajeti ya elimu wakati ikitekeleza mtaala mpya wa elimu ili kuziba...

READ MORE

Wakazi Dar Waipongeza NMB Ikizindua Huduma za Matawi Yanayotembea

Mkuu wa Idara ya Mauzo na Mtandao wa Matawi ya Benki ya NMB, Donatus Richard (katikati), akimhudumia  Mwajuma Athumani Saidi...

READ MORE

Video: Jafo Apendekeza Mishahara ya Laki 5 na 7 Kwa Vijana, Ajira za Mikataba

Mbunge wa Kisarawe, Seleman Jafo ameshauri serikali kuwachukua vijana waliohitimu vyuo na vyuo vikuu nnchini, kisha kuwapa ajira za mikataba,...

READ MORE

Sheria Mpya Marekani: Vijana Kuingizwa Jeshini Moja kwa Moja Bila Kujisajili

Serikali ya Marekani inapanga kuanza mfumo mpya wa kuwasajili moja kwa moja wanaume wenye umri wa kati ya miaka 18...

READ MORE

LATRA Yafafanua Vigezo Vinavyozingatiwa Katika Upangaji wa Nauli Nchini

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kuwa upangaji wa nauli hauzingatii bei ya mafuta pekee, bali huzingatia vigezo mbalimbali...

READ MORE

Angela Kizigha na Evaline Munisi Waapishwa Rasmi Bungeni – (Video +Picha)

Wabunge wateule wawili, Angela Kizigha na Evaline Munisi, leo Aprili 09, 2026 wamekula kiapo cha uaminifu na ahadi ya uzalendo...

READ MORE

Serikali Yatoa Ufafanuzi Kupanda Kwa Bei za Mafuta Duniani – Video

Aprili 08, 2026 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati akiwaapisha viongozi aliowateua hivi...

READ MORE

Mbinu ya Trump Yafichuka Vitisho Kwanza, Amani Baadaye kwa Iran

Hatua ya Donald Trump kutangaza kusitisha mapigano kwa muda dhidi ya Iran imezua mjadala mkubwa duniani, huku wengi wakishangazwa na...

READ MORE

TBL Yataka Hatua za Pamoja Kudhibiti Pombe Haramu

Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imetoa wito kwa Serikali, sekta binafsi na jamii kushirikiana kikamilifu kukabiliana na tatizo la...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Kabudi, Dugange, Nhamanilo na Mdemu Chamwino – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Aprili 8, 2026 ameongoza hafla ya uapisho wa viongozi mbalimbali...

READ MORE

Video: Rais Samia Aelekeza Serikali Kupunguza Matumizi ya Mafuta

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa wafanyabiashara nchini dhidi ya kutumia mwanya wa...

READ MORE

Qualcomm Make in Africa 2026 Yatangaza Kampuni Changa 10 Zilizochaguliwa

Kampuni ya Qualcomm Incorporated imetangaza rasmi kampuni changa 10 zilizochaguliwa kushiriki katika toleo la nne la Mpango wa Ushauri wa...

READ MORE

Video: Marekani na Iran Zakubaliana Kusitisha Mapigano kwa Wiki Mbili

Rais wa Marekani, Donald Trump, amepunguza mvutano wa vita kwa kutangaza kusitishwa kwa mashambulizi dhidi ya Iran, huku mataifa hayo...

READ MORE

Museveni na Kikwete Wakutana Kujadili Amani Sudan Kusini

Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania na Mwakilishi Maalum wa Umoja...

READ MORE

Rais wa Sudan Kusini Amtumbua Spika wa Bunge na Naibu Wake

RAIS wa Sudan Kusini, Salva Kiir amemfuta kazi Spika wa Bunge la nchi hiyo, Jemma Nunu Kumba pamoja na Naibu...

READ MORE

Trump Aitaja China Kusukuma Iran Kukubali Mazungumzo ya Amani

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema anaamini kuwa China imekuwa na mchango mkubwa katika kuishawishi Iran kukubali kuingia kwenye mazungumzo...

READ MORE

Fahamu Wasifu wa Wajumbe wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uchaguzi

Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Kabla na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 imeendelea kupewa muda...

READ MORE

Serengeti Apple Yanogesha Pasaka kwa Mandhari, Ladha na Vibe ya Kipekee Dar es Salaam

Kama sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Pasaka kote nchini, Serengeti Apple iliandaa premium brunch experience maalum mwishoni mwa wiki...

READ MORE

NASA Yafichua Mandhari ya Ajabu ya Mwezi na Dunia, Yatoa Picha za Kihistoria

Shirika la anga la NASA limetoa picha za kipekee zikiwemo “Earthset” na matukio ya kupatwa kwa jua, zilizopigwa wakati wa...

READ MORE

Mashambulizi ya Marekani Kharg Island Yaibua Mjadala Mpya Iran

Marekani imeendelea na operesheni zake za kijeshi dhidi ya Iran baada ya kuripotiwa kushambulia maeneo ya kijeshi katika Kisiwa cha...

READ MORE

Video: CCM Yaitaka Serikali Kutoa Ruzuku Kupunguza Bei ya Mafuta

Chama cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimeishauri serikali kuangalia uwezekano wa kutoa ruzuku kwa mafuta ili kupunguza makali ya...

READ MORE

Trump Awasiliana na Wanaanga wa Artemis II “Mmeifanya Marekani Kujivunia” – Video

Rais wa Marekani Donald Trump amewapigia simu wanaanga wa misheni ya Artemis II masaa machache baada ya kufanikisha safari yao...

READ MORE