×

Habari

Rais Samia Amteua Asha Dachi Kuwa Mkurugenzi Mkuu Mpya wa TBC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Asha Dachi kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la...

READ MORE

Trump Aonya Kuishambulia Iran, Ataja Eneo la Siri la Pickaxe Mountain

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani itaendelea na mashambulizi dhidi ya Iran na kutangaza kuwa moja ya maeneo yanayolengwa...

READ MORE

Iran Yajibu Pendekezo la Trump la Ushuru Hormuz “Asilimia 20 Ni Kubwa, Tutatoza Nafuu Zaidi”

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amejibu pendekezo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kutoza ushuru...

READ MORE

CCM Yamkosoa Othman Masoud Kwa Kutaja Ajenda za Vikao vya Pamoja Zanzibar

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimeeleza kutoridhishwa na kauli ya Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, kwa kutaja baadhi...

READ MORE

Houthis Warusha Makombora Saudi Arabia Baada ya Miaka Minne ya Utulivu – Video

Harakati za Houthi nchini Yemen zimerusha makombora kuelekea Saudi Arabia, hatua iliyovunja kipindi cha takribani miaka minne cha utulivu kati...

READ MORE

Trump: Tutachukua Usimamizi wa Mlango wa Hormuz na Kulipwa Mabilioni

Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani inaweza kuchukua jukumu la kuusimamia na kuulinda Mlango wa Bahari wa Hormuz (Strait...

READ MORE

Meridianbet Yaendelea Kushinda Mioyo ya Watanzania kwa Matendo Ya Kipekee

Kila mtu anatamani na kuhitaji kuona kampuni anayoiamini ikiwa na mchango wa kweli katika kuboresha maisha ya jamii inayowazunguka. Hilo...

READ MORE

Dkt. Josephine Ateuliwa Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi amemteua Dkt. Jesephine Rogate Kimaro kuwa...

READ MORE

Uwoya Aonya Wanaomtafutia Migogoro “Usilazimishe Shida Isiyokuwepo”

STAA wa filamu za Bongo, Irene Uwoya, amefunguka kupitia ukurasa wake wa Insta kuhusu tabia yake katika kushughulika na watu,...

READ MORE

Fahamu Siri ya Mbegu za Maboga Zinazobadilisha Afya Yako

Mbegu za maboga ni moja ya vyakula vya asili vinavyopatikana kwa urahisi, lakini mara nyingi hazipewi thamani inayostahili. Licha ya...

READ MORE

Trump Adai Viongozi Wakuu wa Iran Wameuawa, Asema Mojtaba Khamenei “Yuko Asilimia 90”

Rais wa Marekani Donald Trump leo Julai 13, 2026 amedai kuwa viongozi wakuu wa kijeshi wa Iran wameuawa katika mashambulizi ya...

READ MORE

Rais Samia: Sijawahi Kuruhusu Utekelezaji wa Adhabu ya Kifo (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema hajawahi kusaini hati ya kuruhusu utekelezaji wa adhabu...

READ MORE

Azam Yatozwa Faini ya Milioni 50, Makocha na Wachezaji Wafungiwa

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeitoza Azam FC faini ya Shilingi milioni 50 kwa kukataa kushiriki sherehe za kukabidhiwa tuzo...

READ MORE

Marekani Yasisitiza Mlango Hormuz Uko Wazi Licha ya Iran Kutangaza Umefungwa

Mvutano kati ya Marekani na Iran umeendelea kushika kasi baada ya Marekani kutekeleza duru nyingine ya mashambulizi dhidi ya Iran,...

READ MORE

Fedha Zatawala Send Off ya Monalisa Buyamba, Zawadi Zimefikia Bilioni 1+ (Picha +Video)

Usiku wa kuamkia leo Jumatatu Julai 13, 2026 ulikuwa wa aina yake kwa familia ya Buyamba mkoani Geita baada ya...

READ MORE

Prof. Tibaijuka Amwomba Rais Samia Kumuachia Huru Tundu Lissu

Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, amemshauri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Muigizaji Sam Neill wa ‘Jurassic Park’ Afariki Dunia Akiwa na Miaka 78

Muigizaji maarufu wa New Zealand, Sam Neill, aliyepata umaarufu mkubwa duniani kupitia nafasi yake ya Dk. Alan Grant katika filamu...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi Atembelea Banda la GF Katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar

Dar es Salaam – Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea banda la...

READ MORE

Mjasiriamali Lilian Mmari Ajizawadia Apartment ya Milioni 400 Akitimiza Miaka 40 – Video

Mjasiriamali maarufu Lilian Mmari, anayefahamika pia kupitia LIM Microfinance, ameendelea kuonyesha kuwa malengo yanaweza kutimia kwa juhudi na nidhamu, baada...

READ MORE

Miaka 50 ya SABASABA: Vodacom Yadhihirisha Mageuzi ya kidigitali nchini Tanzania

DAR ES SALAAM: Vodacom Tanzania Plc imehitimisha ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam...

READ MORE

Sendoff ya Kifahari: Mtoto wa GSM wa Katoro Aenda Kukagua Ukumbi kwa Chopa – Video

Maandalizi ya sendoff ya Monalisa Sylvester, mtoto wa mchimba madini maarufu wa Katoro, Geita, Sylvester Muyamba maarufu kama GSM wa...

READ MORE

Soka, Burudani na Biashara: TBL Yaonyesha Nguvu ya Baa Katika Jamii

Kote nchini Tanzania, baa zina nafasi muhimu katika maisha ya kila siku ya jamii. Ni maeneo ambako marafiki hukutana, majirani...

READ MORE

Trump Aamuru Mashambulizi Mengine Iran, Mlango wa Hormuz Wazua Hofu Duniani

Marekani imefanya mashambulizi mapya dhidi ya Iran baada ya meli ya mizigo kushambuliwa katika Mlango wa Hormuz na kushika moto,...

READ MORE

Mwanamapinduzi wa Qatar Sheikh Hamad bin Khalifa Al-Thani Afariki

DOHA: Aliyekuwa Emir wa Qatar, Sheikh Hamad bin Khalifa Al-Thani, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 74, baada ya...

READ MORE

Video: Kuna Chimbo Pikipiki, Bajaji Unaipata Kwa Laki 8 Tu, Keko Commission Agent

️️ Je, unatafuta pikipiki au bajaji bora kwa bei nafuu? Hapa ndipo mahali sahihi! Pata pikipiki na bajaji zenye ubora...

READ MORE

Seneta Mkongwe wa Republican Lindsey Graham Afariki, Trump Apoteza Mshirika Wake wa Karibu

Seneta wa Marekani kutoka jimbo la South Carolina, Lindsey Graham, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71 baada ya...

READ MORE

Iran Yafunga Mlango wa Hormuz, Yashambulia Qatar, Bahrain na UAE kwa Makombora – Video

Iran imepanua mashambulizi yake ya kijeshi katika eneo la Ghuba baada ya kurusha makombora na droni kuelekea Qatar, Bahrain na...

READ MORE

Trump Aitishia Iran Ikijaribu Kumuua Atajibu kwa Nguvu Kubwa

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameionya serikali ya Iran kwamba Marekani itachukua hatua kali za kijeshi endapo kutakuwa na jaribio...

READ MORE

Marekani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz na Kusitisha Mashambulizi kwa Meli za Biashara

Marekani imeitaka Iran kutoa tamko rasmi la kuhakikisha kuwa Mlango wa Hormuz uko wazi kwa usafiri wa kimataifa na kuahidi...

READ MORE

Fahamu Faida 7 za Ajabu za Kula Mlenda Mwilini

Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi...

READ MORE

Kiongozi Mkuu wa Iran Atishia Kulipiza Kisasi Kifo cha Baba Yake

Kiongozi Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, ametishia kulipiza kisasi kwa kifo cha mtangulizi wake na baba yake, Ayatollah Ali Khamenei,...

READ MORE

Airtel Kuunganisha Shule 5,000 Na Intaneti Ya Bure Ifikapo Mwaka 2027

Lusaka, Julai 8, 2026: Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Airtel Africa, Sunil Taldar, ametangaza dhamira ya kuunganisha shule 5,000...

READ MORE

Mwana FA Aimba na Mashabiki Katika Maadhimisho ya Miaka 30 ya Bongo Fleva

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, ameshiriki tamasha la kihistoria la maadhimisho ya miaka 30 ya...

READ MORE

Global TV Yatangaza Nafasi ya Kazi ya Motion Graphics Editor, Mwisho Maombi Julai 7, 2026

Global TV inakaribisha maombi ya kazi kwa nafasi ya Motion Graphics Editor mwenye ubunifu na uwezo wa kuzalisha maudhui ya...

READ MORE

Iran Yapeleka Waziri Oman Kujadili Hatma ya Mlango wa Hormuz

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anatarajiwa kufanya ziara nchini Oman leo Jumamosi kwa ajili ya mazungumzo...

READ MORE

ChardTalent: Kutoka Kushushwa Jukwaani Hadi Kuanzisha Muziki wa Kiucheshi Tanzania

Dar es Salaam – Wengi wanamfahamu ChardTalent kupitia nyimbo zake za vichekesho na video zinazovuma mitandaoni, lakini nyuma ya mafanikio...

READ MORE

Kimya cha Mojtaba Khamenei Chazua Mjadala Mkubwa Iran, Wananchi Wataka Aonekane

Kutokuwepo hadharani kwa Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, kumeendelea kuzua maswali ndani na nje ya nchi huku baadhi...

READ MORE

Historia Yaandikwa! Bongo Fleva Yaadhimisha Miaka 30 kwa Kishindo Mlimani City, Dar – Video

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, maarufu kama MwanaFA usiku wa kuamkia leo Julai 11, 2026 ameshiriki...

READ MORE

Shakira Afunguka Kuhusu Onyesho Kubwa la Fainali ya Kombe la Dunia

Msanii maarufu kutoka Colombia, Shakira, amesema onyesho la kwanza kabisa la ‘halftime show’ katika fainali ya Kombe la Dunia la...

READ MORE

Mwanamke Akamatwa Kwa Tuhuma za Kuwapelekea Boko Haram Pombe na Dawa za Kulevya

Jeshi la Nigeria limetangaza kumkamata mwanamke raia wa Chad anayeshukiwa kuhusika katika usambazaji wa dawa za kulevya, pombe na bidhaa...

READ MORE