×

Habari

Arsenal Watinga Fainali ya UCL kwa Mara ya Pili Baada ya Kuiondoa Atletico Madrid

Klabu ya Arsenal imeandika historia mpya baada ya kutinga fainali ya UEFA Champions League kwa mara ya pili, kufuatia ushindi...

READ MORE

Benki ya KCB Kuimarisha Ajenda ya Muunganiko wa Kibiashara Kati ya Tanzania na Kenya

DAR ES SALAAM, Tanzania – 4 Mei 2026. Kama kinara wa huduma za kifedha Afrika Mashariki, Benki ya KCB imejipanga...

READ MORE

Marekani Yakanusha Madai ya Dolphin wa Kujitoa Muhanga wa Iran

Washington, Marekani – Kauli tata kuhusu madai ya matumizi ya Dolphin wa kujitoa muhanga katika shughuli za kijeshi za Iran...

READ MORE

Terrano Yarudi na Muonekano wa Kisasa na Uimara Mkubwa

Nissan imerejesha jina maarufu la Nissan Terrano kwa kuzindua concept ya SUV mpya ya plug-in hybrid, inayolenga kushindana na magari...

READ MORE

Wajane Kigoma Wanufaika na Mizinga ya Nyuki Kutoka Lalji Foundation

Uongozi wa taasisi ya Lalji Foundation ukiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa Chama cha Wanawake Wajane Tanzania (CCWWT)...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 6, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Mwili wa James Temba Kusafirishwa Kwenda Moshi kwa Mazishi – Video

 Baba wa kijana James Temba ambaye inadaiwa aliuawa kisha mwili wake kukatwa kichwa, amesema mwili wa marehemu mwanaye utasafirishwa...

READ MORE

Hotuba ya Ruto Yazua Gumzo: Atoa Ujumbe Mzito kwa Watanzania na Wakenya – Video

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa wananchi wa Kenya na Tanzania si maadui, bali wanakabiliwa na changamoto zinazofanana ambazo...

READ MORE

Iran Yashutumiwa Kuvunja Ceasefire, Marekani Yatoa Onyo

Maafisa wa kijeshi wa Marekani wamesema kuwa Iran imefanya mashambulizi zaidi ya mara 10 dhidi ya vikosi vya Marekani tangu...

READ MORE

Siri Nzito Arusha: Wasichana Wawili Wapotea Kwa Zaidi ya Mwaka – Video

Wasiwasi umeendelea kuongezeka kufuatia kupotea kwa wasichana wawili wa jijini Arusha, Karen Mark Didas (23) na Nakivona Toroka (22), ambao...

READ MORE

Airtel na VETA wazindua upya Airtel-VSOMO Kupanua Mafunzo ya Ufundi Kidigitali

Tarehe 5 Mei 2026, Airtel Tanzania na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) wameingia makubaliano ya kimkakati...

READ MORE

Mwenyekiti wa Kikundi cha Sera cha GSMA Afrika Ataka Mageuzi ya Kikodi

KINSHASA, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mei 5, 2026 – Mkuu wa Udhibiti wa Airtel Africa na Mwenyekiti wa Kundi...

READ MORE

Beyoncé Ang’ara Met Gala 2026 Arudi Kwa Kishindo Baada Ya Miaka 10

Tamasha la mitindo la Met Gala limefanyika kwa kishindo usiku wa kuamkia leo Mei 5, 2026 huku mastaa mbalimbali wakionyesha ubunifu...

READ MORE

Shinda Sehemu ya TZS Bilioni 5: Ingia Mchezoni na Bahati Nasibu ya Taifa Leo

Kama unapenda burudani, presha ya mchezo na ushindi wa kweli huu ndio wakati wako wa kuwa mchezoni. Bahati Nasibu ya...

READ MORE

Mbeto Ampasha OMO Uchaguzi Mkuu Zanzibar Umeshafanyika

Chama Cha Mapjnduzi kimemtaka Mwenyekiti wa ACT Wazalendo , Othman Masuoud Othman, kutowapotosha Wananchi kwa kudai kuna waliojipa Mamlaka ilahali...

READ MORE

Yas Tanzania Yaendesha Kambi Ya Siku Tatu Ya Huduma Za Macho Bure Kilwa

Kilwa, Lindi – Kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania, kwa kushirikiana na Bilal Muslim Mission of Tanzania pamoja na KSI...

READ MORE

TAEC Yaendeleza Ushirikiano na India Katika Teknolojia ya Nyuklia

Tanzania imepiga hatua   muhimu katika safari yake ya kuimarisha matumizi salama na ya amani ya teknolojia ya nyuklia, kufuatia ziara...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Mapokezi ya Kihistoria Kumkaribisha Rais Ruto Ikulu (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempokea mgeni wake rasmi, Rais wa Jamhuri ya Kenya, William...

READ MORE

Rais William Ruto Awasili Tanzania kwa Ziara ya Kitaifa ya Siku Mbili (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto, amewasili nchini Tanzania leo Mei 4, 2026 kwa ziara ya kitaifa ya siku...

READ MORE

Marekani Yakanusha Taarifa za Shambulio la Meli ya Kivita Hormuz

Mvutano kati ya Marekani na Iran umeendelea kupanda baada ya Marekani kukanusha madai kuwa meli yake ya kivita ilishambuliwa katika...

READ MORE

ACT Wazalendo Yakataa Ripoti ya Tume ya Jaji Chande Kuhusu Mauaji ya Oktoba 2025

Kamati Kuu ya ACT Wazalendo imefanya tathmini ya kina ya Muhtasari wa Ripoti ya Tume ya Jaji Chande kuhusu mauaji...

READ MORE

Trump Azindua “Project Freedom” Kusaidia Meli Hormuz, Iran Yapinga Vikali – Video

Mwanasiasa mkuu wa Iran, Ebrahim Azizi, ameonya kuwa iwapo Marekani itaingilia mfumo mpya wa usimamizi wa baharini katika Mlango wa...

READ MORE

Makonda Awasili Bungeni Akiambatana na Nyota wa Soka Didier Drogba

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, leo Mei 4, 2026 amewasili katika viwanja vya Bunge la Tanzania...

READ MORE

Sbl Yashiriki Mazungumzo Ya Kuimarisha Kilimo Biashara

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Yashiriki Mazungumzo ya Kuimarisha Kilimo na Biashara ya Kikanda katika Jukwaa la Uchumi la...

READ MORE

Polisi Wachunguza Kifo cha Mtu Aliyekutwa Bila Kichwa Mto Msimbazi – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linaendelea na uchunguzi wa kifo cha mtu ambaye mwili wake ulikutwa ukielea...

READ MORE

Matatizo ya Afya Yanayosababishwa na Maji Kupita Kiasi Mwilini

Maji ni muhimu sana kwa afya ya binadamu, lakini kama mwili ukiwa na maji mengi kuliko inavyohitajika, hali hii inaweza...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 4, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Rais Samia Aeleza Mafanikio ya Ushirikiano na Rwanda Baada ya Mazungumzo na Kagame (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na...

READ MORE

Marekani Yatoa Onyo Kali kwa Makampuni ya Usafirishaji Kuhusu Malipo kwa Iran

MAREKANI imeonya makampuni ya usafirishaji duniani kwamba yanaweza kukabiliwa na vikwazo vya kiuchumi iwapo yataendelea kufanya malipo kwa Iran ili...

READ MORE

Rais Kagame Awasili Nchini kwa Ziara ya Kukuza Ushirikiano wa Biashara

Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame amewasili nchini kwa Ziara ya Kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha...

READ MORE

Dabi ya Kariakoo: Simba na Yanga Kuamua Hatima ya Ubingwa Leo!

Leo, Mei 03, 2026, dimba la Meja Janerali Isamuhyo jijini Dar es Salaam litashuhudia pambano la kihistoria kati ya Simba...

READ MORE

Selena Gomez Aweka Sokoni Jumba lake la kifahari Los Angeles

Msanii maarufu wa muziki na filamu, Selena Gomez, ameweka sokoni jumba lake la kifahari lililopo eneo la Los Angeles kwa...

READ MORE

Rais Trump Achunguza Pendekezo Jipya la Iran Kuhusu Kumaliza Vita

Rais Donald Trump Mei 2, 2026 amesema kwamba alikuwa akichunguza pendekezo jipya la Iran la kumaliza vita, lakini pia alionyesha...

READ MORE

Trump Atangaza Kumalizika kwa Vita na Iran Bungeni Marekani – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza mbele ya Bunge la Marekani kuwa vita na Iran ‘vimekwisha’, huku akisisitiza kuwa hana...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi na Mabadiliko ya Viongozi, Naibu Waziri, Katibu Mkuu wa Wizara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na mabadiliko ya viongozi mbalimbali serikalini

READ MORE

Video: Waziri Mkuu Atoa Onyo Kali kwa Watendaji wa Sekta ya Ardhi Nchini

Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ametoa onyo kali kwa watendaji wa sekta ya ardhi nchini, akiwataka kuacha mara moja tabia...

READ MORE

Polisi Dar Yamkamata Mtu kwa Kusambaza Taarifa za Uongo Mtandaoni – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Aprili 30, 2026, limemkamata mkazi wa Salasala, Kinondoni, Mocine Julius maarufu...

READ MORE

Drops & Wins ya Pragmatic Play: Ushindi wa Haraka na Meridianbet!

Kama mbashiri unayetafuta njia rahisi na ya kisasa ya kujaribu bahati yako na kupata ushindi, Meridianbet wamekuwekea nafasi safi kabisa....

READ MORE

Marekani Kuondoa Wanajeshi 5,000 Ujerumani Baada ya Mvutano Kansela Merz – Video

Serikali ya Marekani imetangaza mpango wa kuondoa takribani wanajeshi 5,000 walioko nchini Ujerumani, hatua ambayo inatajwa kuibua mjadala mpya kuhusu...

READ MORE

Rais Kagame Kuwasili Tanzania kwa Ziara ya Kikazi ya Siku Moja

Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kesho, Jumapili, Mei 03, 2026, kwa ziara ya kikazi...

READ MORE