×

Habari

Simba Yatikiswa! Magori Akataa Kutambua Mkutano wa Bunju

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Crescentius Magori, amesema kikao kilichofanyika Bunju, Dar es Salaam, Agosti 2, 2026,...

READ MORE

Video: Yanga Wamchagua Tena Hersi Said, Arafat Haji Abaki Makamu wa Rais

Wanachama wa Yanga leo Agosti 2, 2026 wamewapitisha Eng. Hersi Said kuwa Rais na Arafat Haji kuwa Makamu wa Rais...

READ MORE

Dkt. Mwigulu: Uwekezaji wa Utafiti wa Kilimo ni Msingi wa Mageuzi ya Sekta

Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amesema kuwa kuwekeza katika utafiti wa kilimo ndiyo njia sahihi ya kuleta mageuzi ya kweli katika...

READ MORE

Mwanamke Akamatwa kwa Tuhuma za Kumuua Baba Yake, Sababu Bado Kitendawili

Mwanamke mwenye umri wa miaka 32 nchini Marekani amefunguliwa mashtaka ya mauaji baada ya kudaiwa kumuua baba yake katika nyumba...

READ MORE

Msimu wa Pili wa EAGMA Wazinduliwa Rasmi, Safari ya Kuwatafuta Bora Yaanza

Msimu wa pili wa East Africa Gospel Music Awards (EAGMA), tuzo zinazotambua na kuthamini muziki wa injili Afrika Mashariki, umezinduliwa...

READ MORE

Stanbic Yadhamini Milioni 30 Mashindano ya Kikapu ya Jamii ya Wachina

Stanbic Bank Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na jamii ya Wachina nchini Tanzania baada ya kutoa udhamini wa Shilingi milioni...

READ MORE

Trump Atangaza Kusimamisha Mashambulizi Mapya dhidi ya Iran

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa ameamua kusitisha kwa muda mashambulizi mapya ya kijeshi dhidi ya Iran, akisema hatua...

READ MORE

Yanga Yamtambulisha Fred Ngoma, Namba 6 Mpya Jangwani, Rekodi Zake Balaa!

Fred Duval Ngoma anatua Yanga akiwa na wasifu unaoonyesha uzoefu wa soka la ushindani barani Afrika. Kiungo huyo mkabaji mwenye...

READ MORE

Airtel Money Yazindua “Minyoosho Inaendelea”, Wateja Wapata Nafasi ya Kushinda Zawadi

Dar es Salaam –Airtel Money imezindua rasmi kampeni ya Minyoosho Inaendelea na My Airtel App, yenye lengo la kuwazawadia wateja...

READ MORE

Meridianbet Yaleta Raha Mpya ya Kubashiri Kupitia 100% Cash Back

Ukiwa na Meridianbet ni raha kupitiliza kwani unaweza ukarejesha pesa yako kwa 100% endapo timu moja ikichana leo. Ingia kwenye...

READ MORE

Tyla Aingia Kwenye Playlist ya Barack Obama ya Msimu wa Kiangazi 2026

Nyota wa muziki kutoka Afrika Kusini, Tyla, ameendelea kung’ara kimataifa baada ya wimbo wake kuchaguliwa na aliyekuwa Rais wa Marekani,...

READ MORE

Mawaziri Wavutiwa na Suluhisho za Kifedha Zinazochochea Kilimo

Mabanda ya Benki ya NMB yanaendelea kuwa miongoni mwa vivutio vikuu katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika kanda mbalimbali...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 2, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Vodacom Yaendeleza Uwezeshaji wa Wakulima Kupitia Huduma ya Lipa na M-Kulima

Kampuni ya Vodacom Tanzania inaendelea kuimarisha uwezeshaji wa wananchi, hususan wakulima, kupitia huduma za kifedha na mawasiliano zinazotolewa katika Maonesho...

READ MORE

Rais Samia na Rais Lourenço wa Angola wazindua Hospitali ya Julius Nyerere

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Jamhuri ya Angola,...

READ MORE

Hapatoshi Man United, Atletico Madrid Mechi ya Kirafiki

Leo, Jumamosi Agosti 1, 2026, uwanja wa Strawberry Arena jijini Solna, Stockholm nchini Uswidi, utakuwa jukwaa la mkutano kati ya...

READ MORE

Shigongo na MO Dewji Wajadili Njia za Kupambana na Umaskini Tanzania

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameshiriki picha akiwa pamoja na mfanyabiashara maarufu Mohamed Dewji (MO) wakati wa ziara yake ya...

READ MORE

Exim na YST Waendeleza Uwekezaji kwa Vijana Wabunifu kwa Mwaka wa Sita Mfululizo

Dar es Salaam Tanzania, 31 Julai 2026: Benki ya Exim Tanzania na Taasisi ya Wanasayansi Chipukizi Tanzania (YST) leo wamezindua...

READ MORE

FIFA Yatoa Siku 53 kwa Wanachama Kuamua Hatima ya Hisa za Kombe la Dunia

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amezipa nchi zote wanachama 211 wa shirikisho hilo zikiwemo nchi 54 za Afrika — siku...

READ MORE

Pinki Yatawala! Diamond na Zuchu Wathibitisha Wanatarajia Mtoto wa Kike – Video

Msanii wa Bongo Fleva, Nassib Abdul maarufu Diamond Platnumz na mkewe Zuchu wamefichua kuwa wanatarajia kupata mtoto wa kike, baada...

READ MORE

Mambo Muhimu ya Kujua Kabla ya Kununua Toyota Noah New Shape

Toyota Noah ni moja ya magari maarufu kwa familia kutokana na nafasi kubwa, matumizi mazuri ya mafuta na uimara wake....

READ MORE

Wanawake 40 Kupata Mafunzo na Mashine za Kushona kupitia Ufadhili Mpya

Standard Chartered Foundation kupitia Standard Chartered Tanzania imetoa msaada wa Sh21.46 milioni kwa ajili ya kuunga mkono Programu ya Mabinti...

READ MORE

Mshauri Mkuu wa Infantino Ajiuzulu, UEFA na AFC Wapinga Mpango wa FIFA

Mshauri mwandamizi wa Rais wa FIFA, Gianni Infantino, Carlos Cordeiro, amejiuzulu saa chache baada ya Shirikisho la Soka la Asia...

READ MORE

Oprah Kufunga Shule Yake ya Wasichana Afrika Kusini Baada ya Miaka 20

Mwanamama maarufu wa vyombo vya habari nchini Marekani, Oprah Winfrey, ametangaza kuwa shule yake ya wasichana nchini Afrika Kusini itafungwa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 1, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Maelfu ya Wahamiaji Warejea Morocco Baada ya Kuvamia Ceuta, Hispania

Maelfu ya wahamiaji walioingia katika mji wa Ceuta, unaomilikiwa na Hispania kaskazini mwa Afrika, wameanza kurejea kwa hiari nchini Morocco...

READ MORE

Kesi ya Uhaini ya Lissu Kuendelea Agosti 10 Hadi Septemba 7, 2026

Kesi ya uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Tundu Lissu itaendelea kusikilizwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya...

READ MORE

Mkongwe wa Soka la Italia Franco Baresi Afariki Akiwa na Miaka 66

Klabu ya AC Milan ilitangaza taarifa za kifo chake Ijumaa, Julai 31, 2026, huku ikieleza kuwa imepoteza mmoja wa watu...

READ MORE

CPA Tito Kitalika: Heche Hahusiki na Mfumo wa Fedha wa Chadema, Tuhuma Zipuuzwe – Video

Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo- CHADEMA, CPA Tito Kitalika amesema tuhuma wanazotoa watu kwamba...

READ MORE

Mchezo wa Ngao ya Jamii 2026 Kupigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa msimu wa 2026/27 utachezwa katika...

READ MORE

Davido Ajinunulia Jumba la Kifahari Georgia, Marekani Aandika Ujumbe wa Shukrani

Staa wa muziki wa Afropop kutoka Nigeria, Davido, amewaonesha mashabiki wake jumba jipya alilonunua hivi karibuni katika jimbo la Georgia,...

READ MORE

Rais Samia Aagana na Viongozi JNIA Kabla ya Safari ya Angola

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 31, 2026, ameondoka nchini kuelekea Luanda, Angola,...

READ MORE

Kafulila Aeleza Kwa Nini PPP Ni Muhimu kwa Mustakabali wa Uchumi

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE), David Kafulila, amesema kuwa mfumo...

READ MORE

Birmingham City Wapokea Barcelona Mchezo wa Kirafiki

Miaka 66 baada ya kukutana katika fainali ya kwanza kabisa ya Ulaya, Birmingham City na FC Barcelona wanarejeana tena Ijumaa...

READ MORE

Kijana wa Miaka 16 Aliyeokoa Mtoto Baharini Afunguka Mazito

Kijana mwenye umri wa miaka 16, Ryder Williams, ambaye amesifiwa kama shujaa wa kitaifa nchini Marekani baada ya kuokoa mtoto...

READ MORE

Mwanajeshi wa Kike Afungwa Baada ya Kupatikana na Hatia ya Kuwadhalilisha Wenzake Kijinsia

Mwanamke aliyekuwa mwanajeshi wa Jeshi la Wanamaji la Uingereza (Royal Navy), Sian Dowsett (25), amehukumiwa kifungo cha miezi 18 katika...

READ MORE

Miaka 25 ya Meridianbet: Sherehe Kubwa Kupitia UFC Fight Night Belgrade

Hakuna njia bora ya kusherehekea mafanikio makubwa kuliko kuwa sehemu ya historia ya mchezo mkubwa duniani. Ndivyo Meridianbet ilivyochagua kufanya...

READ MORE

Mahakama ya Rufani Yatupilia Mbali Ombi la DPP Katika Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

Dar es Salaam – Mahakama ya Rufani ya Tanzania imetupilia mbali shauri la marejeo Na. 720316/2026 lililowasilishwa na Mkurugenzi wa...

READ MORE

Cardi B Aamua Kutoa “Ah Ha” Baada ya Mashabiki Kumlazimisha Mtandaoni

Msanii wa muziki wa rap kutoka Marekani, Cardi B, ameamua kuachia rasmi wimbo wake mpya unaoitwa “Ah Ha” baada ya...

READ MORE

D4vd Akabiliwa na Ushahidi Mpya Mahakamani Katika Kesi ya Mauaji ya Binti wa Miaka 14

Mahakama ya Los Angeles imeendelea kusikiliza ushahidi dhidi ya mwimbaji D4vd, anayefahamika kwa jina halisi David Anthony Burke, anayekabiliwa na...

READ MORE