×

Habari

Waziri wa TAMISEMI Aielekeza Kampuni ya CRBC Kukamilisha Ujenzi wa Barabara

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ametaka...

READ MORE

Rais Dkt. Mwinyi Alivyoongoza Mazishi Ya Msanii Mkongwe Mzee Onyango

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, jana tarehe 13 Juni 2026, amejumuika...

READ MORE

Iran Yatangaza Ratiba ya Mazishi ya Kiongozi Mkuu Ayatollah Ali Khamenei

Iran imetangaza rasmi ratiba ya mazishi ya Kiongozi Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei, ambaye alifariki dunia...

READ MORE

Golden Goal Rewards Yaanza Rasmi, Washindi Kusaka Milioni 450

Kama unapenda michezo ya kasino yenye msisimko, Golden Goal Rewards ni nafasi yako ya kugeuza burudani kuwa ushindi. Meridianbet imeandaa...

READ MORE

Trump Atoa Tarehe ya Kusainiwa kwa Mkataba wa Amani na Iran

Viongozi wa Marekani na Pakistan wametangaza matarajio ya kusainiwa kwa makubaliano ya awali ya amani kati ya Marekani na Iran...

READ MORE

Fahamu Faida 7 Muhimu za Kula Machungwa Kila Siku

Machungwa ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa urahisi na yanayopendwa na watu wengi, lakini nyuma ya ladha yake tamu kuna...

READ MORE

Tanzania Yajipanga Kuwa Kitovu cha Uwekezaji Afrika Mashariki

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo, amesema serikali imehakikisha kuna mazingira tulivu ya uwekezaji, kwa kuweka masharti ya...

READ MORE

Washindi Wa Droo Ya Tatu Ya Kampeni Ya “Kila Muamala Ni Bao La Ushindi” Wakabidhiwa Zawadi Zao

Kampuni ya Mixx imewakabidhi zawadi washindi wa droo ya tatu ya kampeni ya “Kila Muamala ni Bao la Ushindi”, hatua...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 14, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Maelfu ya Vijana Wapewa Elimu ya Fedha Kutoka Nmb

  Benki ya NMB imesisitiza umuhimu wa kupeleka elimu ya fedha kwa umma sambamba na kupanua huduma rasmi za kifedha,...

READ MORE

Vinicius Jr. Abeba Matumaini ya Brazil Dhidi ya Morocco Kombe la Dunia

Nyota wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius Junior, anatarajiwa kuwa mtu wa kuangaliwa zaidi wakati Brazil itakapofungua kampeni yake...

READ MORE

Tazama Baby Shower ya Wema Sepetu Kabla ya Kujifungua Mtoto wa Kiume – Video

Staa wa filamu nchini, Wema Sepetu, amefanikiwa kupata mtoto wa kiume baada ya kujifungua jana, jambo lililopokelewa kwa furaha kubwa...

READ MORE

Mastaa Wampongeza Wema Sepetu Baada ya Kupata Mtoto wa Kiume

Mastaa mbalimbali wamefurika kwenye ukurasa wa Instagram wa msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, kumpongeza baada ya kuthibitisha kuwa amejifungua...

READ MORE

Marekani Yamuua Kiongozi wa Genge Hatari la Tren de Aragua Nchini Venezuela

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema vikosi vya kijeshi vya Marekani vimemuua Héctor Rusthenford Guerrero Flores maarufu kama Niño Guerrero,...

READ MORE

Fahamu Kicheche: Mnyama Mdogo Mwenye Tabia za Kuvutia

Kicheche ni mnyama mdogo jamii ya Nguchiro wanaopatikana sehemu mbalimbali duniani. Wanyama hawa hutofautiana mwonekano kutokana maeneo walipo lakini kimsingi...

READ MORE

Sakata la Mikopo Vyuo Vikuu ya HESLB, Wanafunzi 17 Wapandishwa Kisutu

Wanafunzi17 na mhitimu mmoja kutoka vyuo nane hapa nchini wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kupata mkopo kwa njia ya udanganyifu...

READ MORE

Rais Samia Amteua Dkt. John Jingu Kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt. John Antony Jingu kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama...

READ MORE

Video: Mume Aliyetuhumiwa Kumuua Mkewe Goba Aachiwa Huru na Mahakama

Mahakama Kuu, Masijala Ndogo Kanda ya Dar es Salaam, imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Ahukumiwa Miaka 30 Jela

Mahakama ya Seoul imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk-yeol, kifungo cha miaka 30 gerezani kufuatia tuhuma za...

READ MORE

Zari Athibitisha Kuvunjika kwa Ndoa Yake na Shakib Cham Baada ya Miaka Mitano

Mwanamitindo na mfanyabiashara maarufu, Zari Hassan, ametangaza rasmi kuachana na mume wake, Shakib Cham, baada ya kuwa pamoja kwa takribani...

READ MORE

DC Mapunda Aridhishwa na Maandalizi ya Sabasaba, Awaomba Wananchi Kujitokeza kwa Wingi

MKUU wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amesema ameridhishwa na maandalizi ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es...

READ MORE

Trump Asitisha Mashambulizi Dhidi ya Iran Baada ya Hatua Kubwa ya Mazungumzo – Video

DUBAI – Marekani na Iran zinatajwa kuwa karibu kufikia makubaliano muhimu baada ya ripoti ya Axios kueleza kuwa pande hizo...

READ MORE

Coca-Cola Yazindua Kampeni Ya Kombe La Dunia La FIFA 2026 Kuwaunganisha Watanzania Kupitia Soka

Dar es Salaam, Juni 11, 2026 – Kampuni ya Coca-Cola Tanzania imezindua rasmi kampeni ya Kombe la Dunia la FIFA...

READ MORE

Trump Aongeza Vitisho vya Kuteka Kisiwa Muhimu cha Mafuta cha Iran

Rais wa Marekani Donald Trump ameongeza kauli zake kali kuhusu uwezekano wa kukiteka Kisiwa cha Kharg cha Iran, akisema Marekani...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Kisima cha Mungu Babati Kinachovutia Watalii

Kisima cha Mungu ni moja ya vivutio vya asili vinavyovutia zaidi katika eneo la Babati, mkoani Manyara, Tanzania. Eneo hili...

READ MORE

Serikali Yapendekeza Mgao Mpya wa Mapato ya Kodi ya Pango la Ardhi

Serikali imependekeza kufanya marekebisho katika Sheria ya Ardhi, Sura ya 113, kwa lengo la kuweka utaratibu mpya wa mgawanyo wa...

READ MORE

Rais Samia Afuatilia Bajeti ya Serikali 2026/2027 Kutoka Ikulu Dar – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefuatilia kwa karibu Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya...

READ MORE

Video: Serikali Kusamehe Kodi Mwaka Mzima kwa Wafanyabiashara Wapya

Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/25 imepanga kutoa msamaha wa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wapya kwa kipindi cha...

READ MORE

Trump Atishia Iran: Tutawapiga Kwa Nguvu Usiku wa Leo na Kuchukua Udhibiti wa Kisiwa cha Kharg

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani itaishambulia Iran kwa nguvu kubwa usiku wa leo, huku pia akiahidi kuchukua udhibiti...

READ MORE

Serikali Yapendekeza Kupunguza Kodi za Magari ya Umeme na Vifaa vya Nishati Safi – Video

Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Khamis Mussa Omar, amesema Serikali imependekeza hatua mbalimbali za kikodi zitakazochochea matumizi ya nishati safi...

READ MORE

Nyumba ya Familia Yauzwa Kisa Fidia ya Shilingi Milioni Moja, Mama Aomba Msaada – Video

Mariamu Gwaruda, mkazi wa Kijiji cha Mwada wilayani Babati mkoani Manyara, ameiomba serikali kuingilia kati mgogoro wa fidia uliodumu tangu...

READ MORE

Serikali Kuongeza Ushuru wa Kamari Kufikia 5% Kupunguza Madhara ya Kijamii

Serikali imependekeza kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha asilimia 5 kwenye thamani ya dau la kamari zinazochezwa kupitia michezo...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Ahudhuria Mkutano wa Viongozi Duniani Norway

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amekutana na Bw. Massad Boulos, mwanadiplomasia na Mshauri Mwandamizi...

READ MORE

Marekani Yaishambulia Iran Tena, Trump Atoa Onyo Kali

Jeshi la Marekani limesema Alhamisi limefanya mashambulizi mapya dhidi ya malengo ya kijeshi ya Iran, baada ya Rais wa Marekani,...

READ MORE

Mwigizaji Mkongwe Mzee Onyango Afariki Dunia Alfajiri ya Leo

Tasnia ya sanaa ya maigizo nchini Tanzania imegubikwa na simanzi kufuatia taarifa za kifo cha muigizaji Mkongwe Issa Joseph maarufu...

READ MORE

Iran Yatangaza Kufunga Mlango wa Hormuz Baada ya Mashambulizi ya Marekani

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka kwa kasi baada ya Iran kutangaza kufunga kabisa Mlango wa Hormuz, mojawapo ya...

READ MORE

Wawekezaji Wamiminika FHF, Hati Fungani Yavuka Lengo Kwa Mara 6

Hati Fungani ya Makazi iliyotolewa na First Housing Finance (FHF) Tanzania na kuratibiwa na Stanbic Bank Tanzania imepata usajili wa...

READ MORE

Kafulila: Maendeleo ya Tanzania Yanahitaji Mageuzi Makubwa Zaidi

Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema Tanzania inahitaji...

READ MORE

EGT Digital Yaleta Msisimko Mpya Katika Kasino Mtandaoni

Kama unapenda michezo ya kasino yenye ubunifu na ubora wa hali ya juu, Meridianbet imeleta EGT Digital kwa ajili yako....

READ MORE

AGL Yaongoza Mapambano Dhidi ya Taka za Plastiki Tanzania

AGL Tanzania imechukua hatua muhimu katika kulinda mazingira kwa kutekeleza mpango wake wa “Plastic-Less”, unaolenga kupunguza matumizi ya plastiki zinazotumika...

READ MORE