×

Habari

Airtel Africa Yatoa Ripoti ya Maendeleo 2026, Yaonesha Ukuaji Mkubwa

London, Juni 10, 2026: Airtel Africa Plc (“Airtel Africa”), kampuni inayoongoza katika utoaji wa huduma za mawasiliano na huduma za...

READ MORE

Siri ya Mimba ya Mapacha: Fahamu Kwa Nini Mtoto Mmoja “Hupotea”?

Vanishing Twin Syndrome (kwa Kiswahili: pacha anayepotea) ni hali ya mimba ambapo mwanzo wa ujauzito huwa na mapacha (vijusi viwili),...

READ MORE

Kamanda Muliro Aeleza Watuhumiwa wa Mauaji Raia wa China Walivyokamatwa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Muliro J. Muliro amesema kuwa wananchi wanakumbuka kwamba tarehe 16 Mei, 2026,...

READ MORE

Rubani Atuhumiwa Kurusha Ndege Miaka 17 Bila Kuwa na Leseni Halali

Mamlaka za Canada zimesema rubani wa zamani wa shirika la ndege la Air Canada anatuhumiwa kusafirisha maelfu ya abiria kwa...

READ MORE

Bajeti Kuu ya Serikali kugusa maeneo muhimu ya kiuchumi

  Siku moja kabla ya kusomwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka wa fedha 2026/2027, Serikali imeeleza kuwa bajeti...

READ MORE

DStv :Tunataka Kila Mtanzania Apate Fursa ya Kushuhudia Kombe la Dunia 2026

Zikiwa zimebaki saa kadhaa Kombe la Dunia 2026 kuanza, Mkuu wa Masoko wa MultiChoice Ronald Shelukindo leo amesema lengo lao...

READ MORE

Somalia Yasikitishwa na Kuzuiwa kwa Mwamuzi Omar Artan Kuingia Marekani

Serikali ya Somalia imemtetea mwamuzi wake maarufu Omar Artan baada ya kunyimwa ruhusa ya kuingia Marekani, jambo lililomfanya kushindwa kuwa...

READ MORE

Fahamu Samaki wa Ajabu Anayetumia Umeme Kuwinda na Kujitetea

Samaki aina ya Electric Catfish ni miongoni mwa viumbe wa ajabu zaidi majini kutokana na uwezo wake wa kuzalisha umeme...

READ MORE

Fahamu Faida 7 za Ajabu za Kula Mlenda Mwilini

Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi...

READ MORE

Exim Yaendesha Zoezi la Uchangiaji Damu Kushirikiana na Taasisi ya Taifa ya Damu Salama

Benki ya Exim Tanzania leo Juni 10, 2026 imeendesha zoezi la la uchangiaji damu wa hiari kitaifa kwa kushirikiana na...

READ MORE

Kapinga: Sekta Binafsi Ni Nguzo Muhimu ya Maendeleo ya Taifa

Mgeni rasmi Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Judidh Kapinga akizungumza mbele ya Wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye hafla ya uzinduzi...

READ MORE

Mgawanyo wa Hisa Nmb Wafungua Mlango Kwa Wawekezaji Wapya

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NMB Bank PLC, David Nchimbi, (katikati) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu...

READ MORE

Shigongo Atimiza Ahadi kwa Mama Aliyezuia Mauaji ya Kijana – Video

Mwanamama Salome Lawrance Kikoti ambaye siku chache zilizopita alitrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufanya tukio la aina yake,...

READ MORE

Trump Athibitisha Helikopta ya Marekani Kushambuliwa na Iran Hormuz

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema Iran imeidungua moja ya Helikopta za kisasa za kijeshi za Marekani aina ya Apache...

READ MORE

Tanzania Yarudi Kwenye Jukwaa Kubwa Zaidi la Sanaa Duniani na Kuvuta Hisia za Watazamaji wa Kimataifa

Wasanii wanne wa Tanzania ambao ni Turakella Editha Gyindo, Amani Abeid, Lazaro Samuel na Valerie Asiimwe Amani, wameipeperusha vyema bendera...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Mapokezi ya Rais wa Singapore Ikulu ya Dar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amempokea rasmi Tharman Shanmugaratnam katika Ikulu ya Dar...

READ MORE

Helikopta ya Kijeshi ya Marekani Yaanguka Hormuz, Trump Afunguka

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa wanajeshi wawili wa helikopta ya kijeshi ya Marekani wako salama baada ya kuokolewa...

READ MORE

Ufaransa Yajivunia Kikosi Cha Moto Kuelekea Kombe la Dunia

Kuanzia tarehe 11 June tutaenda kushudia vipaji vya maana kwenye michuano hii ya Kombe la Dunia ambapo tayari Meridianbet imeshakupatia...

READ MORE

Trump: Makubaliano ya Amani Iran na Israel Yamefikia Hatua za Mwisho

Rais wa Marekani Donald Trump amesema mazungumzo ya amani kati ya Iran na Israel yako katika hatua za mwisho baada...

READ MORE

FIFA Yamuondoa Mwamuzi wa Somalia Kombe la Dunia 2026 Baada ya Kuzuiwa Marekani

Shirikisho la Soka Duniani, FIFA limethibitisha kuwa mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, hatachezesha mechi za Kombe la Dunia 2026...

READ MORE

Mabadiliko ya Tabianchi Yaendelea Kutishia Uchumi wa Tanzania

Kadri changamoto za mabadiliko ya tabianchi zinavyoendelea kuongezeka duniani ndivyo amabvyo kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) inaendelea kuonesha jinsi...

READ MORE

Cheza Slotopia, Furahia Bonasi na Ushindi Ndani ya Meridianbet

Kwa vijana wanaopenda burudani ya kisasa mtandaoni, Slotopia ndani ya Meridianbet imeleta kiwango kipya cha michezo ya sloti. Hapa unapata...

READ MORE

Marubani Wawili Wafariki Katika Ajali ya Private Jet ya Yadier Molina

Gwiji wa zamani wa mchezo wa Baseball, Yadier Molina amenusurika kupanda ndege binafsi aina ya Gulfstream G200 iliyopata ajali na...

READ MORE

Tambua Setingi Muhimu Kwenye Simu Yako ya Android Ili Kujilinda

Katika ulimwengu wa sasa ambao teknolojia imekuwa sehemu ya maisha ya kila siku, simu za Android zimebeba taarifa nyingi muhimu...

READ MORE

Faida ya Sh Trilioni 1 Yaipa NMB Msukumo wa Ukuaji Mpya

  Benki ya NMB imetangaza kuingia katika awamu mpya ya ukuaji baada ya kukamilisha Mpango wake wa Muda wa Kati...

READ MORE

Mauzo ya Hatifungani za Makazi Yavunja Rekodi, Yakua kwa Asilimia 661.1

MAUZO ya Hatifungani ya MAKAZI ya Kampuni ya First Housing Finance Limited yamepata mafanikio ya asilimia 661.1, ambapo kiasi cha...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Dar – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu jijini Dar...

READ MORE

Trump Atoa Onyo Iran na Israel Kusitisha Mashambulizi, Houthis Waingia Kwenye Vita – Video

Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran na Israel kusitisha mara moja mashambulizi yao ya kulipizana kisasi huku hali ya...

READ MORE

Fahamu Njia Sahihi ya Kupaki Gari la Automatic, Linda Gearbox Yako

Wataalamu wa magari wameeleza kuwa kuna utaratibu muhimu unaoshauriwa kufuatwa wakati wa kupaki gari aina ya automatic ili kulinda mfumo...

READ MORE

Uwekezaji wa Urusi Wafungua Fursa Mpya za Ukuaji wa Uchumi Tanzania- Balozi Ulanga

Serikali ya Tanzania imeendelea kuimarisha diplomasia ya uchumi kwa mafanikio makubwa baada ya kuvutia wawekezaji kutoka Urusi katika sekta mbalimbali...

READ MORE

Gari la Maajabu: Fahamu 2026 Hyundai Palisade Calligraphy Hybrid AWD

Katika ulimwengu wa magari ya kisasa, 2026 Hyundai Palisade Calligraphy Hybrid AWD imejitokeza kama chaguo la kisasa kwa familia, wapenzi...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 8, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Airtel Yaungana na Serikali Kupanda miti Bagamoyo na Kusafisha Fukwe Dar

Bagamoyo, Juni 5, 2026 Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo imetoa wito kwa wadau wa maendeleo kuimarisha ushirikiano na serikali katika...

READ MORE

Uhifadhi Mazingira, Standard Chartered Yaongoza Upandaji Miti

Kama sehemu ya dhamira yake endelevu ya kukuza uendelevu wa mazingira na uhifadhi wa mazingira, Standard Chartered Tanzania iliongoza shughuli...

READ MORE

Global TV Online Yatangaza Nafasi ya Kazi ya Content Moderator

GLOBAL TV imetangaza nafasi ya kazi kwa vijana wenye ubunifu na shauku ya kufanya kazi kwenye sekta ya habari za...

READ MORE

Kim Kardashian na Dada Yake Waibuka Monaco Kumshangilia Lewis Hamilton

Kim Kardashian ameonekana akimpa sapoti mpenzi wake Lewis Hamilton wakati wa mazoezi ya kufuzu kuelekea Monaco Grand Prix 2026 iliyofanyika...

READ MORE

Marekani Yapanga Kutumia Mali za Iran Kufidia Uharibifu Mashariki ya Kati

Serikali ya Marekani inapanga kuangalia uwezekano wa kuelekeza mali za Iran kwenda mataifa ya Ghuba kwa ajili ya kugharamia ukarabati...

READ MORE

Familia ya Watu Wenye Ulemavu Yapewa Msaada wa Ujenzi Baada ya Nyumba Kubomoka – Video

Taasisi ya Tanzania Generation Care imetoa msaada wa mifuko ya saruji, mabati pamoja na matofali kwa ajili ya kumsaidia mlemavu...

READ MORE

Rais Samia Aweka Rekodi ya Kupokea Shahada za Heshima Nyingi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunukiwa jumla ya shahada nane za heshima (Honorary Doctorates) tangu...

READ MORE

Waziri wa Mambo ya Nje Iran Amjibu Rais wa Lebanon Kwa Maneno Makali

TEHRAN, Iran — Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametoa kauli kali akimjibu Rais wa Lebanon, Joseph...

READ MORE