×

Ijumaa

Uzinduzi wa Ndi Ndi Ndi… Mpasuo wa Jide gumzo!

  Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ akizungumza na wadau. MAYASA MARIWATA LEJENDARI wa Muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’...

READ MORE

Mchungaji: JPM aandaliwe mkesha wa maombi

Rais Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ Stori: Oscar Ndauka, WIKIENDA DAR ES SALAAM: Neema ya Mungu! Mchungaji wa Kanisa la...

READ MORE

Gigy Aopoa Kigogo wa Madini

Video Queen asiyeishiwa vituko Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ MAYASA MARIWATA Kazi ipo! Video Queen asiyeishiwa vituko Bongo, Gift Stanford...

READ MORE

Mume Apotea Miaka 10, Mkewe Adai Mirathi

Angetruda Millinga anayedai kupotelewa na mume. RUVUMA: Inauma sana! Angetruda Millinga ambaye alikuwa mke wa Benedict Mlaponi ameibuka na kusema...

READ MORE

Kibao Msambwanda, Singeli kutawala Kesho Dar Live

Msaga Sumu akitawala jukwaa la Dar Live. ANDREW CARLOS MASHABIKI wa Kibao Msambwanda, Singeli, Bongo Fleva, Mduara na Mchiriku wanatarajia...

READ MORE

Madai ya Wizi wa Marehemu Ajalini, Tunda Man Abanwa

Staa wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ pamoja na marehemu Man Katuzo. NYUMA ya ajali ya gari ndogo aina...

READ MORE

Pinkieto: Dairekta Aliniomba Penzi, Nikampa…

Gisela Joseph ‘Pinkieto’ Kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo ya filamu, jina la Gisela Joseph ‘Pinkieto’ litakuwa si geni kwako....

READ MORE

Lulu Laana Hiyo!

Muigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ Na Erick Evarist, Ijumaa Madai ya Kumuita Mama Kanumba Kubwa Jinga… KITENDO cha...

READ MORE

Nay wa Mitego Mnasa Penzi la Ladiva

Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ Na Waandishi Wetu, Ijumaa Dar es Salaam: MAHABA niue! Hiyo ndiyo kauli nzuri unayoweza kuitumia...

READ MORE

Utata Nyumba Mpya ya Diamond!

Staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Na Musa Mateja, Ijumaa Dar es Salaam: Habari ‘hot inayotrendi’ kwa sasa ni...

READ MORE

Vai: Tumbua ya Magufuli imepeperusha mabwana!

Staa wa filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ Gladness Mallya na Mayasa Mariwata STAA wa filamu za Kibongo,...

READ MORE

Madaha: Nikikosa faragha siku 3 tu naugua

Baby Joseph Madaha Stori: MAYASA MARIWATA STAA wa muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ametoa kali ya mwaka baada ya kusema...

READ MORE

Amanda asubiri ndoa amuanike hubby wake

Tamrina Posh ‘Amanda’ Na Hamida Hassan Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ ameibuka na kusema kuwa amejifunza kuwa...

READ MORE

Tunda, Young Dee eti wataoana kwa siri

Video Queen ‘hot’ Bongo, Tunda Sabasita na Mwanamuziki David Genze ’Young D’ Stori: Imelda Mtema Video Queen ‘hot’ Bongo, Tunda...

READ MORE

Mama Diamond; utawakumbatia wangapi kwa mwanao?

Diamond akiwa na mama yake mzazi, Sandra. SANURA Kassim ni jina la mama mzazi wa msanii nyota wa Muziki wa...

READ MORE

Dyna: Nahisi nitazeeka bila kuolewa

Mwanaisha Nyange ‘Dyna’ Stori: MAYASA MARIWATA MWANADADA anayebamba na ngoma ya Angejua, Mwanaisha Nyange ‘Dyna’ amesema muda mrefu amekuwa akisaka...

READ MORE

Joanita: Akina Gigy, Tiko ‘cha mtoto’ kwangu

Fatuma Makame ‘Joanita’ Na Mwandishi wetu Msanii mkongwe kwenye tasnia ya uigizaji Bongo, Fatuma Makame ‘Joanita’ ameeleza kuwa Video Queen...

READ MORE

Wastara Atolewa Mahari Sh. Mil. 5

Staa wa sinema za Bongo, Wastara Juma. Na Imelda Mtema DAR ES SALAAM: Bahati! Siku chache baada ya nyota wa...

READ MORE

Aliyejitangaza… Shoga Aangua Kilio Studio

Kijana Karimu Said ‘Anti Karim’ akitoa ushuhuda redioni. STORI: Dustan Shekidele, Ijumaa Wikienda Morogoro: My confession! Katika hali isiyo ya...

READ MORE

Msanii amgonga trafiki, akiona!

Msanii wa Bongo Fleva, Cyril Kamikaze aliyedaiwa kumgonga trafiki. STORI:  Mayasa Mariwata, Wikienda Dar es Salaam: Kibano! Msanii wa Bongo...

READ MORE

Aunt ajinasua kwa JPM

Staa wa Bongo Muvi, Aunt Ezekiel Grayson. Stori: Musa Mateja, DAR ES SALAAM:Hatimaye staa wa Bongo Muvi, Aunt Ezekiel Grayson...

READ MORE

Jide ampeleka Ray C kwenye maombi

Jide (kushoto) akiwa na Ray c (katikati) pamoja na shoga yao. STORI:  Musa Mateja na Sifael Paul, Wikienda Dar es...

READ MORE

Magufuli awalaza njaa wapiga dili mjini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli ‘JPM’. STORI: Sifael Paul, Wikienda Dar es Salaam: Hali...

READ MORE

Ukweli wa kaka’ke Diamond kubaka Sweden

Kaka wa staa wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Rommy Jones. STORI: Musa Mateja, Wikienda Dar es Salaam: Mwisho...

READ MORE

Ombaomba wabuni mbinu mpya!

Watoto wakiwa kwenye harakati za kuomba. Stori:  Hamida Hassan na Mayasa Mariwata Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

READ MORE

Mafufu adaiwa kuzabwa kibao na mkewe

Na Imelda Mtema Kali tuliyoinasa inamhusu msanii maarufu wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu ambaye inadaiwa juzikati alijikuta akinaswa kibao na...

READ MORE

17 wapinduka na trekta, wajeruhiwa!

Stori: Stephano Mango, Ruvuma Ijumaa: Mtembea kwa miguu, mkazi wa Kijiji cha Hanga wilayani Namtumbo mkoani hapa, Bitnes Ngonyani amegongwa...

READ MORE

Mbunge adaiwa kuzaa na bintiye

stori:  Mwandishi wetu, Ijumaa DAR ES SALAAM: Aibu kubwa! Habari zilizotua kwenye dawati la Ijumaa hivi karibuni zinasema kuwa, Mbunge...

READ MORE

Maajabu mazishi ya ndanda Kosovo

 Na Richard Bukos MWANAMUZIKI nyota wa Muziki wa Dansi nchini, Onawembo Ngongo maarufu kama Ndanda Kosovo amezikwa katika Makaburi ya...

READ MORE

Nay wa Mitego Ajipa Dili la Kuosha Gari Zake

Stori: Musa Mateja Kama ulikuwa ukidhani kuwa Mwanamuziki Nay wa Mitego ni bishoo, utakuwa umechelewa sana kwani jamaa amejipa dili...

READ MORE

Roma Ndoa Yake Yachokonolewa

Stori: MAYASA MARIWATA MKALI WA Hip Hop Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ ambaye siku chache zilizopita aliaga ubachela na kumuoa...

READ MORE

Ndauka afungukia mapenzi, kampuni yake!

Mwanadada Rose Ndauka. Leo kwenye safu yetu hii tunaye mwanadada Rose Ndauka ambaye amepotea kidogo kwenye sanaa ya uigizaji kutokana...

READ MORE

Kajala amtolea chozi kigogo wa Wema!

Kajala Masanja Na Imelda Mtema Siku chache baada ya gazeti dada na hili, Risasi Jumamosi kuandika juu ya aliyekuwa kigogo...

READ MORE

Wastara Amshikia Kisu Mbunge

Wastara Juma stori:  hamida hassan na Gladness mallya, Ijumaa Dar es Salaam: Untold story! Staa wa filamu za Kibongo, Wastara...

READ MORE

Kadja ageuka mwalimu wa GYM

Stori: MAYASA MARIWATA MWANADADA anayefanya poa kwenye gemu la muziki Bongo, Khadija Maige ‘Kadja Nito’ baada ya kufanya mazoezi kwa...

READ MORE

The Angels of The Darkness (Malaika wa Giza)-70

Watoto wawili mapacha, Arianna na Brianna wanatenganishwa wakiwa bado wadogo kufuatia tukio baya la kigaidi linalotokea wakiwa mapumzikoni na wazazi...

READ MORE

Warembo Dar wajiuza jirani na Ubalozi wa Ufaransa

Stori: Issa Mnally na Richard Bukos, Wikienda Dar es Salaam: Hii ni hatari! Ile Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global...

READ MORE

Mchepuko atorosha mke wa msanii!

Morogoro: Maumivu! Msanii wa Bongo Fleva na Nyimbo za Asili mjini hapa, Paskali Linda almaarufu Batarokota anaishi maisha ya upweke...

READ MORE

Usipige Bwana…Tuma Meseji!-20

ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA WIKIENDA: Kule sebuleni, Nancy alipoona Neema anachelewa kurudi na yeye anataka kuondoka, alisimama kumfuata chumbani kwa...

READ MORE