The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

Amber Lulu

Amber Lulu Amtamani Jux

MSANII wa muziki Bongo, Amber Lulu amesema amepanga kuzaa watoto watano ambapo kila mtoto atakuwa na baba yake. Lulu amesema hayo akidai kwamba sababu kuzaa kila mtoto na baba yake ni kwamba akizaa na baba mmoja kisha…

Utata Waibuka Mimba Amber Lulu

Utata mzito umeibuka juu ya mimba aliyobeba msanii wa bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ ambapo swali la msingi la wengi ni nani baba wa mtoto au mwenye ujauzito huo? Katika mahojiano yake na Gazeti la IJUMAA WIKIENDA…

Amber lulu Amtolea Uvivu Uchebe

BAADA ya mzazi mwenzake na msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, Ashraf Uchebe kuposti picha katika ukurasa wake wa Instagram akiwa na msanii Lulu Eugene ‘Amber Lulu’ na kusindikiza na maneno yaliyoashilia kuwa mrembo huyo…

Mondi Amponza Amber Lulu

SUPASTAA mkubwa wa muziki barani Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amemponza sexy lady anayekiwasha kwenye Bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’. Amber Lulu ameliambia Gazeti la IJUMAA kuwa, amejikuta akishambuliwa…

Amber Lulu Ana Msitu Kwapani

HAYA ni makubwa! Msikie msanii anayefanya poa kunako Bongo Fleva, Lulu Auggen ‘Amber lulu’ amesema ameshindwa kujifanyia usafi kiasi cha kuwa na msitu kwapani kwa kuwa pesa zimemzidi. Amber Lulu ameliambia Gazeti…

AMBER LULU KUMZALIA PREZZO!

VIDEO queen ambaye pia anafanya poa kunako Bongo Flevani, Lulu euggen ‘Amber Lulu’ amesema kwa sasa anaona kuwa hakuna cha kusubiri tena zaidi ya kumshauri mpenzi wake, Jackson Makini ‘Prezzo’ wazae mtoto. Akizungumza na Amani,…

Mapenzi yamnyoosha Amber Lulu

MWANADADA kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva ambaye pia ni muuza sura kwenye video za Kibongo, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’, amesema kuwa mapenzi yamemnyoosha na kwa sasa ameamua kujiweka kando. Amber, aliyewahi kuwa kwenye…

Amber Lulu Amsikitikia Mobeto

MSANII wa Bongo Fleva ambaye pia ni muuza nyago ‘video vixen’ Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ amemfungukia mzazi mwenziye na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Hamisa Mobeto kuwa, anamsikitikia kipindi anachopitia kutokana na…