Mwanachuo Amuuwa Mpenzi wake kwa Kisu Kisa Wivu wa Mpenzi Dodoma
MWANAFUNZI wa Chuo cha St John, Winfrida Michael (24) amefariki dunia baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake Julius Gervas (26) ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho sababu ikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi.
Kamanda wa…