The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

muziki

‘Waah’ ya Diamond Yaweka Rekodi Afrika

MSANII wa Bongo Fleva anayeipeperusha vyema bendera ya Tanzania kimataifa, Nassib Abdul 'Diamond', ameweka rekodi  baada ya kufikisha views milioni moja ndani ya saa nane tu kwenye mtandao wa Youtube. Diamond anaikaribia …

Nandy Ampindua Zuchu Kwa Mondi

DAR: Kwa harakaharaka unaweza kusema kwa mwaka huu wa 2020 unaoelekea ukingoni, mwanadada Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’, ameua ndege wawili kwa jiwe moja; alifanikisha kolabo na mastaa wakubwa wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul…

NANDY AKESHA AKISALI ASIBUME

MSANII wa muziki Bongo, Faustina Charles ‘Nandy’ amesema kwa sasa anatumia muda mwingi kukesha kwenye maombi kwa lengo la kuendelea kung’arisha nyota yake, ikiwa ni pamoja na kutobuma kwa kazi zake. Akipiga stori na…

Bill Nas Apiga Chini Muziki

STORI: Boniphace Ngumije | RISASI JUMAMOSI MSANII wa Bongo Fleva, Bill Nas amefunguka kuwa kwa sasa ameamua kuupiga chini muziki ili kuhakikisha anashiriki vyema na kutumia muda wake wote kwenye masomo aliyobakiza katika Chuo cha…

Maua Afunguka Kinachomkwamisha

Na Boniphace Ngumije | UWAZI | SHOWBIZ MWANAMUZIKI aliyetamba na Wimbo wa Mahaba Niue, Maua Sama ameeleza namna ilivyo vigumu kwa wasanii wengi wa Bongo kupenya, kujitanua na kulivuruga soko la kimataifa kutokana na changamoto…