The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

Rayvanny

Rayvanny Akwama Kuondoka Wasafi

KUMEKUWA na tetesi nyingi kuwa msanii Raymond Mwakyusa au Rayvanny yupo mbioni kuondoka kwenye Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) inayomilikiwa na Diamond Platnumz. Tetesi hizo zilipaswa moto na mmoja wa mameneja wa WCB, Mkubwa Fella…

Fahyma: Rayvvany I Miss You

FAHYMA ni mwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania, ni modo, fashenista, mjasiriamali, balozi wa brandi mbalimbali, sosholaiti, mwigizaji, dansa, video-vixen, mtangazaji na baby mama wa msanii Rayvanny ambaye amejaaliwa naye mtoto mmoja wa…

Lebo Tishio Bongo 2022

ZAMANI wakati muziki wa Bongo Fleva unakua, miongoni mwa lebo zilizokuwa zinasimamia kazi za wasanii na kutengeneza kazi bora ni pamoja na Bongo Records, MJ Records, Mawingu Studio, Sound Crafters, Empty Souls, Akili Records, G Records…

Fahyma Afunguka Kuwa na Stresi

MWANAMITINDO wa kimataifa wa Tanzania ambaye ni baby mama wa staa wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’, Faima Msengi au Fahyma amefunguka juu ya tetesi za kuwa na msongo wa mawazo (stresi) akieleza anachokifanya ikimtokea hali kama…

Fahyma Amsifia Tena Rayvanny

MREMBO Fahyma 'Fahyvanny' anasema bado anaendelea kumsifia baba mtoto wake Rayvanny kwa sababu ni mtu aliyekamilika na muhimu sana kwa upande wake. Fahyvanny ameeleza hilo akimjibu shabiki baada ya ku-comment kwenye picha…