The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

zari

Zari: Wenye Wivu Wajinyonge

PAMOJA na kukanusha mara kadhaa akisema wao ni marafiki tu, hatimaye mwanamama Zari The Boss Lady amechoka kufichaficha kwani penzi ni kikohozi na kulificha huwezi! Hatimaye Zari ameamua kujilipua waziwazi kuwa mwanaume ambaye…

Zari Athibitisha ni Mke Bora

MWANAMAMA mwenye pesa zake ambaye pia ni baby mama wa msanii Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady ame thibitisha kuwa ni mke bora (wife material) baada ya kuonekana kwenye video akim hudumia jamaa anaye semekana ni mpenzi wake mpya kwa…

Zari Ashindwa Kumzima Zuchu

BABY mama wa msanii mkubwa nchini Tanzania, Nasibu Abdul au Diamond Platnumz, mwanamama ZarinahHassan ‘Zari The Boss Lady’, anadaiwa kushindwa kuhimili kishindo cha tetesi za jamaa huyo kutoka kimapenzi na msanii wake, Zuhura Othman…

Mondi Amvimbisha Kichwa Zari

AMKENI…amkeni…! Unaambiwa huko nchini Afrika Kusini kumenoga kufuatia mahaba mazito ambayo yapo fulu chaji kati ya Msanii wa Bongofleva, Diamond Platnumz na mzazi mwenzie, Zarina Hassan ‘Zari the boss lady’. Miongoni mwa…

Zari, Mondi Wajifungia Bafuni

WAHENGA walipata kusema; ‘wagombanapo wapenzi, shika jembe ukalime!’ Ndicho anachosisitiza mmoja wa mameneja wa staa wa muziki barani Afrika, Nasibu Abdul au Diamond Platnumz, Sallam Sharif maarufu kama Sallam SK. Hayo yalijiri baada…

Zari Ammisi Diamond Platnumz

BAADA ya kuachana na bwana’ke mwingine aliyepewa jina la Dark Stallion (Farasi Mweusi), baby mama wa staa wa muziki barani Afrika, Nasibu Abdul au Diamond Platnumz, Zarinah Hassan au Zari The Boss Lady amesababisha sintofahamu, IJUMAA…

Zari, Wema Ni Piga Nikupige

NI piga nikupige! Hicho ndicho kinachojiri baina ya maeksi wa supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ na Wema Isaac Sepetu. Kwa takriban wiki nzima sasa moto umewaka…

Wema na Zari, Vita Imenoga

ILIANZA kama masihara tu hivi lakini sasa hivi mambo yametaradadi kati ya muigizaji Wema Sepetu na mrembo kutoka pande za Sauz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, wanapigana vijembe ile mbaya. Awali, ishu…

Mama Dangote Ampigia Saluti Zari

MAMA mzaa chema wa staa mkubwa wa muziki barani Afrika kutoka nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Mama Dangote’, amempigia saluti mmoja wa wakwe zake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’. Mama…

Bwana Mpya Amponza Zari

YULE bwana mpya aliyemtambulisha kwa picha hivi karibuni mzazi mwenziye Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, amemzulia msala wa aina yake mtandaoni. Kilichotokea ni kwamba, mara baada ya…