Manula Awagawa Mabosi Simba kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi
PRESHA imezidi kuongezeka kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi, ni baada baadhi ya viongozi kumtaka kipa namba moja Aishi Manula akae golini kuchukua nafasi ya Ally Salim.
Dabi hiyo inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki, wadau wa soka…