TASAC Yang’ara Tuzo Za NBAA Kushika Nafasi Ya Kwanza Kwa Mashirika ya Umma ya Udhibiti…
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) yangara nafasi ya kwanza kwa Mashirika ya Umma ya Udhibiti katika uandaaji bora wa Hesabu mwaka 2022.
Tuzo hizo hutolewa kila mwaka na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu…