Snura, Ney, Stamina, Mc Kinata, Chegge Chigunda, Maua Sama Waiteka Tmk kwa Tamasha la Zege Day
WASANII mbalimbali Leo wamefanikiwa kuusimamisha ukanda wa Wilaya ya Temeke na viunga vya jirani Jijini Dar es Salaam kwa kuwakutanisha mashabiki mbalimbali kwenye tamanasha la Kimataifa lililofahamika kama 'Zege Day' lililofanyika…