WHOZU Akiri Kukamatika Kwa Tunda
MSANII wa Bongo Fleva, Oscar Lelo au Whozu anafunguka kuwa, amekamatika ile mbaya baada ya hisia zake kimapenzi kutekwa na baby mama wake, Tunda Sebastian.
Akizungumza na Gazeti la IJUMAA, Whozu anasema kuwa, upendo alionao…