Kufuatia tamko la kufungiwa na kulipishwa faini kwa wasanii watatu, Whozu, Mbosso na Bilnass lililotolewa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) jana, Novemba 4, 2023, wadau na mashabiki mbalimbali wameibua mjadala mkubwa mitandaoni.…
Dar es Salaam, 16-Oct. Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Billnas amepiga bonge la shoo iliyokwenda kwa jina la Maokoto ndani ya Kizibo na kuwainua kwa shangwe Washua waliojumuika kwenye uzinduzi wa Kampeni ya ‘Maokoto Chini ya…
MWANAMUZIKI William Lyimo ‘Billnass’ (Nenga) ameachia video ya wimbo wake mpya wa Maokoto ambao amemshirikisha msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo.
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU…
SUPASTAA wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘nandy’ ameamua kufunguka ya moyoni kuhusu mahaba anayopewa na mumewe ambaye pia ni msanii mwenzake, William Lyimo ‘Billnass’ katika maisha yao ya ndoa waliyoyaanza hivi karibuni.…
MSHAURI wa masuala ya mahusiano Sheikh Abdulrazack amefichua siri ambayo ilikuwa haifahamiki miongoni mwa mashabiki wengi wa muziki nchini kuhusu namna wasanii wawili Billnass pamoja na Nandy safari yao ya uhusiano ilivyoanza hadi hapo…
MSHEREHESHAJI maarufu nchini na Staa wa filamu Dkt Cheni amesema dili la kusherehesha harusi ya mastaa wa Bongo Fleva Billnass na Nandy alipewa yeye baada ya kufanyika mchakato wa kupigiwa kura ambapo yeye ndiye aliyeibuka mshindi namba…
RAIS wa klabu ya Yanga Injinia Hersi Said jana amekabidhi kadi za uanachama kwa Wasanii Faustina Mfinanga Maarufu Nandy na William Lyimo ambao jana walifunga pingu za Maisha.
Mbali na kadi hizo pia Injinia Hersi…
MWENYEKITI wa kamati ya harusi ya Nandy na Billnass iliyofanyika jana Julai 16, 2022, Steve Nyerere alisema kwamba harusi hiyo imegharimu kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 2 kwa ajili ya ukumbi, chakula, vinywaji n.k ukiachilia mbali…
Msanii Faustina Mfinanga almaarufu kama 'Nandy' amejikuta akitokwa na machozi ya furaha madhabahuni wakati akila kiapo cha ndoa leo Julai 16, 2022 ambapo amefunga pingu za maisha na msanii William Lyimo maarifu kama Billnass.
Ndoa…
IKIWA ni siku mojaa baada ya kuchaguliwa kwa msanii maarufu nchini, Steve Nyerere ibu ya kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Harusi ya wasanii wenzake, Billnas na Nandy, hatimaye Steve asiyeishiwa vituko amekuja na jipya.
Kupitia…
Nandy au The African Princes na Billnass au Nenga; ni wapenzi mastaa wakubwa wa muziki nchini Tanzania ambao wikiendi hii (kesho) wanatarajiwa kufunga ndoa ya chap kwa haraka; ya zimamoto.
Kwa mujibu wa familia ya…
Faustina Charles au Nandy na Wiliam Lymo au Bilnass au Nenga; ni mastaa wakubwa wa muziki nchini Tanzania ambao hayawihayawi sasa yanaenda kuwa kwani ndoa yao ni mwezi huu.
Wawili hao wamekuwa kwenye mahusiano kwa muda…
MSHEREHESHAJI maarufu nchini, MC Garab amesema amekuwa mbunifu siku zote katika kazi yake ili kuleta tija na kuzifanya sherehe anazoziendesha kuvutia na kuinekana za tofauti.
Akipiga stori na Global TV, MC Garab…
VIDEO Clip ya msanii Billnass akiwa anaonyesha begi lililojaa mpunga imekuwa ikisambaa mitandaoni huku kila mmoja akireact kivyake.
Kwa mujibu wa Mwijaku ni kuwa hali hiyo imemfanya msanii huyo aingiwe na hofu ya kudhuriwa…
MREMBO anayekiwasha kunako tasnia ya muziki nchini Tanzania, Nany The African Princess ameweka wazi kwamba, mchumba wake, Billnass anahusika kwa asilimia 50 kwenye mafanikio yake.
Nandy aliyasema hayo usiku wa kuamkia jana Jumapili baada…
UTAJUA hujui! Ndivyo walivyosikika mashabiki baada ya kuwaona wapenzi ambao ni mastaa wa Bongo FLeva, Faustina Charles ‘Nandy’ na William Lyimo almaarufu Billnass wakikumbatiana na kuoneshana kwa mara ya kwanza tangu mwaka huu umeanza.…
MWANAMUZIKI William Lyimo ‘Billnass’ (Nenga) baada ya kushuka stejini usiku wa kuamkia leo Septemba 5, 2021 kwenye steji ya Nandy Festival, Viwanja vya Posta Kijitonyama amefunguka kuhusu kurudiana na mpenzi wake Nandy.. ⚫️…
BAADA ya muda mrefu Sexy lady kunako Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ kudaiwa kuachana na mpenzi wake William Lyimo ‘Billnass’ (Nenga) usiku wa leo Septemba 5, 2021 kwenye Tamasha la Nandy Festival wawili hao wamefanya shoo ya…
Sexy lady kunako Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amefunguka ishu ya kuachana na mpenzi wake msanii wa Bongo Fleva, William Lyimo maarufu Billnass.
JINA kwenye kitambulisho cha Nida ni Faustina Charles Mfinanga. Ila wengi wanamtambua kama Nandy kutokana na kuwika kunako Bongo Fleva.
Kwa sasa ndiye msanii wa kike ambaye amefikia hatua ya kuandaa tamasha lake mwenyewe…
MASKINI NANDY Sexy lady kunako Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ anaonekana kutia huruma huku akiwataka mashabiki wake kuamini kwamba mambo yamebadilika juu ya uhusiano wake na Staa wa Bongo Fleva, William Lyimo ‘Billnass’ (Nenga).…
MWANAMUZIKI Nandy amefanya balaa usiku wa kuamkia leo Juni 18, 2021 Mkoani Mwanza kwa kupiga shoo ya nguvu kwenye Tamasha lake la Nandy Festival 2021.
Nabdy ameonekana kutia huruma huku akiwataka mashabiki wake kuamini…
BAADA ya mwanadada Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’ kudai kuwa, staa wa Bongo Fleva, William Lyimo ‘Billnass’ atakuwa mmoja wa washiriki wa Tamasha la Nandy Festival 2021, jamaa huyo ameibuka na kukana ishu hiyo.Kwa mujibu wa Nandy,…
Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini Billnass na wengineo kesho wanatarajiwa kupiga shoo ya nguvu kwenye uzinduzi wa simu mpya kutoka kampuni ya Infinix ambayo itakuwa mubashara. Akizungumza na wanahabari Afisa Uhusiano wa Infinix hapa…
MSANII wa Bongo Fleva, Billnass leo Aprili 14, 2021 amefanya mahojiano na kipindi cha Bongo 255 kinachoruka kupitia Global Radio Sinza Mori, Dar amefunguka ishu ya kuachana na mpenzi wake msanii wa Bongo Fleva, Faustina Charles…
WAKATI msanii wa Bongofleva, Faustina Charles ‘Nandy’ akithibitisha kuachana na mchumba wake ambaye pia ni msanii mwenzie William Lyimo ‘Billnass’, RISASI limenyaka sababu tatu zilizotajwa kuwa chanzo cha uchumba wao kuvunjika.…
ZIKIWA ni wiki kadhaa zimepita tangu Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, William Lyimo ‘Billnass’ na mchumba wake Faustina Charles ‘Nandy’ waachie colabo ya wimbo wao wa Do me, ngoma hiyo imeonekana tishio baada ya kushika namba moja…
MREMBO anayefanya poa kwenye Bongo Fleva, Faustine Charles ‘Nandy’, ameweka wazi kuwa hana ujauzito ila mwili wake umeongezeka kwa sababu ya mabadiliko ya binadamu.
Nandy amesema mashabiki wameanza kumnyooshea vidole kuwa…
MSANII wa kike kwenye muziki wa Bongo Fleva, Nandy amefunguka kuhusu madai ya kuwa na ujauzito wa Billnass baada ya kuonekana kula udongo kwenye mtandao wa Snapchat siku kadhaa zilizopita.
Akizungumzia hilo mbele ya…
SEXY lady kunako Bongo Flevani, Faustina Charles ‘Nandy’ amemshukuru mchumba wake William Lymo ‘Billnass’ kwa sapoti anayompa.
Akizumgumza na Risasi Nandy amesema kuwa, Billnass amemsukuma sana na kushirikiana naye kwenye…
MWANAMUZIKI wa kizazi kipya, Faustina Mfinanga ‘Nandy’ ameutupilia mbali uzushi unaodai kuwa mara nyingi anapata kipigo kutoka kwa mchumba wake William Lyimo ‘Billnass’ na kusema kuwa hajawahi hata kuonja kofi lake.
…
DAR: Baada ya kudaiwa kuwa wazazi wa mchumba wake Faustina Charles ‘Nandy’ hawamtaki, msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, William Lyimo ‘Billnass’ ameibuka na kueleza ukweli wa mambo.
Mara baada ya Nandy kuchumbiwa…
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, William Lymo ‘Billnass’ amesema anatamani kufanya kolabo na wasanii kama Cassper Nyovest na Drake.
Akizungumza na Mikito Nusunusu, Billnass amesema kuwa, amekuwa akitamani kufanya kazi na…
MAMBO ni moto! Ndiyo maneno yanayotamkwa mtaani kwa sasa kutokana na habari kueleza kuwa, harusi ya mastaa wa Bongo Fleva; William Lyimo ‘Billnass’ na mchumba wake, Faustina Charles ‘Nandy’ itakuwa ya aina yake, Risasi Jumamosi…