AMREF, USAID Wafanya Semina Ya Afya Shirikishi Ileje
hirika lisilo la kiserikali la AMREF ambalo linafanya kazi na TCDC kupitia ufadhili wa USAID kwenye Mradi wa USAID Afya Shirikishi kwa pamoja mnamo Novemba 9, 2023 walifanya semina elekezi ya Afya Shirikishi katika Halmashauri ya Wilaya…