Uzinduzi wa Sinza Kwa Wajanja Marathon watikisa Dar
*Kusaidia wodi ya wazazi ya Hospitali ya Palestina
Uzinduzi wa mbio za Sinza Kwa Wajanja Marathon umefanyika jijini Dar es Salaam jana katika hafla iliyopambwa na shamrashamra mbalimbali huku mgeni rasmi akiwa ni Mstahiki Meya wa…