Hamza Johari: Anga la Tanzania Liko Salama
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari amesema hakuna mlipuko wowote wa volcano utakaosababisha viwanja vya ndege vya Kilimanjaro na Arusha kufungwa, anga la Tanzania ni salama watu…