DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva ameitaka serikali kubadili muundo wa tume hiyo ili iwe na ofisi na watumishi katika kila halmashauri nchini na ofisi ya Zanzibar. Amesema hatua hiyo…
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva.
WATU wawili wakiwemo Mwanasheria na Mwalimu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama…
Na Brighton Masalu
CHETI chake cha kuzaliwa, kimeandikwa Damian Zefrin Lubuva. Huyu ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambaye alizaliwa Septemba 21, 1940 katika Kijiji cha Haubi Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma.
ELIMU…
Jaji Damian Lubuva akiongea na wanahabari (hawapo pichani) leo.
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva hivi punde amesema kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar hakutasababisha kuahirishwa au kufutwa kwa uchaguzi wa…
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akiwa na makamishna wa tume hiyo wakati akisisitiza jambo kwenye mkutano wake na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.
Makamishna wa Tume hiyo wakiwa bize…
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kukamilisha utaratibu wa kuwapatia Hadhi Maalum Watanzania waishio nje ya nchi, yaani diaspora ifikapo mwaka 2024.
Hayo yamesemwa katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa…
Maalim Seif Sharif Hamad alizaliwa Okotba 22, 1943 na alipitia Shule za Uondwe na Shule ya Wavulana ya Wete Kisiwani Pemba kati ya 1950 – 1957.
Sekondari alisomea katika shule ya King George VI Memorial mjini Zanzibar, na…
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza maziko ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hayati Mark Bomani kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli na amewataka Watanzania wamuenzi kwa kuuishi utumishi wake uliotukuka wakati wa…
Rais wa Serikali ya Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ni miongoni mwa waombolezaji wa kifo cha Linah, mke wa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe kilichotokea juzi.
Kikwete amewasili msibani…
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru amesema bila ya kuwa na tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya, vyama vya upinzani visahau kushinda urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Kauli ya Kingunge imekuja siku moja baada Rais John…
DAR ES SALAAM: MWENYEKITI mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Semistocles Kaijage, anayeshika nafasi iliyoachwa wazi na Jaji Mstaafu Damiani Lubuva aliyemaliza muda wake Desemba 19 mwaka huu amesema kuwa katika msingi wa uongozi wake…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhe. Jaji Semistocles Kaijage kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) anayechukua nafasi ya Mhe. Jaji Mstaafu Damian Lubuva aliyemaliza Muda wake,…
Na Eliphace Marwa – MAELEZO
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza ratiba ya uchukuaji wa fomu za kujaza nafasi zilizo wazi ya Mbunge na Madiwani katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Imesema kuwa inatarajia kuendesha Uchaguzi Mdogo…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Joseph Mungai.Marehemu Joseph Mungai enzi za uhai wake.Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa akimpa pole mke wa…
Rais Dkt. John Magufuli
Ikulu, Dar es Salaam;
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amekabidhi ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo.…
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe Jaji Mstaafu Damian Lubuva na Mkurugenzi wa uchaguzi Bw.Kailima Ramadhani Kobwey wakikabidhi mfano wa hundi ya shilingi Bilioni 12 kwa Rais John Magufuli.
fedha hizo zimeokolewa katika…
1 NANGWA SECONDARY SCHOOL F ADELA PIUS
2 ARUSHA GIRLS SECONDARY SCHOOL F ADELA SABAS
3 AIRWING SECONDARY SCHOOL F ADELA BARNOS SELESTINE
4 KONDOA GIRLS SECONDARY SCHOOL F ADELA C SOLOGWA
5 OSHARA SECONDARY SCHOOL F ADELA CORENTINI…
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva (kushoto) akitoa taarifa ya uteuzi huo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewateua ndugu Ritha Enespher Kabati na ndugu Oliver Daniel…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva, Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John…
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Utafiti ,Tathimini na Sera, Ansgar Mushi, Ofisa wa Tehama, Ernest Masaka na Ofisa Uhusiano, Agnes Lubuva.
Viongozi hao wakisikiliza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo pichani).
Wanahabari…
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Damian Lubuva akitangaza taarifa ya Upigaji kura kwa Majimbo ya Masasi Mjini na Jimbo la Ludewa kesho Jumapili, Desemba 20, 2015 mara alipokutana na Waandishi wa Habari leo 19 Desemba,…
wiki iliyopita niliishia kwamba kauli za Edward Lowassa kwenye runinga zilinifanya nianze kuwa na wasiwasi kwamba vurugu zingeweza kuibuka nchini, maana kauli yake moja tu kwa vijana wa taifa letu ingeweza kusababisha maafa makubwa! SASA…
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo,Samson Mwigamba.
Na Boniphace Ngumije
KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo,Samson Mwigamba amesema bila Rais John Magufuli kuhakikisha serikali yake inakuwa na sera za kitaifa ambazo zitaisaidia…
Na Elvan Stambuli
Kama nilivyosema wiki iliyopita, hatua ya kwanza iliyoanza kutikisa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ilikuwa ni pale Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Jaji Damian Lubuva aliporejeshwa Tanzania Bara na badala yake Rais…
HAKIKA Mungu ni mwema na anastahili kuhimidiwa milele. Nasema hivyo kutokana na hali ya usalama na amani ambayo ipo nchini kwa sasa. Wengi kabla ya uchaguzi mkuu tulikuwa na wasiwasi na tulikuwa tukikesha tukiombea nchi amani, Mungu…
Tunaendelea na uchambuzi wa kuhusu ugomvi wa Aboud Jumbe na Mwalimu Julius Nyerere kuhusu Muungano, endelea:
Makatibu wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) waliomshauri Jumbe akiwa rais, wote walikataa muundo wa Muungano wenye…
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo imetangaza idadi ya wabunge wa viti maalumu ambao vyama vya siasa CCM, CHADEMA na CUF vimepata baada ya kupata angalau asilimia…
Rais Jakaya Kikwete (kushoto) na rais mteule wa awamu ya tano, Dk John Pombe Magufuli (kulia).
ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS
JANA, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli (56)…
Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar wakiwa katika Mitaa ya Kisutu wakifurahia ushindi wa Dk. Magufuri, baada ya kukabidhiwa cheti cha ushindi kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mh. Jaji Damian Lubuva.
Mmoja wa kina mama…
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mh. Jaji (Mstaafu) Damian Zefrin Lubuva (kulia) akimkabidhi cheti chake cha ushindi Rais Mteule wa Tanzania, John Pombe Magufuli (katikati) huku mgombea mwenza wake Samia Hassan Suluhu akiwa nyuma…
Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake akimpongeza Rais Mteule, John Pombe Magufuli mara baada ya kuteuliwa kwake.
NA MWANDISHI WETU
RAIS Mteule John Pombe Joseph Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hivi sasa ni full kicheko kufuatia…
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian…
Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo imekamilisha zoezi la kutangaza matokeo ya awali ya Urais kwa majimbo yote 264 yaliyoshiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Akizungumza wakati wa kukamilisha…
MUNGU ni mwema, nitumie nafasi hii kuwakumbusha Watanzania kwamba wakati huu ni kipindi muhimu kuombea taifa letu amani, hasa kipindi hiki cha uchaguzi.
Baada ya kusema hayo niseme wazi kuwa mataifa mengi na hasa ya Kiafrika yamekuwa…
Jaji Lubuva (kulia) akiwa na baadhi ya maofisa wa tume ya uchaguzi.
Baadhi ya waandishi wa vyombo mbalimbali wakinoti mambo muhimu kwenye mkutano huo.
Baadhi ya wadau na viongozi wa vyama vya siasa wakiwa kwenye mkutano huo.
Kaimu IGP,…
Elvan Stambuli
Ni vigumu kuamini! Mchungaji Christopher Mtikila aliyefariki dunia usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Msolwa wilayani Bagamoyo, Pwani, Jumatano iliyopita alitembelea ofisi za gazeti hili, Bamaga Mwenge, Dar na kuzungumza…
Mwenyekiti wa Tume, Jaji mstaafu Damian Lubuva.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (TUME) imeonya vyama vya siasa, vinavyoshawishi wananchi wabaki katika vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura na kueleza kuwa lengo lao si kwa ajili ya kulinda…
Mwenyekiti wa Nec, Jaji mstaafu Damian Lubuva
Na Waandishi Wetu
Wakati Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) chini ya Mwenyekiti Mwenza, Freeman Mbowe wakilalamikia uteuzi wa makamishna wapya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), baadhi ya…
Mwenyekiti wa Nec, Jaji mstaafu, Damian Lubuva
Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefichua siku itakayomtangaza rasmi mshindi wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni Oktoba 28, 2015.
Akizungumza na…