LEO Machi 17, mwaka huu Tanzania tunaidhimisha miaka mitatu tangu kifo cha Rais John Magufuli. Rais wa Kwanza kufariki Dunia akiwa madarakani katika historia ya Tanzania.
Aliyekuwa Mkuu wa Majeshi nchini Jenerali Mstaafu Venance…
WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda wamemuaga aliyekuwa mkuu wa majeshi, Jenerali Venance Mabeyo katika mashindano ya NBC Lugalo…
Hivi ndivyo Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jeneral Venance Mabeyo akivyoagwa rasmi kwa kukagua gwaride rasmi la Kijeshi katika Viwanja vya Mgulani (Twalipo Admistration Unit-TAU)
MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF) Jenerali Venance Salvatory Mabeyo amewataka Viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa kutoa mawazo mazuri hata pindi wanapofikia ukomo wa utumishi wao ndani ya Jeshi.
Ametoa rai hiyo leo…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Salvatory Mabeyo, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kuja kumuaga, mazungumzo hayo…
Jenerali Venance Mabeyo ni Mkuu wa Majeshi wa nane kuliongoza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tangu alipoteuliwa Februari 6, 2017 na aliyekuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano, Hayati…
MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (CDF), Jenerali Venance Mabeyo, amemuelezea aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Marehemu Elias John Kwandikwa kuwa alikua ni mtu wa kipekee na kiongozi mchapa kazi, na kueleza…
MKUU wa Majeshi nchini Tanzania (CDF), Jenerali Venance Mabeyo amehudhuria sherehe za kuagwa kwa mkuu majeshi wa Afrika ya Kusini, Jenerali Solly Zacharia Shoke zilizofanyika leo Mei 29 , mjini Pretoria.
Kuhudhuria kwa…
Mkuu wa Majeshi nchini Tanzania (CDF), Venance Mabeyo ameomba kuonana na Rais Samia Suluhu Hassan ofisini kwake akibainisha kuwa kuna dokezo anataka kumpatia.
Mabeyo ameeleza hayo leo Ijumaa Machi 26, 2021 katika…
Mkuu wa Majeshi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo amesema hadi sasa nchi na mipaka yake ni salama na wataendelea kumlinda Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan na kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa katiba ya…
JESHI la Ulinzi la Tanzania limetangaza kuwa askari 10 wa jeshi hilo wamepoteza maisha wakati wakifanya mazoezi.
Hayo yamethibitishwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya nchi hiyo (CDF), Jenerali Venance Mabeyo ambapo…
MAMIA ya wananchi kutoka mikoa ya Simiyu, Mara, Shinyanga, Mwanza na Dar es Salaam wameshiriki katika maziko ya mtoto wa Mkuu wa Majeshi marehemu Nelson Mabeyo aliyekuwa rubani wa ndege ya Shirika la Auric Air, ambaye alifariki…
Wilibart Olotu, baba mzazi wa marehemu Nelson Olotu amelezea kwa masikitiko taarifa za kufariki kwa mtoto wake na kuelezea ratiba ya mazishi itakavyokuwa.
Nelson Olotu alifariki pamoja na Nelson Mabeyo, mtoto wa Mkuu wa…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameungana na mamia ya waombolezaji na viongozi mbalimbali katika kuaga mwili wa mtoto Mkuu wa Majeshi nchini, Jenerali Venance Mabeyo aitwaye Nelson Mabeyo ambaye…
MWILI wa Nelson Mabeyo ambaye ni mtoto wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) nchini, Venance Mabeyo, aliyefariki katika ajali ya ndege leo iliyoanguka katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, umechukuliwa na helikopta ya Jeshi la Wananchi wa…
JESHI la Wananchi Tanzania limesema liko tayari kutumia meli yake yenye uwezo wa kubeba tani 500 kusafirisha korosho hadi jijini Dar es Salaam baada ya maghala yaliyopo mkoani Mtwara kujaa.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa…
Wakuu hao wakiwa mstari wa mbele katika zoezi hilo.
MKUU wa Majeshi yaUlinzi nchini (JWT), Venance Salvatory Mabeyo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, wameongoza maadhimisho ya mwaka wa 54…
MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo amewahadharisha Watanzania na kuwataka wajiepushe na vitendo vinavyoweza kutishia usalama wa nchi na kuharibu tunu ya amani iliyopo.
Ameeleza kuwa hivi sasa vipo…
Rubani mmoja wa Shirika la Ndege la Delta, amehukumiwa kifungo cha miezi 10 Jela kwa kufika kazini akiwa amelewa.
Mnamo Juni 16 mwaka jana Rubani Lawrence Russell Jr (63) raia wa Marekani alikuwa akijiandaa kurusha Ndege kutokea…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango ameipongeza Wizara ya Maji kwa utekelezaji mzuri wa miradi ya maji nchini.
Ametoa pongezi hizo Machi 20, 2024 wakati akizindua mradi wa maji wa…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko Machi 17, 2024 amejumuika na viongozi na wananchi mbalimbali katika misa Takatifu ya kumwombea Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli iliyofanyika katika Kanisa…
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesema Mchele, Mafuta ya kupikia ya Alizeti na Maharage ambavyo vimeongezwa Virutubisho vilivyotolewa na Wizara ya Kilimo ya Marekani kwa ushirikiano na Taasisi ya Jumuiya za Kimataifa (Global…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempandisha Cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali na amemteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (Chief of Defence Forces-CDF)
Wakati huohuo Rais Samia amekutana…
MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, amewasamehe vijana 853 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliofukuzwa makambini April 12, 2021 kutokana na utovu wa nidhamu.
Hayo yameelezwa katika mkutano wa waandishi wa…
Rais Samia Suluhu Hassan amewatunuku vyeo vya luteni usu maofisa 118 wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli mkoani Arusha.
Rais Samia leo ni mara yake ya kwanza kutunuku kamisheni…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu hassan amesema amani tuliyonayo inawapa wawekezaji uhakika wa mitaji yao na uhakika wa kufanya biashara na kupata faida, vilevile inaipa serikali…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amewaagiza maafisa elimu wote wa ngazi za Halmashauri kuhakiksha wanasimamia usambazaji wa vitabu vya kiada vya shule ya msingi na sekondari ili vifike shuleni kwa…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali itatekeleza mipango yote iliyoachwa na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, marehemu Elias Kwandikwa.
Amesema kuwa Serikali itaenzi…
MWILI wa aliyekuwa mbunge wa Ushetu Wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga Elias Kwandikwa ,tayari umewasili nyumbani kwake kijijini Butibu_Kinamapula katika halmashauri ya Ushetu Wilayani Kahama na kuingizwa ndani ya nyumba yake kusubiria…
Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo kufutia kifo cha Waziri wa Ulinzi, Elias Kwandikwa, aliyefariki dunia jana Jumatatu, jijini Dar es Salaam. Pichani ni Rais…
MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo, ameeleza kusikitishwa kwake na vijana 854 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ambao wamekiuka taratibu kwa kuanzisha mgomo na kufanya maandamano ya kwenda Ikulu kutaka kumuona…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumatano Machi 24, 2021 anawaongoza wakazi wa Mwanza na mikoa jirani kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli.
Utoaji wa heshima za mwisho unafanyika…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa kuendelea na kazi kubwa ya kuimarisha amani na kuilinda mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.…
VETERANI wa mchezo wa Gofu Dkt. Edmund Mndolwa (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi 1,500,000/-mshindi wa kwanza ambaye ni mchezaji wa kulipwa (profesional player) kutoka Klabu ya Gofu ya Lugalo Bryson Nyenza…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli ameongoza wakazi wa Dodoma kuuaga mwili wa Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Harold Nsekela aliyefariki Dunia Decemba 6 Mwaka huu. Ibada ya kuuaga mwili wa Jaji Nsekela…
RAIS Magufuli leo Oktoba 24, 2020 amezinduzi rasmi wa treni ya abiria inayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Arusha kupitia Moshi na Tanga iliyokuwa imeacha kufanya kazi kwa zaidi ya miaka 30.
"Leo nimefurahi sana kuja hapa…
Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wamekabidhi Shilingi milioni 30 ujenzi wa msikiti wa kisasa wa Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Akikabidhi mchango huo leo Agosti 27, 2020 kwa niaba ya wakuu wengine wa…
Mwanajeshi wa Kikosi cha Jeshi namba 833 Oljoro Arusha, Tete Mwaipaya, amemshukuru Mkuu wa Majeshi nchini Venance Mabeyo kwa kumpa nafasi ya kuingia jeshini kwa kuwa kabla ya nafasi hiyo alikuwa ni mwanasarakasi wa kucheza na Baiskeli…