BreakingNews: CCM Yaapa Kuwashughulikia Kikamilifu Makada Waliotajwa Ripoti ya Mchanga wa Madini…
Chama cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, kimesema kinasubiri majibu ya uchunguzi wa tuhuma zilizoelekezwa kwa makada wakongwe wa chama hicho, kuhusu kuhusika kwao katika kusafirisha mchanga…