Video: Necta Yatoa Maelekezo Mazito Kwa Wanafunzi, Walimu Na Wasimamizi Kuelekea Mtihani Darasa La 7…
JUMLA ya watahiniwa 1, 397, 370 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi utakaofanyika kesho Septemba 13 na 14 nchini kote.
Kati ya watahiniwa hao, 654,652 ni wavulana sawa na asilimia 46.85 na wasichana ni 742,718 sawa…