The House of Favourite Newspapers

Muna: Mungu Amenitoa Kwenye Umauti

ROSE Alphonce Nungu almaarufu Muna Love; ni mwigizaji wa Bongo Movies ambaye hajaonekana lokesheni kitambo ambaye anasema kuwa, kila siku anamshukuru Mwenyezi Mungu kwa sababu amemuinua na kumtoa kwenye umauti kisha kumrejesha uzimani.…

Kadja Nito: Nusura Nifie Leba

MSANII wa filamu Bongo Natasha Lisimo ‘Kadja Nito’ amesema ilikuwa nusura apoteze maisha akiwa chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, wakati alipolazwa kwa ajili ya kujifungua wiki chache zilizopita.…