JPM Awamaliza Sanchoka, Sasha!
DODOMA: Rais John Pombe Magufuli ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) na mamlaka zingine zinazohusika, kuwachukulia hatua kali wasanii wanaopiga picha nusu utupu na kuzitupia katika mitandao, sambamba na wale wanaocheza hivyo katika…