Kassim Majaliwa: Michezo Ni Afya na Fursa Ya Ajira, Afunga hafla ya Tulia Marathon Mbeya
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema michezo ni zaidi ya afya na burudani, ni fursa ya ajira na pia hupunguza magonjwa mwilini.
“Kama mnavyofahamu, michezo ni zaidi ya afya na burudani lakini leo tunathibitisha kuwa baada ya mbio…