×

Habari

Vitu Muhimu vya Kuzingatia Unaponunua Matairi Mapya ya Gari

Kununua matairi mapya ya gari ni uamuzi muhimu unaogusa moja kwa moja usalama, matumizi ya mafuta, uimara wa gari na...

READ MORE

Iran Yatoa Onyo Kali kwa Marekani Kuhusu Mashambulizi na Mazungumzo ya Nyuklia

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametoa onyo kali kwa Marekani kuwa nchi yake itajibu mashambulizi yoyote...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 24, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Mradi wa Majisafi Sinya–Namanga, Arusha

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Februari 23, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Majisafi wa Sinya–Namanga unaotekelezwa eneo la Sinya,...

READ MORE

Chalamila Asaini Kitabu Cha Maombolezo Kufuatia Kifo Cha Cardinali Pengo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Feb 23,2026 akiwa ameambatana na kamati ya usalama Mkoa, amesaini...

READ MORE

Ruwa’ichi Atangaza Ratiba ya Mazishi ya Kardinali Pengo, Waumini Waombwa Kujitokeza – Video

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, ametangaza kuwa heshima za mwisho kwa...

READ MORE

Mufti Aomboleza Kifo cha Kardinali Pengo Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph – Video

Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally, leo Februari 23, 2026 amefika katika Kanisa Kuu...

READ MORE

Tundu Lissu Apinga Ushahidi Mpya Katika Kesi ya Uhaini

Malumbano makali ya hoja yameibuka mahakamani katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu...

READ MORE

Video: Ajali Kubwa Kwa Idd, Arumeru: Basi la Dar Express Lagongwa na Daladala

Ajali mbaya imeripotiwa katika eneo la Kwa Idd, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, baada ya basi la kampuni ya Dar Express...

READ MORE

El Mencho Afariki, CJNG Washambulia Majimbo Kadhaa kwa Kulipiza Kisasi

Wanachama wa Kundi la Kihalifu la Wauza Dawa za Kulevya, Jalisco New Generation (CJNG), moja ya makundi yanayoogopwa zaidi nchini...

READ MORE

Waziri Prof. Mkumbo Atembelea Kilombero Sugar Kushuhudia Uwekezaji wa Zaidi ya Bilioni 987

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Atembelea Kilombero Sugar Kushuhudia Uwekezaji wa Zaidi ya Bilioni 987...

READ MORE

Donald Trump Ahoji Kwa nini Iran Bado Haijakubali Masharti, Atoa Siku 10 – Video

Rais wa Marekani Donald Trump amehoji kwa nini Iran bado haijakubali masharti ya makubaliano kuhusu mpango wake wa nyuklia, licha...

READ MORE

Polisi Wakanusha Taarifa za Kutekwa kwa Mchungaji Yanick Mbombo

Jeshi la Polisi Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa Mchungaji Yanick Mbombo Cele, wa...

READ MORE

Fursa Mpya za Ajira Usichelewe! Bank Teller 13 na Supervisor 7 Wanahitajika

Unatafuta kazi au unamjua anayehitaji ajira? Hii ni nafasi yako ya kuanza safari mpya ya mafanikio! 🏦 JOB JUNCTION TANZANIA...

READ MORE

Zawadi Zinaendelea Kumiminika, Ni Trick or Treat Bonanza Ya Meridianbet

Halloween imeondoka na kuacha mambo makubwa, Meridianbet inakuletia Trick or Treat Bonanza, mchezo wa kasino ambao unapita mipaka ya burudani...

READ MORE

ATCL Yaomba Radhi Kuchelewa Kwa Safari, Boeing 737-9 MAX Yashindwa kutua Mwanza

Shirika la Ndege Tanzania, Air Tanzania Company Limited (ATCL), limeeleza sababu za kuchelewa kwa safari yake ya Jumapili baada ya...

READ MORE

NMB Inajenga Kizazi Kipya Cha Wataalamu wa Sekta ya Fedha

Wahitimu wa mafunzo maalum ya utayari wa kuwa watumishi wa Benki (Graduate Bankers Readiness program) kutoka Benki ya NMB wakifurahi...

READ MORE

Mafunzo Yazinduliwa Kuelekea Wiki ya Usalama na Afya Kazini 2026

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, akiwasilisha hotuba yake ya kufunga mafunzo ya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 23, 2025

  Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Stanbic Bank Yazindua Lipa Simpo kwa Wateja Kupitia App

Dar es Salaam – Benki ya Stanbic Tanzania imetambulisha rasmi huduma ya Lipa Simpo kwa wateja, ikiruhusu kufanya malipo moja...

READ MORE

Video: Trafiki Akipigana Na Dereva, Polisi Watoa Ufafanuzi

Dodoma, Tanzania – Jeshi la Polisi nchini limezungumzia picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, ikionyesha tukio la askari wa polisi...

READ MORE

Video: Kishandu Anusurika Kuuawa Arusha, Pikipiki Yachomwa Moto

Ni mtiti! Mtu mmoja ambaye bado hajafahamika jina, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali huku pikipiki yake ikichomwa moto,...

READ MORE

Tazama Ujasiri wa Binti wa Kilimanjaro Girls Mbele ya Waziri Mkuu – Video

Binti mmoja wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Kilimanjaro ameonyesha ujasiri mkubwa alipata nafasi ya kuzungumza hadharani mbele ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Awasisitiza Wanafunzi Kusoma Kwa Bidii Kilimanjaro Girls

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wanafunzi wanaosoma shule ya sekondari ya wasichana ya mkoa wa Kilimanjaro wasome kwa bidii...

READ MORE

Mirambo Ashinda Kwa Kishindo Uenyekiti CUF, Achukua Nafasi Ya Prof. Lipumba

Chama cha Wananchi (CUF) kimempata Mwenyekiti mpya wa Taifa, ambapo Mirambo Camil Yusuf amechaguliwa kushika nafasi hiyo akichukua mikoba ya...

READ MORE

Tume Ya Uchunguzi Yaongezewa Siku 42 Kukamilisha Ripoti

Tume ya Kuchunguza Matukio yaliyojitokeza Oktoba 29, 2025 imeongezewa Siku 42 na kutakiwa kukamilisha majukumu yao Aprili 3, 2026 kwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Kuanza Ziara Ya Kikazi Mkoani Arusha Februari 22, 2026

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi mkoani Arusha kuanzia...

READ MORE

Radi Yaua Watu Watatu Wakivuna Mahindi, Mbeya – Video

Watu watatu wakazi wa Kitongoji cha Goye, Kijiji cha Goye, Kata ya Ndato, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, wamefariki dunia...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Azindua Shule Mpya Ya Sekondari Ya Mbatakero

▪️Asema Rais Dkt. Samia amewapa urithi watoto wa kitanzania wa kupata elimu ▪️Apongeza utekelezaji wa mradi huo kwa viwango Waziri...

READ MORE

Mfanyabiashara Atoeleka Kigoma Polisi Waanza Uchunguzi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limetangaza kuanza uchunguzi wa kina kufuatia taarifa za kutoweka kwa mfanyabiashara wa Soko la...

READ MORE

Adaiwa Kumnyonga James Kisa Kutoka Kimapenzi na EX Wake

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia mvuvi mmoja, Ndaishimiye Gerald Joseph (45), mkazi wa Kisiwa cha Zilagula, kwa tuhuma...

READ MORE

Prof. Shemdoe Aelekeza Magari 14 Ya Usimamizi wa Miradi Ya TACTIC Kufanya Kazi Iliyokusudiwa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Mameneja na waratibu wa Mradi wa Uendelezaji...

READ MORE

Benki Ya Exim Yasogeza Huduma Paje Zanzibar 

Ni  kichocheo kipya cha ujumuishi  wa  Kifedha  na ukuwaji  wa  uchumi  wa Buluu Zanzibar Zanzibar, 21 Februari 2026: Benki ya...

READ MORE

ODDS Kubwa Leo! Soka la Ulaya Lapamba Moto Meridianbet

Je unataka Odds kubwa siku ya leo?. Ingia kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet na uanze safari yako ya kutimiza...

READ MORE

Faida za Kula Tende Wakati wa Mfungo wa Ramadhani

KUTOKANA na Mfungo Mtukufu wa Ramadhani baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu hula tende wakati wa kufuturu.Tende ni tunda...

READ MORE

Dkt Nchimbi Afanya Mazungumzo na Balozi wa Qatar, Fahad Rashid Al-Marekhi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 21, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Lishe ya Keto Yatajwa Kupunguza Msongo wa Mawazo (depression)

Ulaji wa lishe yenye mafuta mengi na wanga kidogo, maarufu kama lishe ya ketogenic (keto), unaweza kusaidia kupunguza dalili za...

READ MORE

Mwanamume Ashikiliwa kwa Kumuua Mkewe kwa Kumpiga Kichwani

Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi linamshikilia mwanamume mmoja, Busu Lugwisha (51), mkazi wa Kijiji cha Masiko, Wilaya ya Mlele,...

READ MORE

Makamu wa Rais Awasilisha Rambirambi za Rais Samia Kifo cha Kardinali Pengo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amefika katika makazi ya Kiaskofu ya Jimbo...

READ MORE