×

Habari

Trump Atangaza Iran Kusitisha Hukumu ya Kifo kwa Wanawake 8 Wanaharakati

Donald Trump ametangaza kile alichokiita habari njema, akidai kuwa Iran imesitisha mpango wa kuwanyonga wanawake wanaharakati wanane waliokuwa wakikabiliwa na...

READ MORE

Fahamu Faida 7 Muhimu za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Juisi ya karoti ni kinywaji chenye virutubisho vingi muhimu kama vitamini, antioxidants na nyuzinyuzi, ambavyo huchangia kuboresha afya kwa ujumla....

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 24, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

NULIFE Advanced Fertility Centre Yaendelea Kung’ara Huduma za Uzazi Tiba Nchini

Kituo cha NuLife Advanced Fertility Centre kinaendelea kujijengea sifa kama mtoa huduma kinara wa tiba za uzazi nchini Tanzania, kikitoa...

READ MORE

Rais Samia Apokea Ripoti Ya Tume Ya Kuchunguza Matukio Ya Uvunjifu Wa Amani – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza...

READ MORE

Trump Atoa Amri Kwa Jeshi la Wanamaji Kushambulia Boti Zinazoweka Mabomu Hormuz

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa amri kali kwa Jeshi la Wanamaji la Marekani kushambulia na kuua bila kusita boti...

READ MORE

Rais Samia Atoa Ujumbe Mkali Kuhusu Mustakabali wa Demokrasia Nchini – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema demokrasia ya kweli haiwezi kunakiliwa kutoka mataifa mengine bila...

READ MORE

Trump Amtimua Waziri wa Jeshi la Wanamaji, Marekani Yabadilisha Mkakati Dhidi ya Iran

Mvutano wa kijeshi katika eneo la Strait of Hormuz umechukua mwelekeo mpya baada ya Donald Trump kumfuta kazi Waziri wa...

READ MORE

Tume Yafichua: Vijana Walirubuniwa kwa Fedha Kushiriki Maandamano, Milioni 5 Yatajwa – Video

Tume ya uchunguzi iliyoundwa kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...

READ MORE

Jaji Chande: Wanasiasa, Wanaharakati Walichochea Ghasia Oktoba 29 – Video

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu Amani Oktoba, 2025 imesema baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia changamoto za wananchi...

READ MORE

Tume Yafichua: Picha za AI Zilitumika Kupotosha Matukio ya Oktoba 29 – Video

Tume ya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 imebaini matumizi...

READ MORE

Serikali Yachukua Mwili wa Edgar Lungu, Familia Yapinga Mazishi ya Kitaifa

Serikali ya Zambia imethibitisha kuuchukua mwili wa Rais wa zamani Edgar Lungu aliyefariki dunia nchini Afrika Kusini miezi 10 iliyopita,...

READ MORE

Iran Yatoa Masharti Kabla ya Kurejea Mazungumzo ya Amani

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baghaei amesema kuwa nchi yake haitajiunga na mazungumzo ya kidiplomasia...

READ MORE

SanlamAllianz Yazindua Mpango Wa “Salama Plan” Kuwahakikishia Wastaafu Kipato

Dar es Salaam, Tarehe 23 April 2026: Kampuni ya SanlamAllianz Life Insurance (Tanzania) Limited imezindua rasmi Salama Plan, mpango mpya...

READ MORE

Vodacom Yazindua “Afya Mkopo” Kwa Watoa Huduma Sekta ya Afya Kupitia Lipa Namba

Huduma mpya ya kifedha kwa sekta ya afya imezinduliwa rasmi wakati wa Kongamano la Kitaifa la Wadau wa Sekta ya...

READ MORE

Trump Atoa Kauli Mpya Kuhusu Mazungumzo ya Amani na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa kuna uwezekano wa kuanza kwa duru ya pili ya mazungumzo ya amani kati...

READ MORE

Serikali Yafanikiwa Kukusanya Zaidi ya Sh Trilioni 9.8 Kwa Mchango wa NMB

Mkurugenzi wa Uhusiano wa Wawekezaji, Uendelevu na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Innocent Yonazi, akizungumzia mafanikio ya taasisi hiyo mbele...

READ MORE

Polisi Wamuita Hilda Newton Baada ya Madai Mazito Kumhusu Tundu Lissu

Jeshi la Polisi limesema linaendelea na uchunguzi baada ya kupokea taarifa zinazohusiana na chapisho la Hilda Newton alilolitoa na kulisambaza...

READ MORE

Trump Aongeza Muda wa Mapigano Kusitishwa, Pakistan Yatoa Shukrani

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa Marekani itaendelea na usitishaji mapigano na Iran bila muda maalum wa kuisha, hatua...

READ MORE

CRDB Yazindua Msimu wa Pili wa Programu ya Graduate Trainees Kukuza Vipaji vya Vijana

Benki ya CRDB imezindua rasmi msimu wa pili wa programu ya Graduate Trainees, hatua inayolenga kukuza vipaji vya vijana na...

READ MORE

Sababu 7 Zinazofanya Harrier Anaconda Kuwa Kivutio Kikubwa

Katika miaka ya karibuni, Toyota Harrier maarufu kama “Anaconda” imejijengea umaarufu mkubwa barabarani na mitaani, hasa miongoni mwa vijana, wafanyabiashara...

READ MORE

Airtel Yampa Mkazi wa Babati Bajaji Mpya Kupitia Kampeni ya “Mwaka Umenyooka”

Kampuni ya mtandao wa simu ya Airtel Tanzania imekabidhi zawadi ya bajaji mpya kwa mshindi wa kampeni ya Mwaka Umenyooka...

READ MORE

Rais Samia Akabidhi Mitungi ya Oryx kwa Mama na Baba Lishe Dar es Salaam

KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imetoa seti 200 za mitungi ya Oryx kwa Serikali kupitia Wizara ya Nishati ikiwa ni...

READ MORE

Stanbic Yazindua Kampeni ya Kupanda miti 50,000 Tanzania Kuadhimisha Siku ya Dunia

Benki ya Stanbic Tanzania imezindua kampeni ya upandaji miti itakayohusisha miti 50,000 nchini, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya...

READ MORE

Video ya CCTV Ikimuonesha Bodaboda Aliyeiba Mtoto Mwanza, Apatikana Akiwa Hai

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limefanikiwa kumpata mtoto wa kike mwenye umri wa miaka mitatu na miezi kumi aliyeripotiwa...

READ MORE

Amani Golugwa: Mazungumzo Yawe ya Kweli na Yenye Tija – Video

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Amani Golugwa, amesema chama hicho kinaamini katika mazungumzo kama njia...

READ MORE

Operesheni ya Polisi Arusha Yaleta Matokeo, Dawa za Kulevya Zateketezwa

Jeshi la Polisi mkoani Arusha limetoa taarifa ya mafanikio ya operesheni maalum iliyofanyika mwezi Aprili 2026, ikihusisha kukamata dawa za...

READ MORE

Samia Awapa Nguvu Mama na Baba Lishe, Asema Wanastahili Heshima Kubwa (Picha +Video)

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutambua na kuheshimu mchango wa Mama Lishe na Baba Lishe katika...

READ MORE

Spika Zungu Amuonya Mbunge Ado Shaibu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu amemuonya Mbunge wa Tunduru Kaskazini Ado Shaibu Ado kwa...

READ MORE

Meridianbet Yaleta Burudani ya Kipekee Ndani ya Battle for the Throne

Kuna burudani, halafu kuna ile ya Meridianbet inayokuingiza ndani ya simulizi halisi ya ushindi. Hapa naizungumzia Battle for the Throne,...

READ MORE

Jesca Magufuli: Bila Misingi Imara, Mikopo Haitasaidia Vijana – Video

Mbunge wa Viti Maalum, Jesca Magufuli, ametoa mchango wake bungeni jijini Dodoma akizungumzia masuala ya vijana, ambapo amepongeza jitihada za...

READ MORE

Benki ya Exim Tanzania na Toyota Washirikiana Kurahisisha Upatikanaji wa Magari kwa Watanzania

Dar es Salaam, Tanzania, Aprili 21, 2026: Benki ya Exim Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Toyota wenye lengo...

READ MORE

Trump Atishia Kushambulia Miundombinu ya Iran Tena Ikiwa Hakutakuwa na Makubaliano

Rais wa Marekani Donald Trump ameibua mjadala mkubwa wa kimataifa baada ya kutoa kauli kali akisema Marekani inaweza kuharibu kila...

READ MORE

TPLB Yatoa Adhabu Nzito kwa Simba, TRA United na Azam FC

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza adhabu kwa klabu kadhaa za...

READ MORE

Waziri wa Ujenzi Ajibu Kauli ya William Ruto Kuhusu Barabara

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Tanzania ina mtandao mkubwa zaidi wa barabara kulinganisha na nchi yoyote jirani huku akisifu...

READ MORE

Rangi Gallery Yaitangaza Tanzania Kimataifa Kupitia Sanaa

Jumba la sanaa la Rangi Gallery limeweka historia kwa kuwa la kwanza kutoka Tanzania kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya...

READ MORE

Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo Aitaka Serikali Kuweka Kipaumbele kwa Vijana

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amefanya tathmini ya bajeti ya Wizara ya Vijana iliyowasilishwa leo Bungeni na Waziri Joel Nanauka....

READ MORE

Fahamu Umuhimu wa Gearbox Oil na Madhara ya Kutoibadilisha

Katika matumizi ya kila siku ya gari, wengi huzingatia kubadilisha engine oil lakini husahau kabisa gearbox oil (mafuta ya gearbox)...

READ MORE

Netanyahu Aagiza Uchunguzi Baada ya Mwanajeshi wa Israel Kuharibu Sanamu ya Yesu

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amelaani vikali tukio lililosambaa mtandaoni likimuonesha mwanajeshi wa Israel akiharibu sanamu ya Yesu Kristo...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 21, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE