×

Michezo

Fernandes Aandika Historia Ligi Kuu ya Uingereza, Amaliza Msimu na Assists 21

Bruno Fernandes ameendelea kuonyesha ubora wake ndani ya Manchester United F.C. baada ya kuweka rekodi mpya ya pasi za mabao...

READ MORE

Tazama Shangwe la Arsenal Baada ya Kukabidhiwa Kombe la Ubingwa 2025/26

Arsenal F.C. wameandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa Premier Ligi Kuu kwa mara ya kwanza baada ya kusubiri...

READ MORE

Chalamila – ”Viwango ni Msingi wa Afya, Biashara na Uchumi Imara”

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uzingatiaji wa viwango katika uzalishaji wa bidhaa na huduma ni...

READ MORE

Vita Yakumaliza Msimu Leo, Leeds Kuamua Hatima ya West Ham United EPL

Saa 18:00 jioni leo, Mei 24, Uwanja wa London Stadium utakuwa Jukwaa la kukata tamaa na matumaini katika Ligi Kuu...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Equator ya Uganda Yanayowashangaza Watalii Duniani

Uganda ni moja ya mataifa yenye vivutio vya kipekee duniani, lakini miongoni mwa maeneo yanayowavutia zaidi watalii ni uzoefu wa...

READ MORE

Bruno Fernandes Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora EPL 2025/26

Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes ametangazwa rasmi kuwa Mchezaji Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Uingereza 2025/2026 baada...

READ MORE

Video: Okello Afunguka Sababu ya Kufurahia Kulinganishwa na Chama

Mchezaji wa Young Africans S.C. Allan Okello amezungumza na Global TV kuhusu watu wengi kumfananisha na Chama. Amesema: “Napata nguvu...

READ MORE

Real Madrid vs Athletic Club: Vita ya Heshima na Tiketi ya Europa Leo

Mchezo huu wa mwisho wa ligi unakuja wakati Real Madrid wakiwa tayari wamejihakikishia nafasi ya pili, ilhali Athletic bilibao wanapigania...

READ MORE

De Zerbi Afunguka Mpango wa Kuibadili Spurs Baada ya Kunusurika Kushuka Daraja

Kocha wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi amesema tayari ana maono ya wazi kuhusu nini kifanyike kuirejesha timu hiyo kwenye...

READ MORE

Manchester United Yamtangaza Michael Carrick Kuwa Kocha Mkuu wa kudumu

  Manchester United imemtangaza rasmi Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu wa timu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili...

READ MORE

Yanga Yarudi Kileleni Baada ya Ushindi Mnono wa 3-0 Dhidi ya Singida Black Stars

Yanga wamefanikiwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kupata ushindi mnono wa mabao 3-0...

READ MORE

Video: Shigongo Aitaka Serikali Kutunga Sheria ya Uwezeshaji Kiuchumi

Mbunge wa Jimbo la Buchosa mkoani Mwanza, Eric Shigongo, ametaka kutungwa sheria maalumu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi ili kuwasaidia Watanzania...

READ MORE

Video: Makonda Afunguka Sababu ya Rio Ferdinand Kutoposti Mitandaoni Akiwa Tanzania

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema alimwomba mwanasoka wa zamani wa kimataifa kutoka Uingereza na Manchester...

READ MORE

Mixx Na Hisense Wazindua Kampeni Ya Kitaifa Ya Kombe La Dunia

Dar es Salaam, 22 Mei 2026 – Kampuni inayotoa huduma za fedha kidigitali, Mixx kwa kushirikiana na kampuni ya Hisense,...

READ MORE

Rio Ferdinand Apongeza Viwango vya Kimataifa vya Uwanja wa Arusha

  Nyota wa zamani wa mpira wa miguu wa timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United Rio...

READ MORE

Rio Ferdinand Avutiwa Na Utalii Wa Serengeti, Ajionea Uhamaji Wa Nyumbu Na Simba Kwa Ukaribu

Nyota wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu ya Taifa ya Uingereza, Rio Ferdinand akiwa na Waziri wa...

READ MORE

Nyota wa Iran Kombe la Dunia 2018 Aishia Jela Baada ya Kauli za Kisiasa Mtandaoni

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Iran, Rashid Mazaheri, amekamatwa na kuwekwa gerezani kufuatia chapisho aliloliweka mtandaoni mapema...

READ MORE

Vita Yakumaliza Msimu Leo, Nani kuibuka Mshindi? Al Ittihad Uso kwa Uso Al Qadsiah

Al Ittihad wana pointi 54 baada ya mechi 33, wakiwa nafasi ya 5, wakishindana kwa nafasi ya kufuzu Ligi ya...

READ MORE

Aston Villa Waichapa Freiburg Mabao 3-0 na Kutwaa Ubingwa wa Europa

Klabu ya Aston Villa imefanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Europa League msimu wa 2025/26 baada ya kuibuka na ushindi wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Alivyokutana na Rio Ferdinand Dodoma

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba Mei 20, 2026 amefanya mazungumzo na Nahodha na Mchezaji wa zamani na wa Timu ya...

READ MORE

Rio Ferdinand Atembelea Bunge la Tanzania Katika Ziara ya Michezo na Utalii

Rio Ferdinand, nahodha na mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Uingereza pamoja na Klabu ya Manchester United, leo...

READ MORE

Hasheem Thabeet Akutana na Rio Ferdinand, Wazindua Mpango wa Kuendeleza Kikapu

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), Hasheem Thabeet, amemkabidhi jezi maalumu ya timu ya kikapu ya Dar...

READ MORE

Wachezaji wa Arsenal Waruka Kwa Furaha Baada ya Kutangazwa Mabingwa, City Walazimishwa Sare

Furaha kubwa ilitawala ndani ya kambi ya Arsenal baada ya timu hiyo kutangazwa rasmi kuwa mabingwa kufuatia Manchester City kushindwa...

READ MORE

Taifa Stars Yapangwa na Nigeria Kufuzu Afcon 2027, Makundi Yote Yapo Hapa

Taifa Stars imepangwa Kundi L katika droo ya kufuzu AFCON 2027, kundi ambalo lina timu za Nigeria, Madagascar  na Guinea-Bissau....

READ MORE

Carvajal Aaga Real Madrid Baada ya Miaka 23 Akitwaa Mataji 27

Dani Carvajal ataondoka katika klabu ya Real Madrid mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya miaka 23 ndani ya klabu...

READ MORE

Je, Bournemouth Wataweza Kumzuia Manchester City Leo?

Bournemouth wanaingia mchezo huu wakiwa na hisia tofauti mkufunzi Andoni Iraola ametangaza kuwa huu utakuwa mchezo wake wa mwisho kwenye...

READ MORE

Rio Ferdinand Atua Tanzania Kwa Ziara Maalum ya Siku Nne – (Video + Video)

Nyota wa zamani wa Manchester United F.C. na timu ya taifa ya England, Rio Ferdinand, amewasili nchini Tanzania leo Jumanne,...

READ MORE

Arsenal Yakaribia Ubingwa Baada ya Kuifunga Burnley Bao 1-0

Arsenal F.C. imeendelea kukaribia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya...

READ MORE

Hawa Ndio Wanamichezo 20 Walioingiza Fedha Nyingi Zaidi Duniani

Majina makubwa duniani ya michezo kama Cristiano Ronaldo, LeBron James, Lewis Hamilton na Roger Federer yameendelea kuthibitisha kuwa michezo ni...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 19, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Simba Wapelekwa Arusha, Yanga Kutinga Mwanza Nusu Fainali ya Kombe la FA

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza rasmi viwanja vitakavyotumika kwa michezo ya Nusu Fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup...

READ MORE

Wananchi Kenya Waandamana Kupinga Kupanda kwa bei ya Mafuta

Nairobi, Kenya — Wasafiri nchini Kenya wameanza kuhisi makali ya ongezeko jipya la bei ya mafuta baada ya nauli za...

READ MORE

Wayne Rooney Amuita Salah ‘Mbinafsi’ Baada ya Kumkosoa Slot

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amemshukia vikali mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah, akimuita ‘mbinafsi’ na kueleza kuwa...

READ MORE

Emirates Kusimama! Arsenal Wapigania Ndoto ya Ubingwa Dhidi ya Burnley

Mechi hii inapigwa saa 22:00 kwa muda Uwanja wa Emirates utakuwa umejaa hadi kifusi kwa takriban mashabiki 60,000, nao wanajulikana...

READ MORE

Mo Dewji Akutana na Wachezaji wa Simba Kuwapa Hamasa

Rais wa Simba SC, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji, leo amekutana na kufanya mazungumzo na wachezaji pamoja na benchi...

READ MORE

Brentford na Crystal Palace Kufunga Msimu EPL Katika Vita ya Nafasi

Leo Mei 17, 2026 saa 17:00, Brentford itakuwa mwenyeji wa Crystal Palace kwenye Uwanja wa Gtech Community Stadium katika mchezo...

READ MORE

USM Alger Yabeba Ubingwa Kombe la Shirikisho kwa Mara ya Pili, Che Malone Aandika Historia

Klabu ya USM Alger imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kwa mara ya pili katika...

READ MORE

Ronaldo Aangukia Pua Tena, Gamba Osaka Wabeba Taji Asia

Nyota wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameendelea kusubiri taji rasmi akiwa na Al Nassr FC baada ya klabu hiyo...

READ MORE

Manchester United Yamthibitisha Michael Carrick Kuwa Kocha Mkuu

Manchester United wamefikia makubaliano ya kumteua Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu wa klabu hiyo baada ya kufanya vizuri...

READ MORE

Pep Guardiola Kwenye Mtihani Mzito Dhidi ya Chelsea Fainali ya FA Cup

Fainali ya Kombe la FA natarajiwa kuchezwa leo Jumamosi katika uwanja wa Wembley Stadium, ambapo miamba miwili ya soka nchini...

READ MORE