×

Michezo

Djigui Diarra Afungiwa Mechi Tatu, Atakiwa Kulipa Faini ya Milioni 4

Mlinda mlango wa klabu ya Yanga, Djigui Diarra, amefungiwa kucheza mechi tatu pamoja na kutozwa faini ya shilingi milioni mbili...

READ MORE

Nguvu ya Kikosi cha Galatasaray Yawaogopesha Wapinzani Uturuki

Je unajua ni kipi kimewaangusha Galatasaray kwenye Ligi ya Mabingwa msimu huu?. Licha ya kuwa na kiwango kizuri lakini walipofika...

READ MORE

Simba Yachapwa Faini ya Milioni 10 kwa Vitendo vya Mashabiki

  Klabu ya Simba imetozwa faini ya shilingi milioni kumi (Tsh. 10,000,000) kufuatia mashabiki wake kuwarushia chupa za maji waamuzi...

READ MORE

Video: Meneja wa Simba Afunguka Kuhusu Mchezaji Sowah

Meneja wa timu ya Simba SC, Patrick Rweyemamu, amefafanua kuwa suala linalomhusu mchezaji Sowah ndani ya klabu hiyo bado linaendelea...

READ MORE

Brazil Yachapwa na Ufaransa Licha ya Kadi Nyekundu ya Upamecano

Timu ya Taifa ya Brazil chini ya kocha Carlo Ancelotti imekubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Ufaransa katika mchezo...

READ MORE

Mashindano ya FIFA Series 2026 Kuanza Leo Rwanda, Stars Kukiwasha na Liechtenstein

Mashindano ya kimataifa ya soka ya FIFA Series 2026 yanaanza rasmi leo Machi 26, 2026 jijini Kigali, huku Rais wa...

READ MORE

Sweden Kulipa Kisasi au Ukraine Kuendeleza Ubabe mbele ya Sweden?

Usiku wa leo macho ya mashabiki wa soka yataelekezwa kwenye dimba la Estadi Ciutat De Valencia, ambapo timu ya taifa...

READ MORE

Senegal Yawasilisha Rufaa CAS Kupinga kupokonywa Ubingwa wa AFCON 2025

Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limewasilisha rasmi rufaa katika Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) kupinga uamuzi wa Shirikisho...

READ MORE

Mohamed Salah Atangaza Kuondoka Liverpool Bure Mwisho wa Msimu

Mshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari...

READ MORE

Djigui Diarra, Bissouma na Nyota Wengine Waachwa Kikosi cha Mali

Kocha wa Timu ya Taifa ya Mali, Tom Saintfiet ametangaza kikosi cha wachezaji 25 kwa ajili ya mechi mbili za...

READ MORE

Usikose Jumatano ya Zawadi leo Piga *149*10# Ushinde Simu Mpya

Je unajua kuwa ukipiga *149*10# unaweza ukajishindia Samsung A26?. Mechi kibao za kukupatia pesa zipo hapa huku nafasi ya kushinda...

READ MORE

Manchester United, Tottenham Wagombania Saini ya Orkun Kökçü

Manchester United wamejiunga na Tottenham Hotspur katika mbio za kumsajili kiungo na nahodha wa Beşiktaş, Orkun Kökçü, ambaye ameibuka kuwa...

READ MORE

Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

Klabu ya Yanga, imetangaza kumrejesha kocha Abdihamid Moalin kuwa kocha Msaidizi chini ya Kocha Mkuu Pedro Gonçalves hatua ambayo klabu...

READ MORE

Watanzania Watamba Yas Kili Marathon 2026, Wachukua Ubabe Nusu Marathon

Watanzania wameendelea kutoa ushindani wa kiwango cha juu katika mbio za kilomita 21 zinazobebwa na tamasha kubwa la kila mwaka...

READ MORE

Elie Mpanzu Asaini Mkataba Mpya wa Miaka Miwili Simba

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Elie Mpanzu, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia...

READ MORE

Ukimya wa Inter Milan Wazaa Matokeo Makubwa Serie A

Vinara wa SERIE A, Inter Milan wameendelea kuwa na wakati mzuri baada ya kuendelea kufanya vizuri kwenye mashindano hasa ya...

READ MORE

Arsenal Yakosa Tena Ubingwa, Guardiola Aandika Historia Atwaa Carabao

Manchester City wameendelea kuthibitisha ubora wao katika soka la England baada ya kutwaa ubingwa wa Carabao Cup kwa mara ya...

READ MORE

Yanga Yashauriwa Kubadili Kocha na Benchi la Ufundi – Video

Mtangazaji na mchambuzi wa soka, Ibrahim Rajab maarufu kama Ball Dancer, ametoa ushauri kwa Young Africans SC kuachana na kocha...

READ MORE

Maelfu Washiriki Kilimanjaro Marathon Moshi, Yavunja Rekodi Licha ya Mvua

Licha ya mvua kubwa kunyesha katika Mkoa wa Kilimanjaro Region, maelfu ya washiriki na watazamaji walijitokeza kushiriki na kushuhudia toleo...

READ MORE

Arsenal vs Manchester City – Nani Ataibuka Bingwa wa Carabao?

Je unajua kuwa Jumapili hii kutakuwa na moto mkali sana pale Wembley kati ya Arsenal vs Manchester City kwenye Fainali...

READ MORE

Al Ahly Watolewa CAFCL Baada ya Kichapo kutoka Espérance de Tunis

Mabingwa mara 12 wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly SC, wameaga rasmi michuano ya CAF Champions League baada ya...

READ MORE

Mabingwa Watetezi Pyramids Waaga CAFCL Kwa Maumivu

Mabingwa watetezi wa CAF Champions League, Pyramids FC, wameaga rasmi michuano hiyo baada ya kutolewa na AS FAR Rabat kwa...

READ MORE

Chelsea Yapokea Kipigo Kingine cha Aibu Dhidi ya Everton

Mshambuliaji Beto ameibuka shujaa wa Everton FC baada ya kufunga mabao mawili muhimu yaliyoisaidia timu yake kuibuka na ushindi mnono...

READ MORE

Chelsea Kwenye Safari ya Top 4, Everton Kwenye Mapambano

Je unajua kuwa kuna watu wengi sana wametengeneza maisha yako kupitia soka?. Mimi ninawajua wengi tuu, lakini pia naamini hata...

READ MORE

Bournemouth Dhidi ya Manchester United na Cagliari vs Napoli Leo

Ligi mbalimbali zinazidiki kupamba moto huku nafasi ya wewe kujiondokea na kitita ikiwa kubwa kabisa. Kule Italia, SERIE A, kama...

READ MORE

Kenya Hatarini Kupoteza Haki ya Kuandaa Afcon 2027 Kwa Kushindwa Kulipa Ada

Afisa Mkuu wa Serikali ameonya kuwa Kenya iko katika hatari kubwa ya kupokonywa haki ya kuandaa michuano ya Africa Cup...

READ MORE

Refa Aliyeinyima Singida Penati Dhidi ya Simba Afungiwa Mizunguko Mitatu

Mwamuzi Katanga Hussein kutoka Tabora amefungiwa kuchezesha mechi kwa mizunguko mitatu (3) baada ya kubainika kushindwa kutafsiri ipasavyo sheria za...

READ MORE

Refa Aliyeinyima Yanga Penati Afungiwa Mizunguko Mitatu

Mwamuzi Ally Mnyupe kutoka Morogoro amefungiwa kuchezesha mechi kwa mizunguko mitatu (3) baada ya kushindwa kutafsiri ipasavyo sheria za mpira...

READ MORE

Shabiki wa Yanga Afungiwa Miezi 12 Kwa Uharibifu wa Mali

Shabiki maarufu wa Yanga, Carlos Leonard Mayangura, amefungiwa kwa muda wa miezi 12 kufuatia kuhusika katika tukio la uharibifu wa...

READ MORE

Senegal Yatishia Kususia Mashindano ya CAF Kufuatia Uamuzi wa AFCON

Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, ametoa tamko kali kwa Shirikisho la Soka la Afrika CAF kufuatia uamuzi ulioibua mshtuko...

READ MORE

Simba Yapoteza Pointi Mwanza, Mashujaa Yatoka sare dhidi ya Azam

Simba imeshindwa kuibuka na ushindi baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Pamba Jiji FC katika mchezo wa...

READ MORE

Ratiba ya Ligi Yavuruga Ushindani, Simba Yatajwa Kunufaika, Bodi ya Ligi Yatajwa

Ratiba ya Ligi Kuu Bara imezua mjadala mkali miongoni mwa mashabiki, huku wengi wakieleza kutoridhishwa na namna baadhi ya timu...

READ MORE

Usiku wa Mabingwa leo: Nani Anasonga Mbele? Liverpool, Bayern, Barca

Siku ya leo unaweza ukaibuka bingwa kwa kubashiri na wakali wa ubashiri Meridianbet. Timu nyingi za ushindi zinakungoja wewe, hivyo...

READ MORE

Senegal Wakataa Kurudisha Kombe la AFCON, Wailipua CAF, Kukata Rufaa

Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limekosoa uamuzi wa CAF kuwatangaza kupoteza mechi ya fainali ya AFCON 2025 , na...

READ MORE

Hiki Hapa Kikosi cha Stars kitakachoingia kambini Machi 22, 2026

Kikosi cha Taifa Stars kitakachoingia kambini tarehe 23 Machi 2026 kujiandaa na michezo miwili ya FIFA Series 2026 itakayofanyika Kigali,...

READ MORE

Senegal Wanyang’anywa Ubingwa wa AFCON, Morocco Washinda Mezani

Shirikisho la Soka Barani Afrika,(CAF), kupitia Kamati yake ya Rufaa, limetangaza rasmi kuwa timu ya taifa ya Senegal National Football...

READ MORE

Arsenal, Real Madrid na Paris Saint-Germain Watinga Robo Fainali UEFA

Timu za Arsenal, Real Madrid na Paris Saint-Germain zimefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya UEFA Champions League baada ya...

READ MORE

UEFA Leo Moto! Mechi za Kufunga na Kufungua Milango ya Robo Fainali

Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo...

READ MORE

Sowah Hatihati Kutimuliwa Simba Kwa Utovu wa Nidhamu

MSHAMBULIAJI namba moja wa Simba, Jonathan Sowah kuna hatihati kuondoka ndani ya kikosi hicho kutokana na tatizo la nidhamu. Sowah...

READ MORE

Furahia Ujio wa Pasaka kwa Ushindi Ndani ya Mchezo Wa Wild Easter Eggs

Msimu wa Pasaka umepewa ladha mpya ya burudani kupitia mchezo mpya wa kusisimua unaoitwa Wild Easter Eggs. Mchezo huu unawakaribisha...

READ MORE