The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

burudani

Ndoa ya siri ya Ben Pol yatikisa

MAZITO yameibuka baada ya kuvuja siri ya ndoa ya mwanamuziki wa Bongo Fleva Benard Paul ‘Ben Pol’, kufunga ndoa ya siri na mchumba wake wa siku nyingi Anerlisa Muigai ambaye ni raia wa Kenya.  Habari hizo zilianza kusambaa mitandaoni,…

Muna: Sina kinyongo na Wema

MSANII wa filamu Bongo, Rose Alphonce ‘Muna Love’ amesema kuwa hajawahi kuacha kumpenda msanii mwenzake Wema Sepetu licha ya mambo yote yaliyowahi kutokea kati yao.  Akizungumza na Risasi Vibes hivi karibuni ikiwa ni baada ya wawili hao…

JUX ALIPA ZAIDI YA MILIONI 26

MKALI wa RnB Bongo, Juma Musa ‘Jux’ amesema kuwa yeye ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania wanaolipa kodi kubwa serikalini kupitia biashara yake ya nguo.  Jux ameliambia Gazeti la IJUMAA WIKIENDA kuwa, bidhaa zake za nguo za African Boy…

Wema amtoa chozi Diana

MWIGIZAJI wa Bongo Movies ambaye kwa sasa amejichimbia nchini Marekani, Diana Kimari amejikuta akimwaga chozi baada ya kumkumbuka shoga’ke kipenzi, Wema Isaac Sepetu. Diana ameiambia OVER ZE WEEKEND kwa njia ya simu kutoka kwa Trump…

Mondi, Amina wa Kiba Gumzo Mjini

MJI mzito huu! Baada ya mapichapicha ya staa wa Bongo Fleva, Ali Salehe Kiba ‘King Kiba’ na mwanamitindo Hamisa Mobeto kuenea kila kona mtandaoni wakijiachia live kimahaba, mazito yameibuka.  Ghafla tu upepo umebadilika na sasa gumzo…

Ukweli Pete ya uchumba ya Nandy

BAADA ya utata kuibuka kutokana na mwanamuziki William Lyimo ‘Billnass’ kumvisha pete ya uchumba, mpenzi wake ambaye pia ni mwanamuziki mwenzake, Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’, ukweli umeanikwa, IJUMAA WIKIENDA linakupa habari…

Kiba akimbiza kijiji

 “KUPENDA ni vitendo si manenomaneno, leo nakupa kitengo kwa kufika malengo, umeziba mapengo, kwa upendoupendo! Bora wananzengo waanze vikao vya sendo-ff eeeh maa!  “Maana we mrembo nakujuzaaa... mama nashukuru umekuza, chanda kama pete…

Maimartha amtangazia vita Bonita

Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ amemtangazia vita mwanamama maarufu kwa kuwapamba mastaa wa kike Bongo, Bonita kwamba akipita anga zake atamfanya kitu mbaya. Akichonga na Amani, Mai alisema hivi karibuni Bonita…

Joseph Msami amtolea povu Mwijaku

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Msami amemtolea povu msanii wa filamu Bongo, Mwemba Batoni ‘Mwijaku’ na kusema kuwa aache tabia ya kujifanya ndiye msemaji wa familia za watu.  Akizungumza na Risasi Vibes, Msami alisema kuwa…

Mobeto; Sina fanicha mimi?

HIVI karibuni maneno yalisambaa mitandaoni kwamba mwanamitindo na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto hana samani za ndani hivyo aache majigambo, baada ya maneno hayo kutikisa, mwenyewe ameibuka na kukanusha vikali maneno hayo.…

Harmo, Sara moto unawaka

BAADA ya hivi karibuni kudaiwa kufumaniwa na mrembo mwenye umbo matata Bongo, Nicole Joyberry Mbaga, staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ au ‘Harmo’ na mchumba’ke wa muda mrefu, Sarah Michelloti, moto umewaka ile mbaya, IJUMAA…

Jux, Huddah penzi ni kikohozi!

AMA kweli penzi ni kikohozi! Huu ni msemo wa siku nyingi wa wahenga, lakini sasa unafanya kazi kwa mastaa wengine wawili Afrika Mashariki.  Hawa ni staa wa Bongo Fleva kutoka Tanzania, Juma Musa ‘Jux’ na video vixen (modo…

Harmo kuiteka Dar

RAJABU Abdul ‘Harmonize’ au Harmo ana jambo lake Dar, taarifa zinasema kwamba siku hiyo mkali huyo wa Bongo Fleva, ataliteka jiji zima la Dar na watu wote watakuwa pale Mlimani City kumshuhudia.  Meneja wa Harmonize, Beauty Mmary…