The House of Favourite Newspapers
Tags:

Luundo Kumpeleka Bushoke Canada

Na ANDREW CARLOS| IJUMAA WIKIENDA| OVER ZE WEEKEND MSANII wa Muziki wa Dansi mwenye asili ya Kongo na Tanzania, Luundo Dunia anatarajia kumpeleka mkongwe wa Muziki wa Bongo Fleva, Ruta Bushoke nchini Canada. Akizungumza na Over…

Mtalaka wa Nora aitwa ‘Bushoke’

Akikrangiza. DAR ES SALAAM: Makubwa! Mtalaka wa msanii mkongwe wa sinema za Kibongo, Nuru Nassoro ‘Nora’, Luqman Masoud amedaiwa kufanywa ‘mume bwege’ na mkewe wa sasa ikidaiwa kuwa anafanyishwa kazi za nyumbani kila siku. Kutokana na…

Biriani Festival na Coca Cola si Mchezo

Dar es Salaam: 11/11/2022. KAMPUNI ya Coca-Cola Kwanza kupitia kampeni yake ya Biriani Friday na Coka ambayo ilianza rasmi mwezi wa sita mwaka 2021 na kuendelea mpaka sasa ikiwa na lengo kubwa la kuendeleza utamaduni…

‘Kirusi’ Hatari Kinawamaliza!

KATIKA historia ya muziki nchini, tuliona wanaume ndiyo waliamka na kuitengeneza tasnia hii katika nyanja mbalimbali.Wanamuziki wakali wa kiume waliibuka enzi hizo na kuikuza sanaa ya burudani kwa kutoa kazi kali katika uwanda wa Bongo…

MWILI WA MSANII BONGO WAAGWA DAR

MWILI wa aliyekuwa mwanamuziki wa Bendi ya Vijana Jazz, Abdallah Mgonahazeru umeagwa leo Ijumaa, nyumbani kwake, Mwananyamala jijini Dar es Salaam na kusafirishwa kwenda nyumbani kwao katika Kijiji cha Kinole mkoani Morogoro kwa ajili…

WASANII WALIOVUMA, WAKASANDA

UNAWAK-UMBUKA jamaa wawili waliokuwa wakiunda Kundi la Uswahilini Matola kutoka jijini Mbeya? Unaikumbuka ngoma yao ya Kosa la Marehemu? Unayakumbuka makundi kama University Corner (UVC) lililobamba na ngoma kibao kama vile Tisheti na…

MASTAA WAIFAGILIA TWANGA PEPETA

MASTAA mbalimbali Bongo, hivi karibuni wameifagilia Bendi ya The African Starz ‘Twanga Pepeta’ kutokana na juhudi zake za kurudisha msisimko wa Muziki wa Dansi nchini kama ilivyokuwa hapo awali. Akifungua duru juu ya kukunwa na bendi…

Majibu 4‘ Waraka’ wa Ray C

MEI 15, 1982 katika mkoa wa Iringa alizaliwa msanii mkongwe mwenye sauti tamu katika Muziki wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’. Ray C alianza rasmi muziki huo mwaka 2003, hadi sasa anashikilia albamu nne kwapani ambazo ni…

Wanazeeka na Bongo Fleva Yao

HIVI karibuni kwenye Ukumbi wa Next Door, Msasani jijini Dar, nilimshuhudia msanii mkongwe kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘TID’ akifanya makamuzi ya hatari kiasi cha kujikusanyia kijiji chake katika onesho…

Q-Chillah kuibuka na bendi

Mkongwe wa Bongo Fleva, Aboubakar Katwila ‘Q-Chillah’. Stori: Musa Mateja BAADA ya kuutumikia Muziki wa Bongo Fleva kwa muda mrefu, mkongwe Aboubakar Katwila ‘Q-Chillah’ ametangaza kuibuka na bendi itakayofahamika kwa jina la QS…

Lungi, Ferguson wanaswa

Rapa Saulo John ‘Ferguson’ akiwa na  Lungi Maulanga. Issa Mnally Rapa mahiri wa bendi ya muziki wa dansi ya Mashujaa ya jijini Dar es Salaam Saulo John ‘Ferguson’ mwishoni mwa wiki iliyopita alinaswa na Lungi Maulanga wakiwa…

Magufuli aahidi neema kwa Wanabukoba

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dk. Jonh Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Bukoba, mkoani Kagera jana. Chege na Temba wakiwaburudisha wakazi wa Bukoba wakati wa mkutano huo. Wakazi wa Bukoba wakimsikiliza kwa makini…