Mke Wa Aliyekuwa Rais Wa Gabon Afungwa Jela.
Sylvia Bongo Ondimba Mke wa aliyekuwa Rais wa Gabon na kuondolewa madarakani Ali Bongo Odimba amefungwa jela.
Sylvia Bongo amekuwa katika kizuizi cha nyumbani katika mji mkuu, Libreville, tangu mapinduzi ya Agosti 30 yalipoondoa…