The House of Favourite Newspapers

Mondi Akataa Msamaha wa Harmo!

TAARIFA ya moto ikufikie kwamba, ule msamaha wa msanii wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ kwenda kwa baba yake aliyemlea kimuziki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, umeibua mazito, RISASI MCHANGANYIKO lina ‘exclusive’. Habari za…

Harmo, Kajala Mambo ni Moto!

TABIA ya kupe ni kuganda kwenye ngozi pale anapofyonza damu; unauliza mfano una maana gani kwenye stori hii, subiri upakuliwe ubuyu. Iko hivi; yale madai yaliyovuma miaka miwili iliyopita kuwa msanii wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul…

Giza Nene Jack Patrick

DAR: BAADA ya kufungwa miaka 6 jela kwa kosa la kunaswa na madawa ya kulevya nchini China, modo maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’, swali la “atatoka lini kifungoni?” hakuna alijuaye jibu lake na hivyo kuleta…

Zuchu Amfunika Kiba

Msanii anayekuja kwa kasi kunako gemu la Bongo Fleva, Zuhura Othman Kopa ‘Zuchu’, amewafunika wasanii wengine wengi akiwemo Ali Saleh Kiba ‘Alikiba’. Kwa mujibu wa mtandao wa kupima kazi za wasanii (social blade), mrembo…

Muna Achefua Kanisa

MUIGIZAJI ambaye anajinasibu kuwa ni Mlokole; Muna Alphonce, amedaiwa kulichefua kanisa kwa mambo anayoyafanya mitandaoni. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, amekuwa akitupia vipande vya video vinavyomuonesha…

Mateso Juu ya Mateso!

NI mateso juu ya mateso! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kusoma habari ya mama huyu ambaye amekatwa miguu yote na kujikuta akiishi maisha ya mateso makuu hapa duniani. Bibi Estina George (65), mkazi wa Mbezi-Msumi jijini Dar,…

Muna Achefua Kanisa Mitandaoni

MUIGIZAJI ambaye anajinasibu kuwa ni Mlokole; Muna Alphonce, amedaiwa kulichefua kanisa kwa mambo anayoyafanya mitandaoni.Kupitia ukurasa wake wa Instagram, amekuwa akitupia vipande vya video vinavyomuonesha ‘akikata mauno kama hana…

Zuchu Aonywa Auhusu Diamond

WATU bwana! Siku chache baada ya msanii chipukizi Zuchu Kopa kuachia albam yake fupi ‘EP’ iitwayo ‘I’m Zuchu’, wamemgeuzia kibao na kumuonya kwamba asipokuwa makini, bosi wake Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au Mondi atampitia.…