#Exclussive: Mbwana Samatta Afanya Kufuru Kijijini Kwao – Afuata Nyao Za Sadio Mane –…
WAKAZI wa Vikindu Kidubwa Mkoa wa Pwani, wameanza kuutumia msikiti uliojengwa na mshambuliaji wa Greece club PAOK, Mtanzania, Mbwana Samatta.
Samatta alianza kuujenga msikiti huo mwaka 2018 wakati akiitumikia KRC Genk ya Ubelgiji…