Ali Kiba: Usafi ni Lazima na Tabata ni Nyumbani, Tumuunge Mkono RC Makalla
MSANII wa Bongo Fleva Ali Kiba maarufu kama King Kiba leo Mei 27, 2022 ameongea na waandishi wa habari akiwa maeneo ya Tabata ambapo amegusia suala la kuzindua Kampeni ya Usafi katika maeneo ya Tabata inayotarajiwa kufanyika kesho Mei…