The House of Favourite Newspapers

Bulaya Amcharukia Waziri Aweso

MBUNGE wa Viti Maalum  Ester Amos Bulaya ameitaka Wizara ya Maji kuziba mianya ya upotevu wa maji ili kuokoa pesa za serikali zinapotea katika miradi ya maji iliyopo nchini ilihali bado upatikanaji wa maji bado ni tatizo nchini.…