Bosi Gor Mahia Akiri Kuwa ni Freemason, Taharuki Yatanda Juu ya Hatma Yake
MWENYEKITI wa Gor Mahia, Ambrose Dickens Otieno Amollo Rachier ameanza kuandamwa na shinikizo zinazomtaka ajiuzulu baada ya kukiri hadharani kuwa anajihusisha na imani isiyoeleweka almaarufu Freemasonry.
Kupitia mahojiano…