The House of Favourite Newspapers

Libya Yaunda Serikali ya Mpito

WAJUMBE wa pande hasimu kisiasa nchini Libya jana Februari 5, 2021, wamefanikiwa kumchagua waziri mkuu na wajumbe watatu wa baraza la urais, ambao wataiongoza serikali ya mpito ya kitaifa kuelekea uchaguzi mkuu mwishoni utakofanyika…