Meya wa mji wa Derna nchini Libya akamatwa pamoja na maafisa wengine
Ofisi ya mwanasheria mkuu yenye makao yake katika mji mkuu Tripoli, imesema imetoa amri ya kuwazuia maafisa wanane wa eneo hilo kuhusiana na kupasuka kwa mabwawa katika dhoruba ambayo ilisababisha mafuriko yaliyoyasukuma maeneo na…