Waziri Mkuu Aonya Kuhusu Rushwa Kitega Uchumi Cha Stendi Ya Kange
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya viongozi wanaogawa maeneo kwenye kitega uchumi kipya cha Dkt. Samia Suluhu Hassan Business Centre kilichopo stendi ya Kange, nje kidogo ya Jiji la Tanga wajiepushe na vitendo vya rushwa.
“Viongozi…