Diamond Amlipia Tiffah Milioni 50
DIAMOND Platinumz ni staa mkubwa wa muziki barani Afrika; ni staa mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mitandao ya kijamii kwa ukanda wa Afrika Mashariki hivyo hana jambo dogo kwa kuwa kuna vijana wengi wanamtazama yeye kama mfano.…