
Browsing Category
Celebrities
Exlusive Video: Nicole Ajilipua – “Nimevunja Ndoa Ya Harmonize Na Sarah, Anajua…
Mwigizaji wa Bongo Movie, Video Vixen na soshalaiti mwenye mashabiki wengi mjini, Nicole Berry amefunguka kwamba mwanaume anayekuhudumia na kukuhonga, anatakiwa kuenziwa na kuheshimiwa.
Wolper Atoa Ahadi kwa Wema Sepetu Akipata Mimba Kumfungia Ndani… Video
Muigizaji mkongwe nchini Tanzania, Jacqueline Wolper amemwandikia muigizaji mwenzake, Wema Sepetu akimwambia kwamba siku atapata ujauzito, atakuwa mtu wa kwanza kujitolea na kumfungia ndani akimhudumia kwa kila kitu…
Pata Mpaka 97.58%Ya Dau Lako Na Sloti ya Deuces Wild Poker
Sloti ya Deuces Wild Poker
Habari njema kwa wapenda kasino, kama uliwahi kucheza michezo hii ya sloti Aviator, Poker, Roulette kutoka kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, basi huu mwingine hutataka ukupite kati ya michezo rahisi…
Wikendi Hii Tusua Pesa Ukiwa Na Meridianbet Mabingwa wa Odds Kubwa
EPL kuendelea Wikendi hii kwenye viwanja mbalimbali ambapo Everton watakuwa ugenini dhidi ya Chelsea ya Potter ambayo imekuwa na misukosuko mingi baada ya kuwa na matokeo mabaya kwenye ligi. Sehemu ya kupata odds kubwa ni Meridianbet…
Burna Boy Kutumbuiza katika Fainali za UEFA Istanbul, Turkey
Msanii wa Nigeria na mshindi wa Tuzo za Grammy Burna Boy atatumbuiza katika sherehe za uzinduzi wa fainali za kuwania Kombe la Ligi ya championi ya UEFA mjini Istanbul, Turkey.
Nyota huyo wa Nigeria ataleta nguvu na ladha ya muziki…
Ushindi Upo Kwenye Mechi Hizi Hapa Ligi Ya Mabingwa Leo na Kesho
UEFA CHAMPIONS LEAGUE kurindima hii leo ambapo leo hii Manchester City atacheza dhidi ya RB Leipzig ambapo City anashikilia nafasi ya pili kwenye msimamo na Leipzig yupo nafasi ya tatu kule Bundesliga. Kila timu inahitaji ushindi…
Kianzio cha Tsh 5,000 Unapata Tsh 3M Pale Meridianbet Chap!
Ofa za Meridianbet zipo zinaendelea kumiminika kila siku, na hii ni yako kwa mtaji wa 5,000/= Tsh unaweza kujiweka kwenye nafasi ya kushinda mgao wa Milioni 3 za kitanzania. Nafasi ni yako ya kujishindia mgao wako wa bonasi ya TZS…
Unambiwajee Unapocheza Sloti Ya Aviator-Meridianbet Unapata Mizunguko 500 Ya Bure Kila Siku
Haijawahi kuwa kinyonge pale Meridianbet wanapoanzisha jambo lao, mwezi huu tena wamekuja na sloti ya Aviator, ndani ya Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unambiwa sloti hii inatoa hela balaa unaanzaje kuikosa hii. Kwa dau la kuanzia…
Exclusive Video: Rahisa Afichua Ujauzito Wa Patrick, Aanika Sms Za Niffer, Amtumia Salamu Hidaya…
KUFUATIA EXCLUSIVE aliyowahi kuifanya Imelda Mtema na Hidaya Njaidi Mama mzazi wa Patrick kuhusiana na mahusiano ya mwanaye na kumtaja Niffer kuwa ndiyo mkwe wake anayemfahamu na kumkana Rahisa, Imelda amemtafuta Laisa na kupiga naye…
Sinza Mpo? Meridianbet Imewaletea Duka La Kubetia Njooni Kwa Wingi Mbashiri
Je wewe ni mkazi wa Sinza? Wanapopatikana Watu Wajanja? Na unapenda kubashiri kwenye maduka?. Basi Meridianbet leo hii wamekuzindulia duka kubwa kabisa ambalo unaweza ukabashiri maeneo ya hapo Madukani.
Duka hilo lipo Sinza Madukani…
TZS 350,000,000 Kutolewa na Meridianbet na Wazdan unasubiri nini kucheza?
Haijawahi kuwa ya kuvutia kiasi hiki, zawadi za jumla ya TZS 350,000,000 kushindaniwa kwenye michezo ya sloti inayotolewa na Wazdan katika chimbo lako pendwa la kasino Meridianbet Tanzania, unashiriki ukiwa na nafasi ya kujishindia mgao…
Video: Niva Ana Watoto 7 Wanawake 7, Afichua Mapenzi Yanavyomtesa – ”Mimba Nabeba…
EXCLUSIVE ya GLOBAL TV tumepiga stori nyingi na mwigizaji anayekimbiza Bongo kutokana na namna yake ya uigizaji Zuberi Mohammed maarufu kama Niva ambaye amefunguka mengi....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE:…
Patakuwa Hapatoshi! Huku Fahyma Kule Paula, Rayvanny Apagawa
Patakuwa hapatoshi! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema ambapo kwa mara ya kwanza,Rayvanny atakutana uso kwa uso na baby mama wake, Fahyma katika event ambayo Paula Kajala naye atakuwepo!
Inafahamika kwamba Paula ndiye…
Aggy Baby Afunguka Ukweli Kutoka Na Meneja Wake – ”Kajala Na Mitumba, Aniombe…
KAMA ni mfuatiliaji wa mambo yanayoendelea mitandaoni, basi jina la Agnes Suleiman 'Aggy Baby' siyo geni kwako. Akifanya mahojiano na Global TV Online kupitia kipindi cha Mapito amedai kuwa anaimba kuliko mwanadada malkia wa muziki wa…
Fahamu Historia Ya Vannesa Mdee, Kuzaliwa, Elimu, Muziki, Mapenzi Yakavuruga Ubongo Wake –…
KATIKA 'Brain Food' leo tunakupa historia ya mwanamuziki Vannesa Mdee kutoka Tanzania ambaye kwa sasa ameamua kuacha muziki.
Exclusive Video: Inspector Haroun Afunguka Bifu Lake Na Juma Nature, Maisha Yake Hali, Muziki
Msanii mkongwe, Haruna Kahema ‘Inspector Haroun’, mkali wa michano ambaye aliwahi kutamba na ngoma nyingi zikiwemo Pamba Nyepesi, Bye Bye na Hapa Kazi Tu! amefunguka bifu lake na mkongwe wa Muziki wa Bongo Fleva, Juma Nature.
Wikiendi ya Kutamba na Odds Kubwa za Meridianbet… Arsenal, Man United Kukiwasha
Wikiendi hii Meridianbet wanakupa fursa ya kutamba baada ya kukuwekea odds kubwa katika michezo mbalimbali ambayo itakwenda kupigwa wikiendi hii . Mabingwa wa michezo ya kubashiri wamemwaga odds za kutosha ni wewe tu ushindwe kutamba.…
Rais Cyril Ramaphosa Akataa Ombi la Mazishi ya Kitaifa kwa Rapa AKA
Ombi la utawala wa mkoa kwa ajili ya mazishi ya kiserikali kwa mwanamuziki maarufu wa Afrika Kusini aliyeuawa wiki iliyopita limekataliwa na rais, vinaripoti vyombo vya habari vya ndani .
Waziri Mkuu wa Gauteng Panyaza Lesufi alikuwa…
Ex-Wife Wa Ben Pol Alipuka- “Nilimwacha Mwanaume, Kisa Mchafu Jikoni”
Anerlisa Muigai ni mrembo au sosholaiti maarufu wa nchini Kenya ambaye amekuwa maarufu nchini Tanzania baada ya miaka kadhaa kuolewa na msanii wa Bongo Fleva, Ben Pol kisha wakatalikiana hivyo anabaki kuwa EX-Wife wa staa huyo wa RnB.…
Video: Jike Shupa Afichua Siri Kutaka Kujiua, Aangua Kilio Zaidi Ya Msibani – ”Maisha…
KWENYE EXCLUSIVE ya IMELDA MTEMA amepiga stori na video vixen aliyeuza nyago kwenye video ya Juma Nature na Nuh Mzimwanda, Jike Shupa ambaye amedunguka mengi ikiwemo maisha magumu anayoyapitia kutokana na kulea mtoto peke yake bila msaada…
Expanse Studios na Meridianbet Kuja na Sloti Mpya
Expanse Studios, mtengeneza programu anayekua kwa kasi zaidi katika michezo ya kasino mtandaoni ambayo mingi unaipata Meridianbet Kasino ya Mtandaoni, anafuraha kutangaza ushiriki wake ujao katika ICE London 2023. Expo inayoongoza…
Titan Roulette ndani ya Meridianbet Ushindi Mara nyingi zaidi
Kuwa Mshindi na Titan Roulette
Leo nataka nikupe chimbo moja la kucheza na kushinda kwa urahisi, ni pale Meridianbet kasino ya mtandaoni kuna sloti moja inaitwa Titan Roulette ni bonge moja la mchezo, tena linakupa nafasi ya…
Mwijaku, Baba Levo Watambulishwa Bungeni, Wapigiwa Makofi Na Wabunge – Video
Brighton Mwemba maarufu kama Mwijaku na Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo ni miongoni mwa Wageni waliofika Bungeni Dodoma leo February 02,2023.
Ushindi Mkubwa Na Gurudumu La Bahati Meridianbet Kasino! Shinda hadi mara 25000 ya dau lako na Crazy…
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet kwa kushirikiana na watengenezaji mahiri wa michezo ya kasino za mitandaoni - Evolution Gaming, wanakuletea mchezo wa kijanja uitwao Crazy Time.
Crazy Time ni mchezo wa…
Mwaka Mpya Umeanza Na Kimbunga Cha Zawadi Kem Kem Januari Hii Kutoka Meridianbet Kasino
Meridianbet Kasino itawafurahisha washindi 3 wenye bahati kwa kuwapatia zawadi mbalimbali, ni kwa kucheza michezo yeoyote ya kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbetkama vile Aviator, Titan Roulette, Titan Dice, Poker, God of…
Baba Levo Atoa ya Moyoni, ‘Nikipata Nafasi Naruka na Rushainah’- Video
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
!-->!-->-->!-->!-->-->!-->…
Esha Buheti Kathibitisha Kufunga Ndoa Na Mchezaji Wa Singida Big Stars –Ni Ndoa Ya Pili
Esha Salim Buheti ni muigizaji mkali nchini Tanzania na mjasiriamali wa chakula wa kishua ambaye amethibitisha kufunga ndoa na mchezaji wa Singida Big Stars aitwaye Ahmed Waziri.Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Esha ameposti video na…
Wasanii wa Nigeria Watamba Katika Tuzo za Afrima kwenye ukumbi wa Dakar Arena Senegal
Muthaka kutoka Kenya akimpokea msanii bora wa kike kutoka Afrika Mashariki katika Tuzo za Muziki za Afrima, All Africa Music kwenye ukumbi wa Dakar Arena huko Diamniadio, Senegal.
Mastaa wa Nigeria kama vile Burna Boy, Davido na Wizkid…
Expanse Studio na Meridianbet Kuzindua Sloti Mpya
Wiki chache tu baada ya kuzindua michezo yao ya hivi karibuni- Wild White Whale na Zombie Apocalypse hatimaye sasa Expanse Studio inakuja Tanzania, kuonyesha bidhaa yake mpya ya hivi karibuni katika kituo cha BR21 ya Sigma Africa 2023,…
Amber Lulu Aumizwa Vibaya kwa Kipigo katika Mwili wake, Afunguka – Video
Amber Lulu; ni staa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania ambaye kwa mara nyingine ameeleza kunyanyaswa au kufanyiwa ukatili wa kipigo.Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Amber ambaye ni mama wa mtoto mmoja wa kike aitwaye…
Nandy Atambulisha lebo Yake Mpya ya Muziki iitwayo The African Princess Label
Staa wa kike wa Bongo Fleva, Faustina Mfinanga almaarufu Nandy ametambulisha lebo yake mpya ya muziki iitwayo The African Princess Label.
Utambulisho huo, utafuatiwa na tukio la kutambulishwa kwa msanii wa kwanza wa lebo hiyo, ambapo…
Gigy Money Afunguka Kuwa Single, Baba Mtoto wake Asepa Mazima
Msanii mwenye hekaheka zake mjini asiyeishiwa vibwanga Gift Stanford ‘Gigy Money’ amefunguka kuwa kwa sasa yupo single hivyo jimbo liko wazi.
Akizungumza na IJUMAA hivi karibuni Gigy amesema hapendi kuficha mambo ndiyo maana ameamua…
Mazito Mke Wa Manara Yaibuka, Kuendelea Kumhudumia Hadi Amalize Eda Yake
WENGI wanadhani kwa kuwa dini ya Kiislamu imeruhusu talaka basi jambo hilo laweza kufanyika kimchezomchezo; wanazuoni wanasema “La hasha.”
Hivi karibuni kumekuwepo madai kuwa aliyekuwa msemaji wa Yanga Haji Manara amemtaliki mkewe wa…
Unapenda Hadithi za Kale, Cheza Sloti ya God of Coins na Ushinde!
Meridianbet wakishirikiana na Expanse Studio wanafanya wepesi katika mwezi huu wenye mambo mengi wakikuletea Sloti mpya ya God of Coins unaokufanya upate zaidi ya mara 1000 ya dau lako kirahisi kabisa, chaguo lako ndio ushindi wako leo.…
Harmonize Ana Nyota kwa Wasanii wa Kike… Nandy, Maua Sama Watajwa Kutoboa
MSANII wa Bongo, Rajab Abdul Kahali maarufu kama Harmonize au Harmo ana nyota kwa wasanii wa kike.
Inaelezwa kwamba msanii yeyote wa kike atakayemshirikisha Harmonize katika ngoma yake basi wimbo huo hutoboa.
Imani hiyo…
Siku Hizi Ukijisajili Meridianbet Ukaweka Pesa Unashinda Bonasi Kubwa
Ofa za Meridianbet zinaendelea kutaradadi katika kila kona, ofa baada ya ofa, promosheni baada ya promosheni katika mwezi wenye mambo mengi. Nafasi yako ya kujishindia mgao wako wa bonasi ya TZS 3,000,000 kutoka hapa nyumba ya Odds…
Harmonize Aibuka na Feza Kessy, Aibua Maswali Mazito Kwa Mashabiki Wake
MSANII Rajabu Kahala ‘Harmonize au Harmo’ leo Desemba ameibua maswali mazito kwa mashabiki zake baada ya kuachia picha tata kupitia insta story yake akiwa na msanii wa Bongo Fleva na mtangazaji, Feza Kessy akiambatanisha na…
Sloti ya Expanse Kasino na Meridianbet Ushindi Mkononi mwako!!
Mwezi Januari ni maarufu sana kuwa ni mwezi dume, una mambo mengi mara ulipe ada, unadaiwa kodi ya nyumba, biashara yako imeyumba, huna mtaji usiwaze mtu wangu wa nguvu, huu hapa mchongo wa kulainisha Januari yako kutoka Meridianbet…
Wiki ya wapenda soka, Odds Nono kwa mechi zote Unazipata Meridiabet
Hii ni wiki ya Copa del Rey, EPL, SERIE A, mechi kubwa Zaidi ni usiku wa Alhamis pale ambapo Chelsea na Mamchester City watakipiga. Meridianbet wameamua kukupa furaha mteja wao kwa kumwaga Odds nono kwenye mechi zote.
Hizo Odds Nono…
Wasafi Washangaza Mashabiki Wamepata Wachumba lakini Ajabu Hakukuwa na Ndoa
WASANII wengi wa lebo ya Wasafi Classic Baby ( WCB) walibahatika kuwa na wachumba lakini ajabu ni kwamba hakukuwa na ndoa yoyote iliyofungwa au kudumu. Tuwaangazie warembo wanne ambao walipata wachumba Wasafi lakini waliachana bila…