×

Habari

Aliyekuwa Kocha wa Makipa wa Simba na Wenzake Wafikishwa Tena Kisutu

Aliyekuwa kocha wa makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Sultani, pamoja na wenzake, wamefikishwa tena leo katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Video: Ajali Moro Yaua Watu Wawili, Lori Zagongana, Moja Yawaka Moto

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia Julai 24, 2026, katika...

READ MORE

Video: Wafanyabiashara Soko la Mawenzi Morogoro Wagoma

Wafanyabiashara wa Soko la Mawenzi mkoani Morogoro wamegoma kufungua biashara zao wakishinikiza Serikali kupunguza kodi ya pango la vizimba, wakidai...

READ MORE

Yas Yazindua Msimu Wa Sita Wa Mbio Za Zanzibar Marathon 2026

Zanzibar, Julai 23, 2026 – Kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania imezindua rasmi msimu wa sita wa mbio za Yas...

READ MORE

Makamu wa Rais Nchimbi Ashiriki Misa ya Kumkumbuka Hayati Mkapa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameungana na familia, waumini, viongozi mbalimbali pamoja...

READ MORE

Dkt. Asha-Rose Migiro Azungumza na Wabunge Wa EALA Nchini

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya...

READ MORE

Stanbic na Visa Waandika Historia, Matumizi ya Kadi Yaruka kwa Asilimia 201

Dar es Salaam, Tanzania – 23 Julai 2026: Wakati Tanzania ikipiga hatua kubwa kuelekea uchumi usiotegemea fedha taslimu, Benki ya...

READ MORE

Iran Yaishambulia Jordan na Bahrain, Houthis Watishia kufunga Mlango wa Bab el-Mandeb

Mvutano wa kijeshi kati ya Marekani na Iran umeendelea kuongezeka baada ya Iran kudai kushambulia kambi za kijeshi za Marekani...

READ MORE

Rais Dkt. Mwinyi Awaapisha Viongozi Wanne, Wakiwemo Majaji Wawili wa Mahakama Kuu Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo Julai 24, 2026, amewaapisha viongozi...

READ MORE

Trump na Netanyahu Waungana Kuishinikiza Saudi Arabia

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema iwapo Saudi Arabia itajiunga na Makubaliano ya Abraham (Abraham Accords), hatua hiyo itakuwa...

READ MORE

Super Heli Premium Yatua Meridianbet, Burudani Yapaa Juu Zaidi

Meridianbet, kampuni inayoongoza ya kubashiri nchini Tanzania, inazindua rasmi uzoefu mpya wa kasino unaokuja na hadhi ya kipekee kupitia Super...

READ MORE

Oryx Yagawa Mitungi 600 Ya Gesi Kuhamasisha Nishati Safi Bagamoyo

KAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia 600 kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali wakimo mama lishe huku...

READ MORE

Trump Ataka Saudi Arabia Kuingia Kwenye Mkataba wa Amani Kabla ya Nyuklia

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema uidhinishwaji wa mkataba unaopendekezwa wa ushirikiano wa nyuklia kwa matumizi ya kiraia kati ya...

READ MORE

Wanafunzi Shule ya Msigi Goba Matosa Wapokea Msaada wa Madawati

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Goba Matosa iliyopo Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam wamepokea msaada wa madawati 23...

READ MORE

Koncept AI Academy Yaendeleza Mapinduzi ya AI Afrika Kwa Kuanza Rwanda

Koncept AI Academy imepanua shughuli zake kutoka Tanzania hadi Rwanda kwa kufanikisha AI Masterclass maalum kwa viongozi wa sekta ya...

READ MORE

Mkuu wa Gereza Kuu Ukonga Adai hajui Kama Tundu Lissu Aliwahi Kuwa Rais wa TLS

Mkuu wa Gereza la Ukonga, ACP Andrew Shaban, amesema hafahamu kama Tundu Lissu aliwahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria...

READ MORE

Video: Trump Aipa Iran Onyo Baada ya Mashambulizi ya Wahouthi Yemen

Rais wa Marekani, Donald Trump, leo Julai 23, 2026 ameonya kuwa iwapo waasi wa Houthi nchini Yemen wataendelea kufanya mashambulizi...

READ MORE

Uwoya Akanusha Kufunga Ndoa na Dogo Janja “Nina Ndoa Moja Tu”

Muigizaji wa filamu nchini, Irene Uwoya, amesema hajawahi kufunga ndoa na mwanamuziki wa Bongo Fleva, Dogo Janja, akisisitiza kuwa ndoa...

READ MORE

Wabunifu, Wasanii Wahimizwa Kushiriki Mashariki Creative Economy Expo 2026

Wabunifu, wasanii na wadau wa sekta ya ubunifu wamehimizwa kujitokeza kushiriki katika Jukwaa la Mashariki Creative Economy Expo 2026, ambalo...

READ MORE

Meridianbet na UFC Waunganisha Nguvu Kwenye Tukio la Kihistoria Belgrade

Tarehe 1 Agosti 2026 itaingia kwenye historia ya michezo ya mapambano wakati UFC itakapofanya tukio lake la kwanza kabisa nchini...

READ MORE

Polisi Arusha Wafungua Milango Ya Ajira Kwa Vijana Wa Mazingira Magumu

Ndoto za vijana wanaoishi katika mazingira magumu mkoani Arusha zimeanza kupata mwanga baada ya Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha...

READ MORE

Lissu Afikishwa Mahakama Kuu Kesi ya Haki ya Faragha Gerezani – Picha

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amefikishwa tena katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es...

READ MORE

Makosa 7 Yaliyosababisha Ajali ya Meli ya Costa Concordia na Vifo vya Watu 32

Ajali ya meli ya kifahari Costa Concordia iliyotokea Januari 13, 2012, na kusababisha vifo vya watu 32 imeendelea kukumbukwa kama...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Mkutano wa AU Kuhusu Afya Ghana – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali...

READ MORE

Saudi Arabia na Marekani Wasaini Mkataba wa Matumizi ya Nishati ya Nyuklia

Saudi Arabia na Marekani zimesaini makubaliano ya ushirikiano kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia kwa madhumuni ya amani, hatua inayolenga...

READ MORE

Serikali Yapongeza Stanbic kwa Kuwekeza Katika Malezi na Makuzi ya Mtoto

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amefungua rasmi Kituo cha Malezi na Makuzi ya Awali ya...

READ MORE

Zanzibar Yazindua Mabasi Ya Umeme Zanbus, Mixx Kusimamia Malipo Ya Kidijitali

Zanzibar, Julai 23, 2026 – Wakazi wa Zanzibar sasa watanufaika na mfumo wa kisasa wa usafiri wa umma usiotumia fedha...

READ MORE

Polisi Wadai Kupata ‘Burn Box’ Nyumbani kwa D4vd Katika Kesi ya Mauaji

Maafisa wa Polisi wa Los Angeles (LAPD) wameieleza mahakama kuwa walikuta kifaa kinachoitwa “burn box” nyumbani kwa msanii D4vd, wakati...

READ MORE

Fahamu Kicheche: Mnyama Mdogo Mwenye Tabia za Kuvutia

Kicheche ni mnyama mdogo jamii ya Nguchiro wanaopatikana sehemu mbalimbali duniani. Wanyama hawa hutofautiana mwonekano kutokana maeneo walipo lakini kimsingi...

READ MORE

Lissu Amhoji Mkuu wa Gereza Kuu la Ukonga Kuhusu Haki za Kisheria za Mahabusu

Katika kuendelea kusikilizwa kwa shauri linalomhusu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, katika Mahakama Kuu, Lissu aliendelea kumhoji Mkuu wa Gereza...

READ MORE

Trump Aionya Iran: Shambulio kwa Meli Litajibiwa kwa Kushambulia Miundombinu

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali kwa Iran akisema Marekani itajibu kwa mashambulizi ya moja kwa moja dhidi...

READ MORE

Msigwa Aungana na Wanachadema Kufuatilia Kesi ya Tundu Lissu

Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa, leo Julai 22, 2026, alifika katika Mahakama Kuu ya...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi na Uhamisho wa Viongozi Mbali Mbali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali katika Serikali,...

READ MORE

Mwigizaji wa Godzilla vs. Kong, Kaylee Hottle, Afariki Akiwa na Miaka 18

Mwigizaji chipukizi Kaylee Hottle, aliyefahamika kwa kuigiza nafasi ya Jia katika filamu za Godzilla vs. Kong (2021) na Godzilla x...

READ MORE

Heche Afika Mahakama Kuu Kufuatilia Kesi ya Mawakili wa Lissu Dhidi ya Gereza la Ukonga – Picha

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, amefika kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar...

READ MORE

Meridianbet Waonyesha Upendo kwa Michezo ya Wanawake Ruangwa

Katika harakati za maisha za kila siku wilayani Ruangwa, upepo wa matumaini ulivuma pale Meridianbet walipojitokeza kwa kishindo, wakibeba zawadi...

READ MORE

Wabunge Waibana Serikali ya Trump Kuhusu Bajeti ya Vita dhidi ya Iran

Washington, D.C. – Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, amesema gharama za vita dhidi ya Iran zimefikia dola bilioni...

READ MORE

Kijana Ahukumiwa Kifungo cha Miaka 25 kwa Kumuua Binti wa Miaka 17 kwa Risasi

Kijana Michael Garcia amehukumiwa kifungo cha miaka 25 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mwanafunzi wa shule ya sekondari mwenye...

READ MORE

Jeshi la Lebanon Laingia Kusini Baada ya Israel Kujiondoa

Beirut, Julai 21 – Wanajeshi wa Lebanon wameanza kupeleka vikosi katika mji wa Zawtar al-Gharbiyeh, kusini mwa Lebanon, baada ya vikosi...

READ MORE