The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

mwinyi

Rais Mwinyi Atumbua Watano

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi watano wa idara na wizara mbalimbali, kuanzia leo, Februari 3, 2022 akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na…

Rais Mwinyi Afanya Uteuzi Mpya

Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Jaji Khamis Ramadhan Abdalla kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar kuchukua nafasi ya Omar Othuman Makungu aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.…

Rais Mwinyi: Sina Ubaguzi

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema aliapa kuwatumikia wananchi wote hivyo hana ubaguzi kutokana na jinsi, dini au rangi ya mtu. Akizungumza na viongozi wa dini ya Kikristo huko Welezo mjini Unguja, Dk…

Rais Mwinyi Afanya Uteuzi Mpya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi amemteua Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Mbarouk Salim Mbarouk kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Skuli ya Sheria Zanzibar. Kwa mujibu wa taarifa…

Rais Mwinyi Asamehe Wafungwa 49

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa msamaha kwa wanafunzi (wafungwa) 49 waliokuwa wakitumikia Vyuo vya Mafunzo vya Unguja na Pemba ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za Sherehe za miaka 57…

Mwinyi Ateua Wakuu wa Mikoa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Mwinyi,  jana Desemba Mosi, 2020,  ameteua wakuu wa mikoa, kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu namba 61 (1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, na uteuzi huo…