Banza Stone Aanika Uadui, Urafiki Wake na Chocky!
KILA nikifumba macho nawaona kwa mbali malaika wananiita. Akili inajenga picha niko kwenye jeneza tayari kwenda kuzikwa, hapohapo nakurupuka lakini nakumbana na mazingira ya ajabu mno. Vumbi la ajabu! Kelele kila mahali na vishindo…